shimboni mene
JF-Expert Member
- Sep 11, 2022
- 264
- 290
Tumbili weeNI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbili weeNI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Mkapa mfuu mbona hatumkejeli?ACHENI KUWAFANYIA DHIHAKA WAFU. KWANI SIYO JAMBO JEMA
Unajizima data, eti kwa sheria gani kana kwamba bwana yule alikuwa anafata sheria za nchiAmkamate JK kwa sheria na katiba ipi kwanza?kuna wakati watu wanaandika uongo mpaka wanajisahau...
Hayati Mzee Mkapa Mungu amlaze mahala pema peponi.Mkapa mfuu mbona hatumkejeli?
Hitler magufuli ni somo la kutosha
Anataka kuaminisha watu kuwa mwendazake alikuwa anafata sheriaYeye hakuwa muumini wa kuheshimu katiba,kwani alizuia mikutano ya hadhara ya vyama pinzani kwa katiba ipi?
✓ Kauli hizo ni halisi ktk ulimwengu usionekana kwa macho ya damu na nyama, yaani (invisible world) na zinazaa matokeo katika ulimwengu huu unaouona kwa macho...Jipe Moyo na Misemo HEWA
Wewe fanya yako na wao waachie yao. Kama ni umbea wewe unausoma wanini?Watanzania raia wa ajabu
Umbea wa siasa
Ubishani wa mipira
Wape kazi sasa wavivu hatari.
Kulalamika ndio uwezo ulipoimarika wao.
Kuna raia hapa zina comment kwa uchungu ila huko kazini hatimizi majukumu yake kwa wakati, anacheki mianya ya upigaji[emoji23] na kula kuku kwa mrija na shankupe lake.
Eyooo pigeni kazi
Umbea achia wadada wa saloon.
We Mzee ni mnafiki ,wewe ndio ulikuwa unaongoza wenzako kumpamba huyo mhutu humu , ilifikia kipindi mpaka ukiandika kitu kumkosoa magufuli na genge lake ,unspigwa ban na moderators , yaani kulikuwa kuna mapimbi humu sijui ndio walipewa umederators ,ukiwapa facts na kuwaumbua mods uchwara WA humu walikuwa wanakupa ban na Nina wataja hapa chini hao mapimbi wote na machawaNimeguswa na huo mwaka 2030!, angalia tarehe ya bandiko hili Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
Ulitaka apotezwe? Nani alikuwa na uwezo huo?Kabendera bendera fuata upepo. Hana akili si angemsema jamaa akiwa hai. Unagombana na marehemu na mauti
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Alikuwa jizi ama majizi mengine akijificha kwenye kichaka cha nyie wanyongeIn magufuli word ukiona unasifiwa na adui rudi nyuma jiulize umekosea wapi
Ila ukiona adui ana lalamika jua kabisa umewatwanga kweli kweli
Hizi zote ni propaganda tu hakuna ukweli wowote lakini kama kuna ukweli ujuwe kabisa ulikuwa mafia fulani ukakutana na mafia mwenzako akakumafia uko uko
JPM hakupenda ujinga
Je wajua hata kipindi cha Idd Amin kulikuwa na watu kama wewe?The hero wewe cheki tu jina lake likitajwa kuna watu wanakosa raha mpaka wana data
View attachment 2386549
Wewe acha uwongo, labda ulikuwa Burundi ndiyo maana unapinga tu.
Halafu nashangaa kila anayepinga udhalimu wa Magufuli anaitwa Cheti Feki au Fisadi. Hiyo siyo sawa, kuwa na Cheti Feki hakuchukui haki ya mtu kutoa maoni. Isitoshe hata Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD Feki. Leta hoja nyingine
Ila kumbuka Jiwe alitoka hadharani na kusema yeye hashauriki, sasa hapo utamlaumu Samia au Pm?Uraisi ni taasisi na taasisi ni watu na huwezi kuwatoa watu hao kwenye uovu wa taasisi hiyo ama kwa kuufumbia macho uovu huo au kwa kuusapoti..........
Kimantiki huwezi kumuweka kando Samia Kwa tuhuma ovu dhidi ya Magufuli na watu wa karibu.........
Hakujawahi kuwa na rais mwenye taasisi safi ndani ya nchi yetu Kwa kuwa watawala wakishashika usukani hawalendezwi na maoni au mitazamo ya wanaowaongoza........
Wanachozidiana na uovu lakini wote ni waovu........
Kama ambavyo walitolewa meno wakina Ulimboka Kwa kupigania haki na maslahi Yao ndio walivyo angamizwa wengine kwenye utawala ule......
Tunachotakiwa kufanya ni kupigania katiba mpya itakayokuwa na uwezo wa kuwajibisha taasisi ya uraisi kwenye mikono ya kisheria ili kuleta uadirifu na uwajibikaji kwenye taasisi hiyo Kwa maslahi ya umma.......
Jiwe alikuwa anafata katiba/Sheria?Kabendera kaandika uongo
Katiba ya nchi inamlinda Raisi akiondoka madarakani hairuhusiwi kumkata wala kumshtaki kwa lolote alilotenda akiwa Raisi
Analindwa na katiba
Kabendera yuko sifuri kichwani kuhusu katiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazo la kijinga lililosemwa na mpumbavu!ungesema angali akiwa hai,
Kweli Jiwe alipendwa na watu wajinga wajinga, sasa wewe hata kuandika tu hujui na wewe ndiye mfuasi wake a.k.a mnyonge wakeMagufuli nikiongozi bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili.yaani hata mumchafue vipi amewakuna kunako takiwa kwani kumkamata kiongozi wa mafisadi nizambi
Mungu aliingilia ugomvi kesi ikaisha Mungu fundiThubutu...angepotezwa kama ameingizwa kwenye pipa la tindi kali.... don't u knw the guy? Kuna ukuu wa Mungu umepita kwenye hii nchi ni vile tu hatuoni kwa macho ya Roho!!!