Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Akiitwa akatoe ushahidi anao?
Hakunq siri ya watu wawili hapa Dunia
Both opposition and government sources I have spoken to…

Hii ni serious allegation. Hivi Kabendera yupo Tanzania au alishahamia nje ya Nchi? Urais ni taasisi na wanaweza kumuita athibitishe hiki alichoandika

Ngoja tununue hicho kitabu tukisome neno kwa neno
Kumuita hawawezi maana hata nao wanaujua ukweli na walisha jeruhiwa hata mama kizimkazi amewahi kuzinguliwa na aliwahi kukiri katika moja ya speech yake kwamba Kuna muda ilikuwa ni mtihani kufanya kazi na Magu
 
Upumbavu mwingi sana ili auze kitabu chake.
President hawezi kupiga mtu risasi live pale Ikulu.
Hamna hiyo kitu, na huyo kijana aliyepotezwa alikua mtu mdogo sana kufikia hatua hiyo.
Alikua na tamaa sana huko kwenye chama chao wanajua walichofanya.
Msimsingizie marehemu
Never say Never Katika hii dunia.

Usimuamini mtu hawezi kufanya kitu, siku ukipata ushahidi kua kafanya utaweka wapi sura yako?
 
Nina swali:

Bw. Kabendera anasema vyanzo vyake kutokea upinzani 'vilithibitisha' namna kijana alivyopoteza maisha. Je, kwa nini hawa upinzani walioufahamu ukweli hawakupaza sauti ili haki itendeke juu ya roho ya kijana yule?
Walijua kisha wakakaa kimya, kwa nini?
Wewe ungeweza?
 
Inawezekana ni moja ya mbinu kati ya nyingi kumchafua hayati JPM na kufifisha legacy yake; kwenye malumbano kusifiana hakupo, kuchafuana ndio mtindo.
Kibaya zaidi, hayati JPM alishanyamaza; hawezi tena kujitetea kwa lolote litakalosemwa dhidi yake na wapinzani wake.
Bado utumishi uliotkuka wa hayati JPM utaendelea kukumbukwa kwa miaka mingi ijayo tangu akiwa Mbunge, Naibu Waziri, Waziri hatimae Rais.
Kipindi cha chini ya miaka kumi JPM kuwa Rais, alifanikiwa kusukuma mambo mengi makubwa ambayo kwa awamu zilizomtangulia hayakuwa kufanyika; yanajulikana, sina haja ya kuyataja.
Najua JPM alikuwa mwanadamu kama mimi na wewe, alikuwa na mapungufu yake kama ambavyo watangulizi wake walikuwepo nayo na watakaofuata pia watakuwa nayo.
Msameheni pale alipowakosea, kama mimi na wewe tunavyosamehewa na wenzetu tuliowakosea sana; tusimhukumu, nasi tusije tukahukumiwa.
Mungu ampe pumziko la amani hayati JPM; Amin.
Ukiondoa utumishi ulio tukukuka, hili andiko lako lingefunga mjadala
 
Nanukuu......
Kitabu cha “In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist” kilichoandikwa na Erick Kabendera, @kabsjourno kimeanza kuuzwa leo. Mwandishi anaeleza kuhusu kutekwa na kuuwawa kwa Ben Rabiu Focas Saanane, December 2016 alipigwa risasi na mwili wake kutupwa mto Rufiji.

View attachment 3189981View attachment 3189980
Je familia ya JPM ikiamua imfungulie kesi huyo Kabendera anaweza kudhibitisha alichokiandika kwamba aliuliwa na Rais?
 
Lengo sio Magufuli bali ni Tanzania.


Kwa ujumla wake Tanzania inakuwa sana kiuchumi.

Sasa hilo ni tishio kwa nchi mahasimu.

Moja ya njia wanayotumia ni kuharibu sifa ya nchi.

Na Magufuli ni kama sababu tu.

Ila maadui wa nchi wako busy kuhakikisha hatuwapiti kiuchumi kuja kuwa super power.
 
Lengo sio Magufuli bali ni Tanzania.


Kwa ujumla wake Tanzania inakuwa sana kiuchumi.

Sasa hilo ni tishio kwa nchi mahasimu.

Moja ya njia wanayotumia ni kuharibu sifa ya nchi.

Na Magufuli ni kama sababu tu.

Ila maadui wa nchi wako busy kuhakikisha hatuwapiti kiuchumi kuja kuwa super power.
Toa ujinga maadui wa nchi wanatafuta nini Tanzania cha ajabu hasa. Ambacho huko kwingine hakipo.

Mtu ametoa tuhuma basi mfuate sheria mshitakini ili atoe ushahidi tofauti na hapo yaliyosemwa ni kweli.
 
Toa ujinga maadui wa nchi wanatafuta nini Tanzania cha ajabu hasa. Ambacho huko kwingine hakipo.

Mtu ametoa tuhuma basi mfuate sheria mshitakini ili atoe ushahidi tofauti na hapo yaliyosemwa ni kweli.
Unaamini kisa chuki zako ama.?
 
Unaamini kisa chuki zako ama.?
Sio swala la chuki hapo tatizo mtu akikosoa mamlaka hii nchi basi uwa anapachikwa jina la kibaraka..

Hapo huyo mwandishi amemtuhumu aliyekuwa rais wa nchi yetu na mimi sioni tatizo maana alikuwa binadamu na inawezekana alikuwa na mapungufu pia ambayo baadhi ya watu waliyaona maan walipata madhira mbalimbali.

Sasa kama serikali inataka kumtetea mwenda zake basi utaratibu ufuatwe sio kuanza kumwita mtu msaliti sijui katumwa na maadui wa nchi..

Maadui gani hao ilhali nchi yenyewe nusu ya budget ni misaada kutoka nje huo uadui ni upi hasa sisi km tuta battle basi kaa ukijua ni ku battle na nchi jirani tu hapo kenya , uganda rwanda hao ndio saizi zetu tofauti na hapo ni kujidharirisha.

Nchi yetu ni changa mno na tunajitafuta karibu kwenye kila nyanja.
Alafu muda mwingine tutue common sense.
 
Back
Top Bottom