Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Erick Kabendera atoa maoni yake kwa Tume ya Haki Jinai, Adai Mahakimu wa Mahakama wanaiogopa ofisi ya DPP

Ni kweli kabisa Mahakama haipo huru

Mhimili huu muhimu wa dola unapaswa sasa kuanza kuacha kutumiwa na ufanye kazi kwa haki ndiyo utakuwa mhimili huru unaosimamia sheria na katiba bila kupokea amri toka mhimili wa executive (wanasiasa / serikali)

Jaji Mkuu mstaafu jaji Barnabas A . Samatta ameandika kitabu kuhusu uhuru wa mahakama inatakiwa raia wote ikiwemo jaji mkuu aliyepo ofisini, majaji, mahakimu kukisoma na kuwa rejea kuhusu umuhimu wa mhimili wa Mahakama katika nchi hususan yetu ya Tanzania

1679745366108.png


Barnabas A. Samatta, Jaji Barnabas A. Samatta, alikuwa Jaji Mkuu wa Tanzania kutoka 2000 hadi 2007. Huko nyuma, 1984-1987, alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zimbabwe. Yeye ni mjumbe mwanzilishi wa Judicial Integrity Group (Kikundi cha Uadilifu wa Mahakama), chombo huru cha cha kimataifa kinacho jishughulisha na ukuzaji wa uadilifu wa mahakama duniani na ambacho kilitunga Kanuni za Bangalore za Mwenendo wa Mahakama. Kwa wakati huu, yeye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Bodi ya Kampuni ya Earth, Energy and Environment Mediation Limited yenye makao makuu yake London, Uingereza, ambayo inashughulikia njia bora za kuzuia au kutatua migogoro barani Afrika inayohusiana na ardhi, mafuta, madini, maji au mazingira. Vilevile, Jaji Samatta ni Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe. Katika baadhi ya hukumu, makala na hotuba zake amesisitiza sana juu ya umuhimu wa uhuru wa mahakama, usawa mbele ya sheria na upatikanaji wa haki kwa unafuu na wepesi kwa kila mtu katika jamii. Katika kitabu hiki, anazungumzia kwa ufasaha, lakini kwa lugha nyepesi kuelewa, na kwa namna isiyomchosha msomaji, masuala mengi muhimu sana katika uwanja wa utoaji wa haki. Miongoni mwake ni uhuru wa mahakama; rushwa; ugumu wa kazi na maisha ya jaji; mikwaruzano baina ya mihimili ya dola na utumiaji wa kiuonevu wa mamlaka ya dola. Hiki ni kitabu kwa mwanasheria na kwa mlei. Ni kitabu kwa mtawala na mtawaliwa. Kwa kweli, ni kitabu kwa kila mtu.

5 July 2018

Umuhimu wa utawala wa sheria - Jaji Barnabas A. Samatta


Sheria zinazopelekwa mbele ya bunge (bills) lazima kwanza zichunguzwe kwanza kama zinakiuka katiba, sheria na haki anasisitiza jaji mstaafu B.A Samatta na kusisitiza kila mmoja ktk ngazi za maamuzi wasisitize haki ikiwemo maDC, maRC n.k maana nikusikiliza radio au kutazama TV amri wanazotoa watendaji zingine zina kukakasi mkubwa anamalizia jaji mstaafu B. A Samatta almaarufu "B.A.S" anavyojulikana na washikaji wenzie wa karibu.
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.
Mkuu wangu nafahamu hauijui sheria kwa ulichoandika hapa. Naomba utafute maana ya haya maneno "DOUBLE JEOPARDY"

Screenshot_2023-03-25-14-59-03-582_com.android.chrome.jpg
 
Mtanzania aliyekimbia Nchi yake kutokana na kuzorota kwa usalama wake ,kulikochangiwa na watawala , Ndugu Erick Kabendera , ametoa maoni yake kwenye Tume ya haki jinai na kufumua mazito sana .

Kabenderavamefichua mbele ya Tume hiyo kwamba , kumbe siku zote Mahakimu huwaogopa waendesha mashitaka kiasi cha kudhulumu haki za Watuhumiwa , yaani hata kama mtuhumiwa ni dhahiri anaonewa hata akiwa Mahakamani , Mh Hakimu hawezi kumsaidia kwa vile anawaogopa waendesha mashitaka , bali hakusema sababu hasa za Mahakimu kuwatetemekea waendesha mashitaka hao .

Pamoja na hilo Kabendera anasema kwa miezi 7 aliyolundikwa gerezani hakuona mahali popote ambapo panaelekeza mtuhumiwa kutoa maoni yake kuhusu utendaji wa Jeshi la Polisi .

Amependekeza kiundwe chombo Maalum cha kupokea malalamiko ya wananchi juu ya utendaji wa Jeshi la Polisi , kumbukeni kwamba hakuna mahali popote ambapo unaweza kupeleka malalamiko ya Utendaji wa Jeshi la polisi bila koneksheni ya viongozi wa ccm .

Mwisho Kabendera ameahidi kurejea Tanzania pale atakapohakikisha kweli kwamba Usalama wake utalindwa .

Chanzo : Azam Media
Kabendera? Yule Mhutu anayetuhumuwa kuua Watusi milioni 3 genocide? Au ukoo huo huo kakimbilia kwetu? Si alikuwa anasafisha hela za kigeni halipi kodi zinatumika kuwalipa wapinzani? Si zilianikwa na CRDB account zake na mkewe?
 
Kabendera? Yule Mhutu anayetuhumuwa kuua Watusi milioni 3 genocide? Au ukoo huo huo kakimbilia kwetu? Si alikuwa anasafisha hela za kigeni halipi kodi zinatumika kuwalipa wapinzani? Si zilianikwa na CRDB account zake na mkewe?
Halafu ikawaje ? Msafirisha hela mama yake afe kwa njaa !
 
Tatizo upeo wako ni mdogo sana, na dhamira yako imekufa.

DPP huondoa kesi pale anapokuwa amejiridhisha hana ushahidi wa kumtia mtuhumiwa hatiani au anapoona hakuna maslahi yoyote hata kama kesi hiyo ikiendelea.
Kesi ya sabaya yenyewe ina maslahi gani kwa taifa ?
 
Acha utaahira wewe dada!

Samia wakati huo mchoro unachorwa alikuwa wapi na alikuwa na cheo gani?

Si alikuwa makamu rais?

Asali imewapofusha mmekuwa mazuzu kabisa!

Subirini 2025 ccm iwapelekee moto ndio akili zitawakaa sawa
Yule jiwe alishaurika???
 
Mtanzania aliyekimbia Nchi yake kutokana na kuzorota kwa usalama wake ,kulikochangiwa na watawala , Ndugu Erick Kabendera , ametoa maoni yake kwenye Tume ya haki jinai na kufumua mazito sana .

Kabenderavamefichua mbele ya Tume hiyo kwamba , kumbe siku zote Mahakimu huwaogopa waendesha mashitaka kiasi cha kudhulumu haki za Watuhumiwa , yaani hata kama mtuhumiwa ni dhahiri anaonewa hata akiwa Mahakamani , Mh Hakimu hawezi kumsaidia kwa vile anawaogopa waendesha mashitaka , bali hakusema sababu hasa za Mahakimu kuwatetemekea waendesha mashitaka hao .

Pamoja na hilo Kabendera anasema kwa miezi 7 aliyolundikwa gerezani hakuona mahali popote ambapo panaelekeza mtuhumiwa kutoa maoni yake kuhusu utendaji wa Jeshi la Polisi .

Amependekeza kiundwe chombo Maalum cha kupokea malalamiko ya wananchi juu ya utendaji wa Jeshi la Polisi , kumbukeni kwamba hakuna mahali popote ambapo unaweza kupeleka malalamiko ya Utendaji wa Jeshi la polisi bila koneksheni ya viongozi wa ccm .

Mwisho Kabendera ameahidi kurejea Tanzania pale atakapohakikisha kweli kwamba Usalama wake utalindwa .

Chanzo : Azam Media
Mwendazake aliharibu misingi ya taifa hili kabisa. Angeendelea miaka yote mitano iliyobaki,taifa lingekufa kifo cha mende.

Mungu Hadhihakiwi
 
Halafu ikawaje ? Msafirisha hela mama yake afe kwa njaa !
Kwani mama yake anakula hela, what are you saying? Inahisikaje hii tena?Hujaninibu, kuna Kabendera kule Rwanda ni Mhutu aliua maelfu kwa matangazo redioni, je ni Dad wake like father like son? Hizo account za CRDB alizipataje?
 
Wewe taahira aliemfungilia kesi Mbowe ni Samia na huyo huyo akaiondoa kesi mahakamani.

Mbowe kesi yake ya ugaidi haijafa, imetulizwa tu.

Na mojawapo ya makubaliano walioingia ni aondolewe kesi akubali masharti. Asipige pige kelele. Kelele ikizidi tu DPP anamrudisha Mbowe jela.

Akiingia rais mwingine na DPP mwingine wakapitia ushahidi, Mbowe anarudi jela.
Jinai haifi hilo wasilisahau!!
 
Kwani mama yake anakula hela, what are you saying? Inahisikaje hii tena?Hujaninibu, kuna Kabendera kule Rwanda ni Mhutu aliua maelfu kwa matangazo redioni, je ni Dad wake like father like son? Hizo account za CRDB alizipataje?
Kumbe uko Rwanda ? kwaheri
 
Mbowe angekomaa amalize kesi yake mahakamani ili awe huru.

Hii ya DPP kujiondoa kwamba hana nia, DPP mwingine akiingia na rais mwingine Mbowe anafunguliwa mashataka upya.

Mbowe ametumia the easy way out ila kesi yake ya ugaidi iko pale pale.

Mlio karibu Mbowe mashaurini apambane hadi mahakama impe clearance otherwise DPP mwingine ana Rais mwingine wakiingia na wakataka kufufua kesi mbowe atarudishwa rumande kwa ugaidi.

Hata akimaliza hiyo kesi, bado inaweza kufunguliwa tena maana ni kesi ya kutungwa, na mahakama imekubali kutumikia siasa chafu. Umeongea kama kuna sheria zinafuatwa kwa hivyo na hiyo mahakama.
 
Hivi lile li Jaji linaitwaje la Mbowe? Yako mawili, moja lilianza na kutokomea ghafla na lingine likamalizia. Linaitwaje vile

..tafuta video ya ushuhuda wa Mdude Nyagali.

..kuna Jaji aliyehusika na makesi ya kubambika ndugu yake alitekwa na task force na hajulikani aliko.

..Jaji kashindwa kutoa msaada. Ndugu wanahangaika kila mahali mpaka wamemuomba Mdude awasaidie kupaza sauti.
 
Yani wewe ulikuwa unajua kuwa hiyo kesi ya Mbowe ni ya Mchongo tu ila Rais Samia hakuwa akijua na akawa anadanganywa hadi baadaye ndio akaja kujua ukweli? Ni dharau kwa Rais Samia hicho ulichokieleza au pengine unajaribu tu kumtetea.

Labda kama lengo lako ni ubishani usio na tija kama kawaida yako. Siku zote huwa mnasema urais ni taasisi, na chochote rais akifanya hasa kukosea, huwa mnasema amepotoshwa na washauri wake. Au kwenye hili la Mbowe hakuwa na washauri, nao wakatumia nafasi hiyo kumpotosha?
 
Acha utaahira wewe dada!

Samia wakati huo mchoro unachorwa alikuwa wapi na alikuwa na cheo gani?

Si alikuwa makamu rais?

Asali imewapofusha mmekuwa mazuzu kabisa!

Subirini 2025 ccm iwapelekee moto ndio akili zitawakaa sawa

Kwa jinsi dhalimu alivyokuwa anaamini mfumo dume, huyo Samia alikuwa ni picha tu. Isitoshe huyo mama Samia sio muumini wa tabia za kidhalimu, ni dhahiri asingeweza kushirikishwa hayo mambo ya kishamba ya dhalimu.
 
Labda kama lengo lako ni ubishani usio na tija kama kawaida yako. Siku zote huwa mnasema urais ni taasisi, na chochote rais akifanya hasa kukosea, huwa mnasema amepotoshwa na washauri wake. Au kwenye hili la Mbowe hakuwa na washauri, nao wakatumia nafasi hiyo kumpotosha?
Huku kupotoshwa na washauri kipindi cha Magufuli haikuwa hivyo, Magufuli abeba lawama zote yeye na si washauri.
 
Huku kupotoshwa na washauri kipindi cha Magufuli haikuwa hivyo, Magufuli abeba lawama zote yeye na si washauri.

Wapi ww, si ilikuwa akichemsha jambo simlikuwa mnasema ana washauri wabaya? Hata hivyo dhalimu alikuwa anajifanya mjuaji sana, hadi akawa yeye ndio anawashauri washauri wake.
 
Labda kama mtamfufua shetani wenu wa chatto ndo kesi inaweza kuendelezwa , nje na hapo haitakuja kutokea Tena Rais kichaa kama magufuri. ..
Do mnajitowaga ufahamu kweli mbowe amefunguliwa kesi na samia halafu lawama mnamtupia marehem khaaa.
 
Back
Top Bottom