cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msamehe tyuuh bas.Huyo niliyemjibu nadhani kuna vitu vimeachana kichwani kha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msamehe tyuuh bas.Huyo niliyemjibu nadhani kuna vitu vimeachana kichwani kha!
Tatizo wanawake ukiwa mkweli hawakutaki sasa lazima uwe muongo [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wanawake wanapendaga mtu mwongo mwongo kama msizwa , imagine ye alikuwa anaenda kuwa mke wa tatu ila sababu ya fame and money akakubali tu...poor ladies.
[emoji23][emoji23][emoji23] wale bado wana utandale sanaHata kama ni hasira lakini kwa mtu uliyelala nae kitanda kimoja huwezi kufunguka namna ike na unajua kipindi kitarushwa. Msizwa hata j
Kama alikwenda kimaslahi u Tandale aliokutana nao hana hamu.
Huyo mwanamke bado ana uswahili sana utandale bado wanao haoHuyo mwanamke sio wife material. ,,
Mke hawezi kuongea siri za mumewe hadharani.
Hiyo ni taka taka kama taka taka zingine.
Msizwa sio mwongo ni jambazi😂😂😂😂Tatizo wanawake ukiwa mkweli hawakutaki sasa lazima uwe muongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hali anaiona sahv hakujua tokea mwanzoMsizwa sio mwongo ni jambazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haina madhara sana, hawana hata mtoto atakae kuja kuumiaHuyo mwanamke bado ana uswahili sana utandale bado wanao hao
Hakutakiwa toa siri za mwanaume hivyo
Ova
Hakika kabisa mkuu,,Huyo mwanamke bado ana uswahili sana utandale bado wanao hao
Hakutakiwa toa siri za mwanaume hivyo
Ova
Hivi hilo tendo kwani kwa mwanamke linakuaga ni udhalilishaji au ni starehe kama ilivyo kwa mwanaume😎😎😎Lakini yeye asma kuvuliwa dera na kulazwa miguu juu siku mbili na kuachwa......
Msizwa amekaa ki mission town sanaIla huyo Msizwa nae maneno meeeengi, usanii mwingiii, janjajanja tuu
Hongera kwake Esma kwa kutumia akili yake sawasawa vinginevyo angempelekea lile bag yule M-Pakistan kule Zanzibar angeweza kuwa na mama wa vibubu segerea
Na zile tuhuma za Mange sio za uongo
Udhalilishaji upo wapi hapo?Hivi hilo tendo kwani kwa mwanamke linakuaga ni udhalilishaji au ni starehe kama ilivyo kwa mwanaume[emoji41][emoji41][emoji41]
Maana hiyo comment ni kama vile ni kitu cha kudhalilisha esma
Ila mume ndio afaa kuongea Siri za mke! Alianza msizwa kuongea shit....Huyo mwanamke sio wife material. ,,
Mke hawezi kuongea siri za mumewe hadharani.
Hiyo ni taka taka kama taka taka zingine.
Shit kama zipi?Ila mume ndio afaa kuongea Siri za mke! Alianza msizwa kuongea shit....
Dada wa taifa haongopi[emoji848]Ila huyo Msizwa nae maneno meeeengi, usanii mwingiii, janjajanja tuu
Hongera kwake Esma kwa kutumia akili yake sawasawa vinginevyo angempelekea lile bag yule M-Pakistan kule Zanzibar angeweza kuwa na mama wa vibubu segerea
Na zile tuhuma za Mange sio za uongo
Muongo huyu domo zege anampaisha kakaakeKumbe vi bom kwenda kwa Diamond vilianzia milioni 100-200. Kweli mjini shule, Dar form six.
[emoji28][emoji28][emoji28] fasta fastaSpeed ya Msizwa ilikua kubwa sana, uncle Shamte anajua kula mdogo mdogo. Sasa yeye hata miezi sita ya ndoa haijafika anataka Diamond awe ana perform Msizwa Lounge.
He he he [emoji28]Ndoa za kiislamu ni uchafu wa dunia. Niongeze sautiiii.
Kichwani ni triple 000Tujitahidi kusomesha watoto wa kike,huyu dada ni bogus kuna vitu anaongea anaonekana hajui hata madhara yake,alisema ametoa mimba ila baada ya kuambiwa unajua unaweza kufungwa?ameita interview nyingine alafu anatoa boko lingine la biashara ya mumewe,yaani huyu Mmasai anamtumia vijana wa kumhoji dk 0
Sio tu imepitwa na wakati, ni haipo kabisaHii dhana ya kufikiria kuolewa na tajiri utaishi happily ever after mbona imepitwa na wakati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]Tatizo wanawake ukiwa mkweli hawakutaki sasa lazima uwe muongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova