gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Muulize mama janetKuna bwana mmoja alikuwa anauza madawa ya kulevya..amefariki juz hapa alikuwa gerezani(miaka 30)..mtu WA tanga..
Siku amekamatwa akasafirishwa mpaka state...mzee akamuona ..akamuuliza kumbe wewe ndio desh desh Yanga!!?..Kisha akasema nilikuwa nataka nikuone...Kisha akawaambia walio meta.."Nendeni mkashughulike nae"....
Maghufuli alikuwa mkali lakini sio kufikia hatua ya kuua kwa bastola yake""..I stand to be corrected.
sultan ni wa ajabu sana! Eti hajui kilichompata mtu wake wa karibu
Walienda kushughulika naye kivipi?Kuna bwana mmoja alikuwa anauza madawa ya kulevya..amefariki juz hapa alikuwa gerezani(miaka 30)..mtu WA tanga..
Siku amekamatwa akasafirishwa mpaka state...mzee akamuona ..akamuuliza kumbe wewe ndio desh desh Yanga!!?..Kisha akasema nilikuwa nataka nikuone...Kisha akawaambia walio mleta.."Nendeni mkashughulike nae"....
Mzee alikuwa mkali lakini sio kufikia hatua ya kuua kwa bastola yake""..I stand to be corrected.
Mwangosi bomu la machozi la ffu lilimpata tumboni,mi lilinipiga mgongoni 2002 maandamano ya waislam,lengo la bom la machozi siyo kuua
Nadhanilikiwa kesixya kwanza ya uhujumu uchumi...alihukukiwa miaka 30 jela na juzi Mungu ametoa hukumu yake...jamaa amefariki...Walienda kushughulika naye kivipi?
2012 and not 2002Mwangosi bomu la machozi la ffu lilimpata tumboni,mi lilinipiga mgongoni 2002 maandamano ya waislam,lengo la bom la machozi siyo kuua
Mwangosi ilikua bomu la machozi, ilikua mchana kweupe,na nilikua mtu mzima tayari,bomu la machozi si kwa ajili ya kuua
Soma vizuri babu2012 and not 2002
Aya moja tu,ushaona andiko limeandikwa kishabikiHuyu mwandishi tangu kukamatwa kwake,kwenda jela(mahabusu),mama yake kufariki nk..alimchukia sana Hayati...andiko limeandikwa kishabiki sana...
Jamaa gani huyu?Nadhanilikiwa kesixya kwanza ya uhujumu uchumi...alihukukiwa miaka 30 jela na juzi Mungu ametoa hukumu yake...jamaa amefariki...
Hapo sijaona laana ya kumkuta shujaa wetuAlaaniwe yule gaidi wa chato. Aendelee kuoza na kuungua moto wa milele, Dhambi ya kuua huwa inapita mpaka kizazi cha nne kama ilivyomuadhibu mfalme ahabu na ukoo wake.
Raisi wa hovyo kuwai kutokea toka kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.
Yes Sir. I'm also following your step- I'm passing here very quietly indeed. Have a good day.Leti mi pasi kwayatly....
Ukilingnisha na ofisi ya Rc unakosea.Ikulu ni ofsi ya umma, ni kama umeenda Kwa mkuu wa mkoa
Jiwe aliitumia vibaya, sikushuhudia tukio ila Kwa hulka ya Jiwe naamini alimimina hizo chuma