magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Unategemea Cristiano Ronaldo msaada hapo Kisesa hakutakua na Camera?Huo ni Msaada au amepata uwanja wa kutafutia 'promo'.
Kujichukua Kamera kwenye mambo mazito kama hayo ni sawa na kuchukua picha wakati wa kugegedana.....inabadilisha kabisa uzito wa jambo husika.
Unachoshindwa kutofautisha yule ni Eric Omondi na wewe Ngorunde.
Hilo tukio ungefanya wewe kusingekuwa na camera.