Ester Bulaya: Ni bora sisi tuwatumikie mabeberu kuliko kukutumikia wewe!

Bulaya anajisahau sana,hata ukiwa mpinzani kuna makombora ya kurusha
Huko ni kujivua nguo hadharani
Wewe ndiyo unajivua nguo na kuonyesha jinsi kichwa chako kilivyobeba kamasi.
 
hujajua serikali ni muhimili mzito zaidi au huelewi!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utanitumikia mtu mjinga anayekimbilia Chato.....watu wanakufa kwa kasi ya 4G wewe unawadanganya wananchi umekimbilia kujificha polini?
 
acha maneno ya hovyo ndugu
 
Yeah hata mamlaka zinajua hivyo ndo maana wakiingia kwenye 18 wanakuwa treated kama vibaraka wa mabeberu.(kipigo sana)

Vyama vingi nchi hii ni shinikizo la mabeberu tu,watanzania kwa wingi wao waliukataa kupitia tume ya Jaji Nyalali.

Ni zao la haramu,maoni ya wengi yalipuuzwa, Demokrasia ilibakwa.
 
We utanitumikia mtu mjinga anayekimbilia chato.....watu wanakufa kwa kasi ya 4G ww unawadanfanya wananchi umekimbilia kujificha polini?
Mbwa zu ndo watakutumikia wale walamba makalio kwa ajili ya vyeo pale lukumba
punguza stress maisha ni mafupi sana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kua na akiba ya maneno dada, haya uliyoandika nakushauri uyafuta sasa hivi. Chukuabushauri wangu kama unajithamini.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ni taasisi inayojitegemea na ni kundi kubwa la watanzania, hivyo jiandae kwa kauli yako ya kulinganisha taasisi na mbwa
 
nadhani uhuru wamepata watu wachache ambao ni washika dau na tumeruhusu new form of colonialism ambayo ni dictatorship gvt iliyo more advanced.na bado tunasumbuliwa sana na ukabila ambao pia ni more advanced kwa hapa kwetu Tanzania ni ngumu sana kujua hilo ila kwa washika dau ukabila ni miongoni mwa ajenda, na unafiki hapa kwetu ndo usiseme.MAENDELEO YAPO ILA YANA CHAMA MAHALUMU
 
Kauli Kama hii ilitolewa na baadhi ya vijana wa chuo kikuu Cha Dar es Salaam mwanzoni mwa miaka ya 60 wakikataa uamuzi wa kwenda Jeshi la kujenga taifa (JKT) na watumishi wa serikali kukatwa asilimia 40 ya mishahara yao...wakipinga haya wanafunzi hao walidai afadhali ya mkoloni...Nyerere akatoa speech Kali ya kihistoria ambayo baadaye iliwekwa kwenye kajitabu kadogo...wanafunzi hao wote wakafukuzwa Chuo na baadhi yao tunaelezwa baadhi yao walichapwa viboko (Sina hakika na hili) na Nyerere mwenyewe ambaye tunaelezwa alishika bakora kuwatandika watukutu hao waliodai eti afadhali ya mkoloni...nilikuwa mdogo Sana kipindi hicho nadhani nilikuwa darasa la kwanza...ila nilimuona kijijini kwetu mmoja wa waliotimuliwa chuoni aliporejea kijijini..sisi watoto wakati akipita mitaani tukawa tunamchungulua tukimshangaa kwamba naye ametimuliwa kwa kudai afadhali mkoloni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…