Inabidi umsikilize Prof Lumumba uelewe watawala wetu ni watu wa aina gani? Na kuwa wakati ule tulilazimishwa kwenda ulaya kama watumwa, leo tunkufa baharini tukiwakimbia viongozi wetu kwenda Ulaya- Ni maneno ya msomi Prof Lumumba.
Ukitaka kujua kama leo hii muingereza ni mzuri au mbaya, lete meli 100 zile kubwa, halafu waambie watanzania wanaotaka kutupilia mbali uraia wa Tanzania na kwenda kuishi uingereza wapande hizo meli. Sijui kama kuna meli itarudi Tupu.
Najua sisi ni wazuri wa domo, licha ya macho yetu kuona ukweli.
Kama kumsikiliza Prof Lumumba na kumuelewa hilo kwangu ni jambo la kila siku, sidhani kama kuna siku inapita bila kusikiliza speech zake.
Ubaya wa viongozi wa Africa uko wazi kabisaa hili halina ubishi, wapenda madaraka ni wengi sana, hawana maono yoyote na muelekeo wa bara la Africa.
Na wengi wao wanatumiwa na hao hao wazungu kukandamiza waafrica wenzao kwasababu ya tamaa za matumbo yao, hawajali uafrica wao na hawajui nini tunahitaji sisi kama Africa.
Any civilization that know what they want always reachs their destinations, do we know what we want we as Africans?
Umesema vema watu watakimbilia ulaya ndio watakimbilia huko, Ila unajua ni kwanini watakimbilia Ulaya.?
Is this not because of poverty in Africa? If that is true, it this not because of white's exploitation our resources?
Do you remember the Briton Wood Institution and their restrictions to Africa?
do you remember the Brandit report commission to Africa?
Don't you remember the new colonial project?
How about globalization is this a good thing to Africa.?
Why do always they threaten us by sanctions?
Watu wetu wanakimbila ulaya kwasababu ya umasikini tulio nao na umasikini huu haukusababishwa na viongozi we pekee japo nao ni majipu yaliyo iva, ili unyonyaji tulio fanyiwa na tunao endelea kufanyiwa ndio sababu ya umasikini huu mkuu. na hata akitokea kiongozi mwenye maono mazuri bado tu atapigwa na hao wazungu.