Niliwahi kusimuliwa hii.Siyo matope ni kweli. Yule mama amewahi kubebeshwa kichwani makarai kuhamisha mchanga nyumbani kwake upatao Lori Zima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kusimuliwa hii.Siyo matope ni kweli. Yule mama amewahi kubebeshwa kichwani makarai kuhamisha mchanga nyumbani kwake upatao Lori Zima.
Usimsanue maana asojua maana.Amekariri vijisentensi vya chekechea eti "mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe"!Hajui hata kujiongeza.Miti mingine nuksi.Ina majoka yanarushiwa mawe yafe.Nyerere je? Kùna positive na kuna Negative legacy
Yanayoitwa matatizo ya kimfumo yanawanufaisha ccm na yeye akiwa miongoni mwa Wanufaika..Shida ya Mama ni kutoonesha matumaini ya kumaliza matatizo ya kimfumo yaliyopo. Hata Hayati Jpm alifanya kosa kama hilo. Laiti kama angeweka mifumo ya kisheria na kikatiba imara angeongoza kwa urahisi sana. Na yeyw alitaka kutumia udhaifu uliopo kukandamiza wanyonge wake.
Hii ni opportumity murua Rais Samia anaweza kuitumia kama Mkuu wa Nchi kurekebisha haya mambo.
lio auliweungesema angali akiwa hai,
ili wamuueungesema angali akiwa hai,
Lissu alisema akapigwa risasiungesema angali akiwa hai,
nani alikwambia aklishiriki,nani kakwambia ukiwa makamo wa rais una maamuzi juu ya raisSasa hayupo na hawezi chunguzwa, Saa 100 mwenyewe lazima alishiriki mambo yanayosemwa mfano ununuzi wa ndege nk
Haina maana kwa sasa,na viongozi wa sasa ni kama mwendazake tu ndio maana waliimba ccm ni ile ile
yana maana sana waliojeruhiwa badhi wapo wanaweza kurudishiwa tabasamu laoNI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Atakayeibishia hii kauli apigwe bakora salasini za shingo.Samia aliposema kutibu vidonda maana yake kuna mauaji yalifanywa na Jiwe
Obvious atakua anacheka hihihihi "niliwaangalia tu mnavompa kichaa rungu"Mama janet akiyasikia haya huko alipo sijui anajisikiaje
Atakuwa anawacheka wana-CCM.😂😂😂😂Obvious atakua anachek hihihihi "niliwaangalia tu mnavompa kichaa rungu"
tunaomba wewe utupe ushahidi wa hiyo midola kwanza.eti ulikiri na ukalipa we kweli msenggg..e hujaona hapo amesema mtu anabinywa mapumb..u miaka miine ingekua wewe usingelipa hata kama ni uongoSawaa sisi sio watoto wadogo
Hatuhitaji propaganda
Let ushaidi
Wewe hizo midolaa uliokuwa unapewa na mabeberu za kazi ganii.
Tuanze hapo tujibu ,sema zilikuwa za nini ,kwanini wakupe wewe.
Maana ushaidi upo
Ulikiri makosa na ukalipa uliufutiwe kesiii
Povu Ruksa tutoe ushaidi
Vyeti feki acha chuki,Magufuli amefariki sukari ilikua 2,200/=Mijitu ambayo akili ziko tumboni inawaza mchele, na maharage tu. Unalalamika bei ya Petrol wakati gari huna hata baiskeli huna. Sisi wenye magari mbona twaingia na kununua peteoli kama Kawaida.?
Unasema bora Magufuli wakati umesahau kuwa yeye alikuta bei ya Kilo ya sukari ni Tshs 1,800/- lakini kwa upumbavu wake akavuruga mfumo ikapanda hadi Tsh 3,000/- Afadhali ya Magufuli iko wapi hapo?
Mganga ni nani huyo,Mkuu ?
Muache huyo jamaa,hajui petrol ikipanda sisi tusio na gari nauli zinapanda, anataka wao wenye gari tu ndio walalamike😂Vyeti feki acha chuki,Magufuli amefariki sukari ilikua 2,200/=
Kwa hiyo Lisu ndio Reference ya mambo yanayoendelea Tanzania?Pengine alijua ila sio kushiriki..Lisu mwenyewe anakiri kwamba hajawahi pata kashfa yeyote kumhusu Rais Samia.
Tatizo hiyo cheni ukigusa utafika kwenye kina kikuu kabisa ambapo wengine walisema nchi itatetemekaHuu uzi uliletwa na kuondolewa haraka ! Tumshukuru Allah kwamba umerejeshwa .
Magufuli japo amekufa lakini hakuwa peke yake kwenye unyama huu , Je alishirikiana na akina nani , wako wapi na kwanini wasikamatwe na kuhukumiwa kwa ushiriki wao kwenye kikosi cha mauaji cha kishetani ?
Pumbavu Sanaungesema angali akiwa hai,
Duh!
Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.
Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!
Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!
Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
Umesema vyema, tungekuwa tunaona kwa macho kodi zetu zinaenda wapi angalau ingependeza,mfano, ukutane na Hospital iliyojengwa kwa kodi au basi nyumba za NHC,lakini pia hiyo kodi isiwe kubwa,Kulipa kodi mihimu sana ila kinachoaatikana kisifanye wachache waishi kama wako mbinguni na wengine kama wako shimoni. Ni nani asiyelipa kodi/tozo. Lakini, je, hakuna anayekosa hata panado japo analipa na maji anakunywa ya kisima?