Kabendera ana bahati ingekuwa nchi za waislamu kama syria watu wangemtafuta wakajitoa muhanga kwa ujinga wake. Yaani sasa tunawaza namna ya kuongoza east africa kwa uchumi halafu kuna mjinga mjinga anaanza kuleta ujinga wa kudhihaki mamlaka ya rais ambao ndiyo ngao yetu kama taifa. Yaani tubanane kwenye hoja ila siyo kudharau mamlaka ya rais. Mamlaka ya rais tukiruhusu idharauriwe matokeo yake ni kama Burundi na Congo na yaliyotokea Rwanda au Uganda. Mamlaka ya rais inapaswa kulindwa kwa gharama yeyote na iheshimike. Amani yetu ni kwa sababu ya uimara wa taasisi ya urais na rais mwenyewe. Leo hii anatokea mjinga tu kisa anajua kuandika anaaza kudhihaki mamlaka ya rais, inakera sana. Kabendera n mjinga sana na hana akili kabisa, hana tofauti na ayatola zito aliyesema wanaompenda Dkt Magufuli eti waende kwenye kabuli chato, very idiot ayatola zito