Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Watu wana kumbukumbu.Kavuliwa shati alilovaa kwa vile lilijaa damu akavishwa jezi ya Chelsea
Ardhi huwa inamlilia mtu aliyekatiliwa maisha na kuuwawa kidhalimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wana kumbukumbu.Kavuliwa shati alilovaa kwa vile lilijaa damu akavishwa jezi ya Chelsea
Hakuna shida... endelea kuteswa na mtu ambaye hayupo.Jiwe kafa nawe lazima ufuate.
Halafu akafa kibwege sana!raraa reree alimuua ben kwa mkono wake mwenyewe na bastola ikulu.alipokuwa anagombea ubunge alikuwa anateka wapinzani wake siku ya kutokea anakuja peke yake
Ili auawe???Ungesema angali akiwa hai.
Hili Taifa lenu mngekuwa na Katiba bora na sheria za maana ambazo Rais mstaafu anaweza kushtakiwa, mngekuwa na mstaafu wa Urais uraiani?Kavuliwa shati alilovaa kwa vile lilijaa damu akavishwa jezi ya Chelsea
Ndio umvizie usiku?Hili Taifa lenu mngekuwa na Katiba bora na sheria za maana ambazo Rais mstaafu anaweza kushtakiwa, mngekuwa na mstaafu wa Urais uraiani?
Kabendera kila akilala humuota JPM, he haunted himView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Kwa kweli pangekuwa hakuna !Hili Taifa lenu mngekuwa na Katiba bora na sheria za maana ambazo Rais mstaafu anaweza kushtakiwa, mngekuwa na mstaafu wa Urais uraiani?
Kweli, hatua ni muhimu kuchukuliwa ili asitokee kiongozi mwingine wa aina hiyo!NI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Kufa Kwa yule Jamaa ni faida Kwa Nchi maana hakuna rangi tungeacha kuona 🤣 🤣View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
====
Aliyoandika Kabendera
Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.
Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.
Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Kwani kunatofauti gani na sasa? Si tunatemwa kama kawaida na sasa imezidi ata unaweza simamishwa mchana kweupe.Kufa Kwa yule Jamaa ni faida Kwa Nchi maana hakuna rangi tungeacha kuona 🤣 🤣
Sio kuota tu, kamuandikia kitabu kabisa. Nightmare sio mchezo. Ben Saanane angepona angeandika encyclopedia britannica ya Jiwe kabisa.Kabendera kila akilala humuota JPM, he haunted him