Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Uchaguzi 2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

Huo ujasiri wa kutetea chama kilichokuzulumu haki zenu za nyongeza za mishahara mnapata vipi hamu ya kukitetea au ugumu wa life umedumaza fikra maana wengi kula tu ni Hadi wake zenu wauze mihogo
Kwa hiyo na wwe unaamini kabisa kua Mbeligiji atakupa pesa ya Chakula!?
 
polisi hawajielewi...huwezi kamata mtu as if amekataa kutii amri
Duh! Wwe nae kilaza! Kitendo cha Mlinzi kuwakimbia Police kinaaminisha kua Mlinzi amekataa kiti amri ya Police,na wamemuonea huruma sana,maana wengine wanachapwaga risasi za miguu!!
 
legalz sio mchezo....watu wa law hawajahi kumuangusha mtu...mubaki na Phd zenu hewa .."No mothers ,No fathers and cant reach to preach like ..., tupo lait directions" hahahahahahahahahah
Legalz wengi ni matapeli Kama robat,wao kazi yao kutafuta tu loopholes ili kupiga pesa nyepesi bila kuvuja Jasho! Kwa Msukuma nakuambieni mmegonga Mwamba hakuna loopholes hapo kila tundu imezibwa,hadi issue ya Mashoga nayo imezibwa!!
 
Vipaji huwa vina Mambo muhimu tunayohitaji katika Manisha,au unasemaje kuhusu Hilo jkipaji.
Tena hasa ukiwa na Kipaji cha kuendesha Vessel lazima upige pesa ndefu! Au unasemaje Mkuu!?
 
We shall over come, all Mugufulini's actions prove that he has never had any pure opposition and he is in panic now.
 
Majeshi yetu yanafanya kazi za CCM, aibu sana hii.
 
Sio kweli? Nani ana akili mbovu kuratibu mauaji kwa kutumia mtu siku hizi? Lazima utakamatwa tu,unadhani kuua mtu ni rahisi? Lazima uwe smart.hao walinzi njaa tu .hamna kitu linapokuja suala la mipango nyeti kama mauaji.hizo ni propaganda tu.hakuna kiongozi yoyote wa upinzani ambaye ni tishio kufikia kuuwawa na CcM.
Waliompiga risasi Tundu Lissu, walikamatwan lini? Kilangila.
 
Sio kweli? Nani ana akili mbovu kuratibu mauaji kwa kutumia mtu siku hizi? Lazima utakamatwa tu,unadhani kuua mtu ni rahisi? Lazima uwe smart.hao walinzi njaa tu .hamna kitu linapokuja suala la mipango nyeti kama mauaji.hizo ni propaganda tu.hakuna kiongozi yoyote wa upinzani ambaye ni tishio kufikia kuuwawa na CcM.
Waliompiga risasi Tundu Lissu, walikamatwan lini? Kilangila.
Mwanamke kafanyiwa nn hapo? Au hujaelewa hata hiyo video inahusu nini? Huoni kama huyo Ester anazuia polisi wasifanye kazi yao when yeye mwenyewe hao polisi wala hawakuwa na mpango naye.
Hata mwanafunzi wa darasa la kwanza anaweza kujua kuwa kwa kuwa hapo ni nyumbani kwa Ester na mlinzi anayekamatwa ni wa Ester, ulikuwa ni wajibu wa kiongozi wa zoezi la ukamataji kumjulisha Ester kuwa mlinzi wake anahitajika kituoni kwa sababu fulani. Kilangila.
 
Hakataliwi Beberuu kuja kuwekeza,mpango wa Magu ni Win Win situation kwa pande zote!!
Kama ni beberu wa nini na nyie mnaweza? Na hiyo mikataba ya kinyonyaji waliingia serikali ya chadema?

Au kuna serikali za CCM na serikali ya Magufuli?
 
Huyo Matiko yeye amlaumu huyo Muhalifu aliyekimbilia ndani mwake ndiyo kamponza,au Matiko ndiyo anafadhali Mtandao wa Wahalifu!?
Nimezungumza na mwanamke mwenzake, kumbe na wewe ni mwanamke ndio maana umekimbilia kujibu.

Sishangazwi tena na majibu yako kumbe ni ya kike kike
 
Resisting a police arrest is just a bad idea. Kukamatwa na police, whether unaonewa au huonewi, sio mwisho wa safari. Ni utamaduni wa kupenda dramas zisizokuwa na tija yoyote!
Polisi wa nchi za kidemokrasia, siyo Tanzania ya leo. Kilangila.
 
Sasa wwe na Lissu aliyekuwepo eneo la tukio ni Nani!? Je unajuwaje Kama Lissu na Wapigaji wa Risasi wake wamesha ya Jenga ndiyo maana hata Lissu hataki tena kwenda kutoa ushirikiano kwa Wapelelezi!? Wwe unazani Police ni Malaika amabao wanaweza kuona tukio hata Kama hakuwepo kwenye tukio!? Upelelezi unaenda na information,bila information ya uhakika ukweli hauwezi julikana wwe!!
Unafikiri wote ni majuha kama wewe. Kweli huwezi penda CCM kama siyo MPUMBAVU
 
Huna huruma una rohombaya ya kiuuaji Naunga mkono hoja, kitendo cha kuvamia makazi ya mtu bila maelezo na searching warrant ni kinyume cha police ethics.

Mwanamke mwenzio ameonewa na kudhalilishwa ofisini kwake, majuzi mwanamke Christina Ruge kapigwa na polisi hadi kulazwa hospital kwa kwenda ofisi ya tume kuulizia rufaa yake, hamtaki kukemea vitendo vya polisi.

Kweli wewe katili kama hujaua physically ukaonekana basi ni mchawi wewe

Acha kuhemka na mambo usiyoyajua weweee

Kama una huruma nenda mahamani kafungue kesi ya kumtetea huyo unayedai ameonewa na ukasimame mahakamani kutoa ushahidi..... sio unajichetua nyuma ya keyboard kama mende mzee.

Faraghadume zimekuharibu sana wewe!!!!

Mfyuuuuuuu
 
Acha kuhemka na mambo usiyoyajua weweee

Kama una huruma nenda mahamani kafungue kesi ya kumtetea huyo unayedai ameonewa na uaksimame mahakamani kutoa ushahidi..... sio unajichetua nyuma ya keyboard kama mende mzee.

Faraghadume zimekuharibu sana wewe!!!!

Mfyuuuuuuu
Kama uchawi na roho mbaya zilivyokuharibu.
 
Have you proved that he is suspected criminal?

Tunduma wanachama wa chadema pamoja na wagombea wa udiwani walivamiwa wakakamatwa hadi leo wako ndani na wamebambikiwa kesi.

Arusha polisi wamevamia ngome ya uratibu ya CHADEMA na kukamata wote waliokuwa hapo na kutoa taarifa kuwa ni wahamiaji haramu.

Tarime kwa John Heche wamevamia na kuwakamata wote waliokuwa hapo na computer walizokuwa wanatumia hadi leo hakuna maelezo ya kujitosheleza.

Mgombea mwingine Christina Ruge, amepeleka malalamiko tume ameenda kuulizia majibu ya malalamiko yake kavamiwa na polisi kapigwa hadi kulazwa hospital.

Mgombea wa Urais Chadema misafara yake kupigwa mabomu ya machozi kusimama kusalimia wananchi.

Kwa mifano hii michache polisi this time around wamevamia ofisi ya Mgombea wa Chadema Esther Bulaya, kwa utendaji wao kutokana na matukio hayo utakaa uwasubirie? At least alipokimbilia tukio limeonekana.

Masaa 24 yamepita umesikia taarifa yeyote ya polisi sababu ya kumkamata?

Kuwa upande unaonufaika na mfumo huu na kukejeli, kushambulia, kudhihaki wanaokuwa oppressed ni ukosefu wa akili wa kiwango cha juu. Hivi CCM hamuoni kweli? Mnajitoa ufahamu au ni wapumbavu?

In any injustices there is no neutrality, being neutral is siding with the oppressor.

Nyie hata unafiki hamna mnaonyesha jinsi mlivyo, ila kusaliti amani mnaisaliti Tanzania. Na uzalendo siyo kusupport walio madarakani bali maslahi ya nchi. Ila wakati ni mwalimu mzuri mark my words shabikieni udhalimu

“Have you proved that he is suspected criminal?” ...Swali kama hili linaweza tu kuulizwa na mtu ambaye hajui anachoongea. Hajui tofauti ya criminal na suspected criminal na hajui police force inafanyaje kazi zake. Siwezi kukulaumu. Haya ni matokeo ya elimu potofu inayotolewa na viongozi wa Chadema. Hakuna kiongozi makini ambaye muda wote anahubiri shari, disobedience kwa police force. That’s failed leadership of the highest order! Nasema hivyo kwa sababu vyombo vya dola ni 100% portable. Hapa ninamaanisha kuwa watawala wote watapita, lakini vyombo vya dola vitabaki palepale, vinarithiwa kutoka utawala mmoja hadi mwingine.

Ukikuta mtu anatafuta ridhaa ya kushika dola halafu anahubiri huo ujinga, huyo hajitambui na hajawa tayari kwa kazi anayoiomba. Ukimpa hiyo kazi, maana yake jukumu lake la kwanza litakuwa kuwafundisha wafuasi wake kuheshimu na kutii vyombo vya dola. Kama huo sio uwendawazimu ni kitu gani?

No country on earth has a perfect police force. Not one; not even the most democratic, first-world countries! Bad elements kwenye taasisi yoyote, ikiwemo police force, hazikosekani.

Our police force is neither the best nor the worst. Pamoja na kufanya kazi katika mazingira magumu, jeshi limefanya mengi sana mazuri. Kubwa zaidi ni kulinda amani yetu. Bila hii amani tuliyonayo, hata hizi debates tunazofanya hapa zisingewezekana. Ukiwa na negative orientation (focus) huwezi kuona mema yanayofanyika. Ushauri wangu kwa wote wenye mawazo kama yako: Don’t take our peaceful environment for granted. A lot of brave men and women are making sacrifices every day to maintain it!

Ulichoandika ni malalamiko zaidi kuliko hoja za msingi. Hakuna hoja yenye mashiko uliyoitoa kutushawishi kwanini police force haikupaswa kumkamata mtuhumiwa waliyemkamata. Kila police case ni unique. Uhalali wa kukamata mtuhumiwa yeyote hautokani na results za arrests zingine zilizowahi kufanywa na police force. Hatuwezi kusema kuwa, kwa sababu polisi walimkamata X akashitakiwa mahakamani na kupatikana na hatia, basi polisi wakamate kila anayekatiza mbele yao. Vilevile, hatuwezi kusema kuwa, kwa sababu polisi walimkamata X akashitakiwa mahakamani na kukutwa hana hatia, basi polisi wasimkamate mtuhumiwa mwingine yeyote. Hilo halitokei kwenye nchi halisi bali kwenye taifa la kufikirika la Chadema.

Kila mtuhumiwa anazo haki zake za msingi, lakini resisting police arrest is not one of those rights. If anything, resisting a police arrest is one sure way to run into a very serious problem. Elewa vizuri hapa... Police force ni chombo cha mabavu. Wanaruhusiwa kutumia all means necessary, lethal or nonlethal, kukabiliana na mtuhumiwa kaidi. Kwenye nchi nyingi watu wameuawa na wanaendelea kuuawa na polisi kwa kuendekeza ukaidi. Encounter na police ni kitu chepesi sana kwa mtu asiyetaka dramas zisizokuwa na tija yoyote. Kukamatwa na polisi, whether kwa kuonewa au kutokuonewa, sio mwisho wa safari ya haki kutendeka. Watii polisi kisha onesha ujuaji wako mahakamani ili aibu iwe kwao!
 
Back
Top Bottom