Ni kweli lakini ajifunze kwa Mtangulizi wake JPMYanayoitwa matatizo ya kimfumo yanawanufaisha ccm na yeye akiwa miongoni mwa Wanufaika..
Sasa bila pressure hakuna kitu kinaitwa matatizo ya kimfumo yatatatuliwa hadi pale wananchi watakapoamua..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli lakini ajifunze kwa Mtangulizi wake JPMYanayoitwa matatizo ya kimfumo yanawanufaisha ccm na yeye akiwa miongoni mwa Wanufaika..
Sasa bila pressure hakuna kitu kinaitwa matatizo ya kimfumo yatatatuliwa hadi pale wananchi watakapoamua..
Tarehe 17 03 2021 itabaki kuwa siku ya ukombozi wetu Watanzania. Nchi ilikuwa inaenda kuzimu kabisa,asante Mungu kutuamulia huu ugomvi.View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Lazima yasemwe ili Kama Kuna waliobakia wawajibishwe walioshirikiana nae Kama kina biswalo mgangaNI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Sijakuelewa unataka kusemaje labda?Ni kweli lakini ajifunze kwa Mtangulizi wake JPM
Ndio mnamtegemea kusukuma ajenda zenu na kuibua ufisadi.Kwa hiyo Lisu ndio Reference ya mambo yanayoendelea Tanzania?
Dawa ni kuwafanyia kitu mbaya hawa masalia yake,Makonda,Sabaya,Ali Hapi,Bashiru, Alexander Mnyeti na wengineo.
Mwana kulitaka......Yaani mtu mwitu wa Chato ndanindani afanikiwe kumkamata mtoto wa mjini@?? Tena mafia,kitambo sana katika hizi kazi..Mawazo ya mwendazake sasa yalifikia hatua ya mwisho kabisa ya kuwa mawazo mfu,angalau angesikiliza washauri bais dah!!
Dah..poleNdio mnamtegemea kusukuma ajenda zenu na kuibua ufisadi.
Yaani ni bidii na juhudi za kuondoa legacy iliyopo. Hata siku moja haitafanikiwa. Legacy utaiondoaje? Na Mungu anakasirika kwa juhudi za kishetani kama hizo. Ona mauaji ya kiajabu yanayofanana na yale ya albino albino yamerudi. Ona ajali zinazoua makumi ya watu zimerudi na tulishasahau yote hayo. JPM aliingia mauaji ya albino STOP. Vifo vya ajabu ajabu stop. Sasa wamefanya walichofanya JPM hayupo yamerudi hayo mauaji. Bila toba kwa Mungu hii nchi ni finished. Ona ukame wenzetu majirani mvua kuliko wastani. Jamani TUTUBU kwa ajili ya waTZ waliomfa nyia mabaya na wanaoendeleza kujaribu kufuta legacy japo KAMWE hawatafanikiwa
Alikua ni professor wa unafkiDuh!
Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.
Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!
Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!
Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
Lini jiwe aliwahi kuheshimu katiba?Kabendera kaandika uongo
Katiba ya nchi inamlinda Raisi akiondoka madarakani hairuhusiwi kumkata wala kumshtaki kwa lolote alilotenda akiwa Raisi
Analindwa na katiba
Kabendera yuko sifuri kichwani kuhusu katiba
Marehemu akifa ndo Siri zake zinakua waziungesema angali akiwa hai,
Hivi huyu Erick hua akomi sema huyu maza mpole sanaView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Wewe unazungumza nadharia tu, hivi yule mjamaa ni wa kumkatalia halafu ukaenda zako kuishi kwa amani?Sasa kwann alirudi
Hawa wamama wanaachana mme akiwa rais wanarudi kwan wakikataa kuna shida
Cc britaniccaAngesemea wapi??
Kuna Mwanadamu anapenda Kufa / Kufariki?ungesema angali akiwa hai,
Kabendera kaandika uongo
Katiba ya nchi inamlinda Raisi akiondoka madarakani hairuhusiwi kumkata wala kumshtaki kwa lolote alilotenda akiwa Raisi
Analindwa na katiba
Kabendera yuko sifuri kichwani kuhusu katiba
Wewe acha uwongo, labda ulikuwa Burundi ndiyo maana unapinga tu.Vyeti feki acha chuki,Magufuli amefariki sukari ilikua 2,200/=
Mama Janet anaujua ukatili wa mmewe. Magufuli alikuwa anamtembezea mboko Mama J. Yule mama ni mvumilivu anatakiwa kupewa taji ya ndoa kumvumilia mtu controversial kama John.
System ya nioko ,Huu upumbav,unafiki, uchawa na uoga WA kijinga ndio ulisababisha maafa awamu iliyopita ,watu wakafilisiwa ,wakauawa , kutekwa ,kuteswa ,kubambikizia kesi za uongo ,kutishwa na kuchafuliwa Kwa kashfa mbovu za uongoKabendera umeanza Tena naona hujakoma. Achana na system