Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni nao wanazeekaHilo jina matiko kila mara nalikosea kulisoma.
Utajaza mwenyewe.
Hivi anayo kweli hayo matiko, au jina tu?
Bado naona ni kubwa sn, kwa rushwa wanazo chukua ilitakiwa basic iwe hata 490,000Kumbukeni hiyo 950,000/= ni kabla ya makato. Take home inaweza kuwa 700k na hapo itategemea kama hana mkopo
Wanakula sn rushwaHao polisi kuipata hiyo nyota moja wawe na digrii na kutumika zaidi ya miaka na miaka!!
Ninawadau wameingia upongo 2015, mwaka 2021/22 ndipo wakapata nyota pamoja na wengine walioanza na elimu za chini wakajiendeleza Hadi digree.
Nina mdau aliingia 2013 akaunga Hadi dip Bado ni vuruga vumbi vv aka cpl.
Wote Hawa Wana 30+.....
Wasipobahatka kuruka vyeo hawatavuka ASP!!
Na bahati mbaya wakaguzi wapo wengi sana Kwa Sasa, wataanza kupanda Kwa ubaguz ili kujenga pyramid la uongozi
Teh teh 😃 😃 😃 unataka walipwe pesa nyingi Ili wawabonde vizuri.....Mishahara midogo ya Polisi na Magereza iwe sehemu ya ujumbe wa maandamano ya Chadema.
Teheeeeeeeee ni hasira za pesa kiduchuKumbe tambo zote zile za kuzima maandamano ya chadema, polisi wanaopokea hela kidogo namna hii?
Walimu wana hela Wewe,na kazi Yao Haina pressureKumbe wanaolipwa mishahara midogo ni wengi ila kila siku wanasimangwa walimu
Acha kutusi watu mzee wa "Kububujikwa"Usipovuta mibangi yako unakuwaga na akili kiasi chake. Rushwa ni tabia ya mtu. Endelea kupunguza mibangi yako maana nilishasema akili kichwani mwako zipo ila mibangi ndio inayokuharibu