macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mimi ni mmoja ya watu wanaoamini ni kweli utawala wa Kikwete ulikuwa mbovu na Magufuli alipoingia alikutana na mengi. Tatizo liko kwenye njia ambazo alikuwa anachukuwa kujaribu kufanya marekebisho. Njia za kihuni, za kisiri na zisizofuata sheria. Na mbaya zaidi akadhani kila anayemkosoa ni adui na anafaa kuawa.Ilikuwa safi sana kwa Jpm Kuwakomesha wahuni wote walioifikisha hii nchi hapa ilipo
Ilikuwa safi sana kwa Jpm Kuwakomesha wahuni wote walioifikisha hii nchi hapa ilipo
Ni wengi hawajui undani wa kutekwa kwa MO, na mashambulizi aliyokuwa anarusha yule mhuni mwanaharakati huru. Hata haya maandishi ya Kabendera ni sehemu ya ''undani'' wenyewe. Na kama ukijua undani, na kama wewe kweli ni mzalendo, mtanzania mwenye kutaka haki sana sana utaishia kusema: ''kumbe haya mafisi yalifikia hatua ya kuparurana kiasi hik! Basi tunahitaji katiba mpya haraka sana''Duh!
Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.
Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!
Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!
Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
Duu yaani yule jamaa aliona baada ya kumtoa Mkapa ilibidi ammalize na JK Ili abakie huru,aisee Dunia ina Siri hii..View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Ili iwaje?ungesema angali akiwa hai,
Pengine alijua ila sio kushiriki..Lisu mwenyewe anakiri kwamba hajawahi pata kashfa yeyote kumhusu Rais Samia.Sasa hayupo na hawezi chunguzwa, Saa 100 mwenyewe lazima alishiriki mambo yanayosemwa mfano ununuzi wa ndege nk
Haina maana kwa sasa,na viongozi wa sasa ni kama mwendazake tu ndio maana waliimba ccm ni ile ile
Muuaji,mtesaji,dikteta uchwaraThe hero wewe cheki tu jina lake likitajwa kuna watu wanakosa raha mpaka wana data
View attachment 2386549
Magufuli nikiongozi bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili.yaani hata mumchafue vipi amewakuna kunako takiwa kwani kumkamata kiongozi wa mafisadi nizambi
Hata akina mganga wamekufa?Sasa hayupo na hawezi chunguzwa, Saa 100 mwenyewe lazima alishiriki mambo yanayosemwa mfano ununuzi wa ndege nk
Haina maana kwa sasa,na viongozi wa sasa ni kama mwendazake tu ndio maana waliimba ccm ni ile ile
Nimeguswa na huo mwaka 2030!, angalia tarehe ya bandiko hili Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!Team Msoga wameanza propaganda, haya mashambulizi dhidi ya JPM yatakuja kuipasua CCM 2030.
Wapo waliotekeleza huu ufala ndio anawalenga Kabendera.. Mwenda zake alikua anatoa maagiizo tuu.NI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Tuteseke na marehem.. unateseka wewe mfiwaMagufuli hachafuliwi kwa njia hiii
Na bado mtateseka sana
Wapo viongozi wengi wa nchi waliofanya uhalifu wakiwa madarakani. Mambo hayo yakiwekwa wazi siyo aibu bali ndiyo uthibitisho wa uimara wa state yenyewe.Aibu hii sio Magufuli ni ya state nimetoa onyo. Mkitaka msifieni lakini kunajisi state hapana
Hujui hata unaloandikaUtasubiri sana
SAMIA for presidence 2030
Politics π, ishu ni kwamba Mwendazake bado hakuwa na mbinu za kijasusi za kumuondoa Mkwere, jamaa alikuwa na pupa + mihemuko na huu mchezo hautaki haraka wala hasira, mpaka hii ishu imevuja kwa kina Kabendera ni wazi jamaa hakuwa na watu wa uhakika mpaka siri zikavuja.Hata huyo mkwere naye alivuruga na anajua hilo. Haya mambo ukiyaelewa kwa undani sana sana utasema: ''du mafisi kumbe yalifika hatua ya kusalitiana kiasi hiki?''
π πYuko wapi Musiba au bado ana Msiba