Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Shida ya Mama ni kutoonesha matumaini ya kumaliza matatizo ya kimfumo yaliyopo. Hata Hayati Jpm alifanya kosa kama hilo. Laiti kama angeweka mifumo ya kisheria na kikatiba imara angeongoza kwa urahisi sana. Na yeyw alitaka kutumia udhaifu uliopo kukandamiza wanyonge wake.

Hii ni opportumity murua Rais Samia anaweza kuitumia kama Mkuu wa Nchi kurekebisha haya mambo.
Yanayoitwa matatizo ya kimfumo yanawanufaisha ccm na yeye akiwa miongoni mwa Wanufaika..

Sasa bila pressure hakuna kitu kinaitwa matatizo ya kimfumo yatatatuliwa hadi pale wananchi watakapoamua..
 
Sasa hayupo na hawezi chunguzwa, Saa 100 mwenyewe lazima alishiriki mambo yanayosemwa mfano ununuzi wa ndege nk

Haina maana kwa sasa,na viongozi wa sasa ni kama mwendazake tu ndio maana waliimba ccm ni ile ile
nani alikwambia aklishiriki,nani kakwambia ukiwa makamo wa rais una maamuzi juu ya rais
 
NI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
yana maana sana waliojeruhiwa badhi wapo wanaweza kurudishiwa tabasamu lao
 
Sawaa sisi sio watoto wadogo

Hatuhitaji propaganda

Let ushaidi

Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.

Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo

Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii

Povu Ruksa tutoe ushaidi
tunaomba wewe utupe ushahidi wa hiyo midola kwanza.eti ulikiri na ukalipa we kweli msenggg..e hujaona hapo amesema mtu anabinywa mapumb..u miaka miine ingekua wewe usingelipa hata kama ni uongo
 
Mijitu ambayo akili ziko tumboni inawaza mchele, na maharage tu. Unalalamika bei ya Petrol wakati gari huna hata baiskeli huna. Sisi wenye magari mbona twaingia na kununua peteoli kama Kawaida.?

Unasema bora Magufuli wakati umesahau kuwa yeye alikuta bei ya Kilo ya sukari ni Tshs 1,800/- lakini kwa upumbavu wake akavuruga mfumo ikapanda hadi Tsh 3,000/- Afadhali ya Magufuli iko wapi hapo?
Vyeti feki acha chuki,Magufuli amefariki sukari ilikua 2,200/=
 
Huu uzi uliletwa na kuondolewa haraka ! Tumshukuru Allah kwamba umerejeshwa .

Magufuli japo amekufa lakini hakuwa peke yake kwenye unyama huu , Je alishirikiana na akina nani , wako wapi na kwanini wasikamatwe na kuhukumiwa kwa ushiriki wao kwenye kikosi cha mauaji cha kishetani ?
Tatizo hiyo cheni ukigusa utafika kwenye kina kikuu kabisa ambapo wengine walisema nchi itatetemeka
 
Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji,sema hakutaka kukitukia tu
Duh!

Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.

Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!

Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!

Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
 
Kulipa kodi mihimu sana ila kinachoaatikana kisifanye wachache waishi kama wako mbinguni na wengine kama wako shimoni. Ni nani asiyelipa kodi/tozo. Lakini, je, hakuna anayekosa hata panado japo analipa na maji anakunywa ya kisima?
Umesema vyema, tungekuwa tunaona kwa macho kodi zetu zinaenda wapi angalau ingependeza,mfano, ukutane na Hospital iliyojengwa kwa kodi au basi nyumba za NHC,lakini pia hiyo kodi isiwe kubwa,
 
Back
Top Bottom