Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Yani wewe ulikuwa unajua kuwa hiyo kesi ya Mbowe ni ya Mchongo tu ila Rais Samia hakuwa akijua na akawa anadanganywa hadi baadaye ndio akaja kujua ukweli? Ni dharau kwa Rais Samia hicho ulichokieleza au pengine unajaribu tu kumtetea.

Kakuta kesi ilishafunguliwa. Mbowe aliunganishwa baadae. Kiukweli ile kesi haikuwa na maana yeyote.
 
Ndio nasema kuwa umemdharau Rais Samia, kwa sababu kama kesi ya Mbowe ilikuwa ipo wazi kabisa kuwa ni ya mchongo ilikuwaje yeye ashindwe kuona hilo mpaka aje kuambiwa na akina Kinana?

Angeonaje? Mbona alimteua DPP kuwa jaji wakati alificha pesa China?
 
Kwamba Mbowe alikata magogo misitu ya huko Morogoro na kuyasombelea magogo na kuyapanga barabarani ili mabasi na magari mengine yasipite. Hahahahaa aisee hatareee sana.
No no no no, hiyo ya magogo ilikuwa ni ya baadaye wangefanya makamanda kutoka Mara huku makamanda wa Dar es Salaam wangerubuni vibaka kuchoma sheli zote za Temeke na Mwembechai na GoGo Hotel. Hii ingeleta taharuki nchini ili watu wadai tumehuru na maridhiano. Cha kwanza kabisa ilikuwa ni personal vendeta ya Mwenyekiti: wale makomandoo watatu walikuwa specifically wamuue ole Sabaya. Kilichotokea ni kwamba ili kupata nishai, wale makomandoo kwanza walipota Rau Madukani kujichana mbege na wahudumu wa pale. Si ndipo wakakamatwa na Kamanda Kingai na AfandeJumanne? Ule ushahidi wa mtu wa tigopesa na mnaso wa Afande Urio maongezi yake na "Homeboy" mbowe ilikuwa foolproof, kilichosevu ni huruma ya Mama
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
Ni heri kukaa kimya kuepusha ukoo wako na aibu ndogo ndogo
 
Shida yako ni shule ndogo. Sidhani hata kama ulimaliza darasa la saba.

Anaepeleka kesi mahakamani ni DPP, iwapo DPP atasema hana nia ya kuendelea na kesi mahakamani inaifuta ila haina maana kwamba DPP ameifuta mashtaka yako, ama hatakushitaki tena na kesi hiyo hiyo siku za mbeleni.

Nitajie kesi moja Tanzania ambayo DPP aliingiza nolle prosequi halafu baadae akaifungua upya.
 
Ndio nasema kuwa umemdharau Rais Samia, kwa sababu kama kesi ya Mbowe ilikuwa ipo wazi kabisa kuwa ni ya mchongo ilikuwaje yeye ashindwe kuona hilo mpaka aje kuambiwa na akina Kinana?

Ndio maana kamtumbua Athumani wa TISS kwa kumshauri vibaya.
 
Nimekwambia wewe shida ni elimu ndogo. DPP anaweza kuondoa kesi kama akiona ushahidi alionao hautoshi, kisha akakurudisha mahakamani hapo hapo kwa kesi hiyo hiyo na ushahidi mpya.

Ama akaiondoa mahakamani kwa sababu zake tu binafsi hata kama ushahidi upo wa kutosha. Hii haimzuii akijisikia tena kukurudisha mahakamani kwa mashtaka hayo hayo.

Ama akaiondoa mahakamani kwa kukuonya usirudie hilo kosa kama mashehe wa uamsho. Kwamba ukirudia kufanya makosa kama hayo ama yanayofanana na hayo atakurusisha mahakamani, hii inaitwa Nolle Prosequi.

Jitahidi kujielimisha zaidi ili uwe na uwezo wa kujadiliana ukiwa na uelewa wa kutosha.

Taja kesi ambapo hicho kilifanyika.
 
Acha utaahira wewe dada!

Samia wakati huo mchoro unachorwa alikuwa wapi na alikuwa na cheo gani?

Si alikuwa makamu rais?

Asali imewapofusha mmekuwa mazuzu kabisa!

Subirini 2025 ccm iwapelekee moto ndio akili zitawakaa sawa

Makamu wa Rais Hana mamlaka yoyote zaidi ya muungano na mazingira.
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
huna akili.
 
Kabendera apeleke hizo sera huko kwao atuachie amani hapa kwetu Tanzania
 
Kabendera? Yule Mhutu anayetuhumuwa kuua Watusi milioni 3 genocide? Au ukoo huo huo kakimbilia kwetu? Si alikuwa anasafisha hela za kigeni halipi kodi zinatumika kuwalipa wapinzani? Si zilianikwa na CRDB account zake na mkewe?

Acha uongo, kabendera kipindi Cha genocide alihusikaje wakati alikuwa bado bwana mdogo? Punguza uongo.
 
No no no no, hiyo ya magogo ilikuwa ni ya baadaye wangefanya makamanda kutoka Mara huku makamanda wa Dar es Salaam wangerubuni vibaka kuchoma sheli zote za Temeke na Mwembechai na GoGo Hotel. Hii ingeleta taharuki nchini ili watu wadai tumehuru na maridhiano. Cha kwanza kabisa ilikuwa ni personal vendeta ya Mwenyekiti: wale makomandoo watatu walikuwa specifically wamuue ole Sabaya. Kilichotokea ni kwamba ili kupata nishai, wale makomandoo kwanza walipota Rau Madukani kujichana mbege na wahudumu wa pale. Si ndipo wakakamatwa na Kamanda Kingai na AfandeJumanne? Ule ushahidi wa mtu wa tigopesa na mnaso wa Afande Urio maongezi yake na "Homeboy" mbowe ilikuwa foolproof, kilichosevu ni huruma ya Mama
Kwi Kwi Kwi
 
Back
Top Bottom