ESCROW: Jaji Werema ametangulia mbele za haki David Kafulila anakumbukwa kwa ushujaa aliounesha?

Kafulila ni hazina kwa Taifa kama atalelewa katika maandalizi hayo ya hapo baadae
 
Sijui wanavotuibiaga haya mahela uwa wanahis wataishi milele pumbavu

Marehemu apumzike alipojichagulia mwenyewe
 
Kafulila a.k.a tumbili ndio shujaa??

Huyu mwongo na dalali wa wawekezaji uchwara?
Sio wawekezaji uchwara. Hata DP World mulisema ni uchwara kumbe mukasahau ilikiwa mbinu ya majirani zetu tusije kuwapita kupokea mizigo mingi ya bandari. Nafikiri sasa unaona manufaa ya DP World baada ya msemaji wa Serikali juuzi kuyasema ya Bandari .
 
Hebu fafanua vizuri hii mkuu
 
shida ya watanzania ni kwamba leo si unaona hakuna anayeuliza kabila la MH KAFULILA.lakini nakuhakikishia akichukua form ya kugombea urais watu wataanza kusema mara yeye ni mhutu wa burundi ,sijui rwanda au mnyamlenge wa kongo.hahahahaaa
 
shida ya watanzania ni kwamba leo si unaona hakuna anayeuliza kabila la MH KAFULILA.lakini nakuhakikishia akichukua form ya kugombea urais watu wataanza kusema mara yeye ni mhutu wa burundi ,sijui rwanda au mnyamlenge wa kongo.hahahahaaa
Wenje ni muhuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…