ESCROW: Jaji Werema ametangulia mbele za haki David Kafulila anakumbukwa kwa ushujaa aliounesha?

R.IP Mzee Werema,
Alipatwa na nini?
 
Je, ni wangapi mnawaza kama Mimi kuhusu Urais na Kafulila?


I agree 2mbili for presidency
 
Unawaibia watanzania lakini mwisho wake ni mauti. Unaacha kila kitu ulichoiba. Enyi viongozi mwisho wa wizi ni mauti
 
Kafulila sio Raia kwanini mnaficha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…