Erick Kabendera: Rais Samia “Thucydides Trap” haitakuacha salama

Tulichokiona wiki iliyopita wakati wa ziara za Makonda kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa ni kutumia mbinu zile zile alizozitumia kwa Magufuli kumhadaa Rais Samia; anaonekana kama vile anampigia kampeni Rais Samia wakati huohuo anasafisha jina lake na kuandaa mtaji wake wa kisiasa wa huko mbeleni....



Nmeamin jamaa ni mwanadishi mpuuzi kuwahi kutokea.

Haya Makonda anaandaa mtaji wake kisiasa Kwan ni dhambi???.


Kwan Makonda anataka kushindana na Samia??.


Sikuna watu wanashindana na Samia, wapi wanojiandaa Urais 2030?? Kwan Makonda sio haki yake kujiandaa Urais hiyo 2030??.


PUMBAVU KABISA, JANDISHI KANJANJA.
 
Wengine majina makubwa ya bure, kazi ni kudanganya watu tu.

Unaleta "theory" ya himaya kamili kwa mtu mmoja?

Kwa andiko hili nimeamini Makonda anatisha.
 

..Makonda sasa amejiunga na anafanya kazi na genge la kina Kinana, January, na Nape.
 
Huyu arudi kwao huko ambako vita ni km chakula,
Cucydide trap ndo nini?
 
Huyu kabendera si ndo miongoni mwa waliotunga kitabu cha kumnanga Magu 'the state' nafikri kiliishia kwa wauza vitumbua kwa ajili ya kufungia wateja.
Nilivinunua nikavikojolea na kuvichoma moto.

Ilibakia kidogoo tu niviharishie ila sikuwa na tumbo la kuhara.
 

Acheni kumtisha Madam President na vocabularies zenu za kuungaunga!




Kwamba ninyi humu ndani ndio mnajua sana na mnaona yajayo kuliko Rais?

Kwamba ninyi mnayajua maelekezo ya Rais kwenda kwa muenezi kuliko Rais mwenyewe?


Endeleeni kumchukulia poa Madam President, yajayo yanafurahisha zaidi.
 
Huyu jamaa ni uwezo wa kufikiri ni mdogo. Makonda chapa kazi!
 


CCM ni box la Pandora.
 
Kabisa, kafanikiwa kirahisi sana, wapinzani ndio wamekuwa spika yake ya kila anachofanya.

Siku watakayojua kuwa adui yao mkubwa ni CCM na si wateuliwa ambao leo wapo kesho hawapo watafanikiwa.


Na bado CCM sio adui yao.

Unamtazama vipi mtanzania alieridhika na kuiamini CCM kwa kila kitu?
 
Pamoja na maelezo marefu ya kurembaremba na kizungu ndani yake, Bado hujaeleweka mkuu! 😳
 


Kwa mzee Kinana umeenda mbali.

Kazi aliyoifanya Nape 2010-2014 jimbo kwa jimbo hawataki kuikumbuka.
 
Huyu kabendera si ndo miongoni mwa waliotunga kitabu cha kumnanga Magu 'the state' nafikri kiliishia kwa wauza vitumbua kwa ajili ya kufungia wateja.
Kaja na kingine!
 
Huyu kabendera si ndo miongoni mwa waliotunga kitabu cha kumnanga Magu 'the state' nafikri kiliishia kwa wauza vitumbua kwa ajili ya kufungia wateja.
Kimenunulia sana na nakala kuisha. Nimekiagiza UK ndiyo nikakipata! Haikusaidii usema ujinga ukashangiliwa na wajinga wenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…