Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Huyu mchange si alishaacha siasa anawashwa nn.lini ataunga juhudi

Huyo kijana kichwani hamna kitu na ukitaka kuthibitisha hilo kutana naye na ongea naye ana kwa ana utaona jinsi anavyotoa pumba, sielewi kwanini ZZK alimsaidia sana jamaa huyu katika uchaguzi wa 2015 wakati akijua ana kichwa hoho? Mwaka 2015 alifikiri Kibaha ni wajinga kama yeye na akagombea Ubunge lakini walimwonyesha kuwa hafai sasa tena uchaguzi umekaribia ameanza kunyatanyata taratibu sijui safari hii ataingia kwa chama gani na hatujui jimbo gani atalitumia kukamilisha ndoto zake za alinacha.
 
Wanasayansi kwenye siasa wanavurunda hawana uwezo wa kujibu hoja sababu hawakufanya morning debate mashuleni
You need to check your facts.
I was in tech school where we had only science subjects combinations.
Morning speech was compulsory as it is was for arts schools.
 
You need to check your facts.
I was in tech school where we had only science subjects combinations.
Morning speech was compulsory as it is was for arts schools.
Some schools debate is compulsory yet it's not so to others... Both of you are right... So it depends on how your school had scheduled its own programs and also how serious it was.
 
Na. Habibu Mchange

Nitafurahi sana kama ndugu Zitto atapingana na ukweli huu rahisi kuhusu Kabendera


Inasikitisha sana kuona baada ya Erick Kabendera kukiri mwenyewe kutenda makosa katika mashtaka ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi na kukubali kulipa fidia ya jumla ya milioni 100,250,000, kama kianzio na kisha kulipa wastani wa milioni 29 kila mwezi kukamilisha makubaliano ya kisheria aliyosaini.

Tumemshuhudia kwa kasi kubwa mwanasiasa anayeelekea kuwa uchwara na mchumia tumbo lake ambaye amejivika utetezi wa kila jinai hapa nchini na kuivisha usiasa Ndugu Zitto Kabwe akiandika mitandaoni kuwa Kabendera amenunua uhuru wake.

Zitto anadai bila aibu wala haya kuwa Kabendera amelipia kuipata haki yake ya kuwa huru huku akijua wazi kuwa Mahakama za Tanzania hazijawahi hata siku moja kuuza uhuru wala kutaraji kuuza haki ya mtu


Mimi nafahamu kuwa kwa kiasi fulani Zitto alikuwa na uswahiba na Kabendera, ninafahamu pia uswahiba wake na Kabendera aliuzidisha chumvi mara tu Kabendera kuingia kwenye matatizo ya uvunjaji wa sheria za nchi.

Nafahamu bila chembe ya aibu wala shaka, kuwa Zitto amechagua makusudi kupotosha ukweli ili apate huruma yake ya kisiasa na aendelee kuungwa mkono kama mtetezi wa wanyonge ama mkosoaji mkuu wa uongozi wa Rais Magufuli

KILICHOMPONZA KABENDERA HIKI HAPA

panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo.


Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa.


Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake.

Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.


Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885.


Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.


Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi.

Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB tawi la

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine.


Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.


Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' .

Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA

Ninakushauri ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa.

Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu.

Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
Who are you hadi umfundishe Kabendera?Je,wewe unaakili sana kiasi kwamba Kabendera hajielewi?Kwanini usiifundishe sisiem yako?we veeepeeee?Heeeeeeee!
 

Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.


.....halafu unataka tuamini haya uliyoyaandika?
Jamaa wanafoji wanasahau vitu vingi sana kwa kweli...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wanafoji wanasahau vitu vingi sana kwa kweli...

Sent using Jamii Forums mobile app

Hawa ni wehu tu paundi laki million mia moja na ushee ndio million 305!!

Alafu huyu Mchange utasikia ni wale wa miwani meusi!!! My foot ikiwa ni kweli anatoka idara ile basi pendekezo la Yericko Nyerere lifanyiwe kazi
 
Mchange Habib, njaa imekuondolea ufahamu. Ulikuwa kijana mpendwa mabadiriko lakini Sasa wewe siyo riziki
Na. Habibu Mchange

Nitafurahi sana kama ndugu Zitto atapingana na ukweli huu rahisi kuhusu Kabendera


Inasikitisha sana kuona baada ya Erick Kabendera kukiri mwenyewe kutenda makosa katika mashtaka ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi na kukubali kulipa fidia ya jumla ya milioni 100,250,000, kama kianzio na kisha kulipa wastani wa milioni 29 kila mwezi kukamilisha makubaliano ya kisheria aliyosaini.

Tumemshuhudia kwa kasi kubwa mwanasiasa anayeelekea kuwa uchwara na mchumia tumbo lake ambaye amejivika utetezi wa kila jinai hapa nchini na kuivisha usiasa Ndugu Zitto Kabwe akiandika mitandaoni kuwa Kabendera amenunua uhuru wake.

Zitto anadai bila aibu wala haya kuwa Kabendera amelipia kuipata haki yake ya kuwa huru huku akijua wazi kuwa Mahakama za Tanzania hazijawahi hata siku moja kuuza uhuru wala kutaraji kuuza haki ya mtu


Mimi nafahamu kuwa kwa kiasi fulani Zitto alikuwa na uswahiba na Kabendera, ninafahamu pia uswahiba wake na Kabendera aliuzidisha chumvi mara tu Kabendera kuingia kwenye matatizo ya uvunjaji wa sheria za nchi.

Nafahamu bila chembe ya aibu wala shaka, kuwa Zitto amechagua makusudi kupotosha ukweli ili apate huruma yake ya kisiasa na aendelee kuungwa mkono kama mtetezi wa wanyonge ama mkosoaji mkuu wa uongozi wa Rais Magufuli

KILICHOMPONZA KABENDERA HIKI HAPA

panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo.


Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa.


Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake.

Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.


Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885.


Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.


Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi.

Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB tawi la

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine.


Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.


Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' .

Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047.


Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA

Ninakushauri ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa.

Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu.

Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JK ukimaanisha jakaya kikwete? Ndo unamsingizia amewahi kuwa na busara?

Kwa jinsi nilivyo ona "P.O. Box 7439" na kuhusishwa na kampuni yenye miamala hapo juu, naanza kumuelewa Mzee JK alivosema "sasa bora tusomeshe wanasayansi au wahandisi zaidi kuliko watu wa arts wanaokuja kuwa wanasheria.
Wanasheria wakikosa kazi wanajiingiza kwenye siasa na nchi haitawaliki."

Kwa busara zake na washauri wake wakaanzisha vipaumbele kwenye mikopo ya elimu ya juu.
Wanasayansi wakapewa hadi 100% na watu wa sayansi ya jamii, lugha na sanaa wakapata kiwango kidogo.

Sikumuelewa kwa ubaguzi wake, kumbe alikuwa na mengi ana yaona kwenye mafaili yake ambayo mengine kayaacha mrithi wake ana lalamika anakesha aki yasoma.
 
Na. Habibu Mchange

Nitafurahi sana kama ndugu Zitto atapingana na ukweli huu rahisi kuhusu Kabendera

Inasikitisha sana kuona baada ya Erick Kabendera kukiri mwenyewe kutenda makosa katika mashtaka ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi na kukubali kulipa fidia ya jumla ya milioni 100,250,000, kama kianzio na kisha kulipa wastani wa milioni 29 kila mwezi kukamilisha makubaliano ya kisheria aliyosaini.

Tumemshuhudia kwa kasi kubwa mwanasiasa anayeelekea kuwa uchwara na mchumia tumbo lake ambaye amejivika utetezi wa kila jinai hapa nchini na kuivisha usiasa Ndugu Zitto Kabwe akiandika mitandaoni kuwa Kabendera amenunua uhuru wake.

Zitto anadai bila aibu wala haya kuwa Kabendera amelipia kuipata haki yake ya kuwa huru huku akijua wazi kuwa Mahakama za Tanzania hazijawahi hata siku moja kuuza uhuru wala kutaraji kuuza haki ya mtu

Mimi nafahamu kuwa kwa kiasi fulani Zitto alikuwa na uswahiba na Kabendera, ninafahamu pia uswahiba wake na Kabendera aliuzidisha chumvi mara tu Kabendera kuingia kwenye matatizo ya uvunjaji wa sheria za nchi.

Nafahamu bila chembe ya aibu wala shaka, kuwa Zitto amechagua makusudi kupotosha ukweli ili apate huruma yake ya kisiasa na aendelee kuungwa mkono kama mtetezi wa wanyonge ama mkosoaji mkuu wa uongozi wa Rais Magufuli

KILICHOMPONZA KABENDERA HIKI HAPA

panapotokea wapotoshaji wa makusudi kama Zitto kabwe na wenzake, wakaamua makusudi kupotosha ukweli huku wakijua kufanya hivyo si sawa kwa MASLAHI ya umma. Ni vyema sisi wengine tukajaribu kuusaka ukweli na kuusema kama ulivyo.

Mimi kama mdau wa habari, nimebahatika Kuisoma hati ya Taarifa sahihi inayomuhusu Kabendera katika shauri lake, hati ambayo imesainiwa na kuthibitishwa na Kabendera mwenyewe.

Kwa taarifa tu ya watu wema wanaipenda nchi hii, ndugu Erick Kabendera amekiri kufanya makosa yote aliyotenda ambayo ni wazi kabisa amejua asingeweza kuchomoka na hivyo kuchagua kutumia sheria ya usuluhishi wa makosa.

Zitto anafahamu wazi kwamba Kabendera katika kuhakikisha anatekeleza uhalifu wa kutakatisha fedha alisajili kampuni mbili ambazo hazikuwa hata na ofisi na katika usajili akadanganya ofisi zipo eneo ambalo kumbe ni nyumbani kwake.

Zitto na wenzake wanafahamu wazi kuwa Machi 23 2010. Kabebdera alisajili kampuni ya Voxy Media Centre Ltd na akapewa cheti cha usajili No. 75572 kutoka BRELA lakini mbaya zaidi alitumia anuani ya posta ya mtu binafsi ambaye ni miongoni mwa genge lake la uhalifu ambayo ni P.O. Box 7439 na kueleza kuwa ndiyo anuani ya kampuni yake.

Zittto anafahamu kuwa Januari 11, 2016, Kabendera na mke wake Loy Philip Kabendera walifungua tena kampuni ya PR ijulikanayo kama Sitrep Co. Ltd yenye cheti cha usajili kutoka BRELA No. 122885.

Katika usajili wa kampuni hiyo Kabendera amekiri kuwa walighushi fomu mbalimbali na kudanganya kuwa ofisi zipo Block No. 13 Plot 23 Mbweni Mpiji ambapo baada yabuchunguzi ikabainika eneo hilo ni nyumbani kwake. Alitumia taarifa hizo za uongo kuomba leseni ya kufanya biashara ya PR na akapatiwa leseni No. 2209221.

Zitto anafahamu kuwa baada ya kukamilisha mchakato wa kufungua kampuni, kabendera na mkewe na wenzake wakaanza kufungua akaunti nyingi za benki nyingine kwaajili ya Dola za Marekani na nyingine ya Pauni na akaunti binafsi na baada ya hapo akaanza kuingiziwa fedha kutoka nje na ndani ya nchi.

Zitto asijitoe ufahamu na ajue kwamba, watanzania tunajua kuwa Aprili 2, 2016 kabendera na mkewe walifungua akaunti No. 0250440251400 kwajili ya kuingiza USD(Dolla za kimarekani) na nyingine No. 0350440251400 kwaajili ya Paundi za Uingereza katika benki ya CRDB tawi la

Zitto anafahamu kuwa Kabendera alifungua akaunti binafsi kwaajili ya Dola za Marekani yenye No. 0250275464500 na nyingine No. 01J2013248400 CRDB tawi la Kijitonyama.

Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU wanajua kuwa baada ya hapo mamilioni ya Shilingi, dola la Paundi yalianza kuingia kwenye hizo akaunti huku zingine zikihamishwa kutoka akaunti za kampuni kwenda akaunti binafsi na kutoka kampuni moja kwenda nyingine.

Zitto anajua kuwa kati ya tarehe 1 Januari 2015 na tarehe 29 Julai 2019 Kabendera alipokea fedha za kimarekani USD 230,358.83 sawa na zaidi ya milioni 534 za kitanzania kwenye akaunti yake binafsi ambazo zilitoka kampuni mbalimbali za nje na ndani zikiwemo K2 Intelligence Ltd, Palladium (Tanzania) Ltd, Eurasia Group Ltd, International Crisis Rou na zingine nyingi za nje.

Zitto anafahamu kuwa Kati ya Januari mosi 2015 na Agosti 29, 2019 Kabendera na mke wakiwa wanahisa na wakurugenzi wa Sitrep Co. Ltd walipokea Dola za Marekani 432,000,541.64 sawa na shilingi bilioni Shilingi bilioni 1.01 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa Kabendera pia katika wakati huo huo aliingiziwa kiasi cha Paundi za Uingereza 119,000,130.84. Sawa na zaidi ya shilingi milioni 305 za kitanzania.

Zitto kabwe anafahamu kuwa pamoja na kupokea kiasi hicho cha fedha kutoka ndani na nje ya nchi, Kabendera alikiri kuwa hakuwahi kufaili 'Tax returns' .

Zitto anafahamu kuwa Kabendera mwenyewe amekiri kuwa yeye na mkewe kati ya Julai 29 na Julai 9, 2019 walihamisha Dola 25,303 kutoka Sitrep Co. Ltd kwenda akaunti binafsi ya Kabendera na katika kipindi hicho chote alilipa kodi ya Sh 1,376,400 tu na kukwepa kulipa kodi ya Sh 173,249,047.

Zitto na MAKUWADI wengine wa MABEBERU, wanafahamu kuwa Kabendera amekiri kutenda makosa hayo yote na kusaini makubaliano na Ofisi ya Mashtaka na kukubali kulipa fidia ambapo amelipa Sh milioni 100 kwa makosa ya utakatishaji wa fedha na Sh 250,000 kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.

USHAURI KWA KABENDERA

Ninakushauri ndugu Erick Kabendera, usimuendekeze Zitto kabwe atakupoteza, Zitto kabwe ni mwanasiasa ambaye yupo tayari kusema, kufanya, kuongea, kuongopa lolote kwa sasa ili tu apate sifa ya kisiasa.

Kwa tuhuma kama hizi ulizozikiri mwenyewe, kutokea mwanasiasa kama Zitto kuropoka ropoka mitandaoni inatufanya sisi tunaofuatilia nyendo hizi tuone kuna walakini katika mahusiano yenu.

Ninaishia hapa kwa leo, nikisema KABENDERA MKANYE ZITTO ATAKUHARIBIA ZAIDI.
Habibu Mchange ni snitch aliyebobea na hivyo nampa ka benefit of doubt coz it takes a snitch to know a snitch ni hayo tu bandugu
 
Tulisema serikali ina mkono mrefu,haionei hovyohovyo kama wale majuha waliokuwa wanampambania bila kujua kinachoendelea,ona sasa walivyoumbuka ,huko twitter kina Maria Sarungi na Fatuma Karume wamelowa tepetepe
Sasa kma serikali haikosei kivp ushahidi walishindwa leta mahakamani ili jamaa ajitetee?? Kwa reasoning hii ndio maana TZ hatuendelei
 
Mashtaka ya mtu siyo kama sehemu nyeti ati! Mlikuwa mnapiga kelele kila siku hana makosa na kama ana makosa mbona hayawekwi wazi! Yamewekwa wazi sasa unahamisha tena goli!
Makosa au shutuma!! Mbona hawajathibitisha mahakamani, inaenda mwaka sasa uchunguzi hauishi!!

Asingekiri uchunguzi ungefika miaka 20!!
 
Ameweka ili watu wajue ukweli...wengi Sasa wataelewa...huyo jamaa haluonewa...dola Ina mkono mrefu...Kuna watu maarufu walitaka kuleta uchochezi na usaliti...wakasambaza waraka wakidhani Hali ya kisisa itakuwa against head of state...watu wakaweka sauti zao zenye mwelekeo wa uhaini...ukawa ndio mwisho wa waraka...kilichoendelea baada ya hapo Sina haja ya kukiweka hapa...
Hakuonewa?? Issue ni kwamba serikali imeshindwa kuthibitisha makosa ya jamaa kisheria imebakia kutafuta ushahidi inaelekea mwaka so wameamua kumkomoa tu hii sheria ya uhujumu uchumi kunyimwa dhamana inatumika vibaya sana.

Kma ushahidi hamna mtu aachiwe hta kwa kifungo cha nje akisubiri ushahidi ajitetee
 
Ushahidi wa nini wakati mtuhumiwa kakiri kosa?,wewe ni punguani mkubwa
Sasa kma serikali haikosei kivp ushahidi walishindwa leta mahakamani ili jamaa ajitetee?? Kwa reasoning hii ndio maana TZ hatuendelei
 
Back
Top Bottom