Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa upumbav hapa ,huyo Rais na wajinga wenzake si kaajiliwa na wananchi ? ,wanakula na kuishi Kwa Kodi za wananchi ,hii Tabia ya kijinga Sana kuwaona hao vibwengo kama miungu watu ni dalili ya upungufu WA akili timamu .Sasa kama walikuwa hawataki kusemwa wala kukosolewa hivyo vyeo waligombea vya nini ? ,wengine mpaka wanaenda kulala Kwa waganga wa kienyeji na kutembea nao ili wapate hivyo vyeo vya kisiasa .Kabendera akumbuke hayuko juu ya sheria. Kumsema vibaya kwa tuhuma kama hizi ni kosa kisheria. Hapo haichukuliwi kwsmba anamsema JPM, bali anaisema taasisi ya urais na serikali kwa ujumla ambayo mpaka sasa inaongoza nchi.
Yaani wewe Unatumia itel unamcheka kwenye infinx ,kweli matatizo ya akili ni real nchi hiiSimu yenyewe unatumia Infinix bwege kabisa
Wapuuzi kama Akina Polepole ,Bashiru ,lukuvi, profesa majalala Kabudi ,lile linafiki limadelu ,msukuma ,bashite ,Sabaya hili ndio lilikuwa genge la mwendakuzimuHe was bad, Worsest ever! Acheni mungu aitwe mungu, washauri wake wakuu walikuwa ni akina nani? Nao wanapaswa kuogopwa kweli.
Yaani lile lihutu la intarahamwe sijui lilikuwa linajiona kama Nani Yani , lilikuwa limetayarisha mapimbi kama akina masinde ,ndugai , msukuma , deo Sanga na mazezeta wengine mule kumpigia mapambio kila siku ,mara mitano tena mara 10 tena ,smzile kauli za kifedhuli fedhuli ,yaani Kwa kweli Mungu alitueousha na mengi tulikuwa tunaelekea katika Hali mbaya SanaMuhuni ni yule aliyetaka kuvunja katiba atawale taifa hili lenye misingi imara milele, JK alitukomboa kwa kukataa uhuni na kuuzima, usitokee ki #VAN DAME!
Dah ! Mdude , Roma na wengine walibatizwa Kwa Moto Kwa kweli Ile torture waliyopewa na wale mbw@ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu walibanwa sana kende zao kisenge sana aisee!!
Huyo muhuni wa Msoga ndiyo anaharibu nchi,msifieni sana Ila siku mukimjua vizuri mtabaki midomo wazi.Nadhani tutaelewana muda ukifika,kwasasa bidhaa ambayo haijapanda Bei ni Chumvi ya mboga tu.
Mwenyewe kanenepa na kanawiri Mama Janet Mstaarabu sana.Mama janet akiyasikia haya huko alipo sijui anajisikiaje
Naunga mkono hoja, upo sahihi kabisa ChiefYanayoitwa matatizo ya kimfumo yanawanufaisha ccm na yeye akiwa miongoni mwa Wanufaika..
Sasa bila pressure hakuna kitu kinaitwa matatizo ya kimfumo yatatatuliwa hadi pale wananchi watakapoamua..
Magufuli angetaka kumkamata kikwete wala asingehangaika kubinya watu korodani.Team Msoga wameanza propaganda, haya mashambulizi dhidi ya JPM yatakuja kuipasua CCM 2030.
Kwani lini alikuwa hashtakiwi?,shida ni mchakato wake mgumu tu,Raisi mstaafu anashtakiwa ila mpaka kinga yake iondolewe bungeni kwanza,sasa kwa bunge lile lililoshikwa masikio na Jiwe ilikiwa ni suala la simu moja tu kwa bwana Ndugai bunge linapiga kuondoa kinga kwa asilimia 100Kumbe Rais mstaafu anashitakiwa siku hizi