Mmmh unadhani nipo hivyo? Ningekuwa msaka opportunities basi ningekuwa UN hukoooHahahaha.Kumbe nilikuwa sijaelewa. Kumbe ulishapita kwa Juliana ? Sasa why haukuoa?Sasa hivi ungekiwa naibu waziri kivuli wa sanaa,habari na michezo.
Kwa Mimi nisiye mwanasiasa John Heche...ni kamanda kweli kweli..ukisikia makamanda wa CHADEMA wenye misimamo dhabiti..Heche..ni mmojawapo..tangu akiwa kiongozi wa vijana ni mtu mpambanaji...Hongera Kwa Matiko.hiyo ndio demokrasia....kikubwa ni kupendana na kushirikiana
Humjui vizuri Heche wewe!!Esther Matiko 44
John Heche 38
Hongera Mwana mama Esther Matiko
Hata hivyo John Heche ni kati ya Wanasiasa wachache sana ninaowahusudu Tanzania!
Kiasi siwezi kutilia shaka ujasiri na uzalendo wake kuhusu siasa za Tanzania.
Sultan amepiga marufuku matusi mitandaoni.Kama wewe unayetafunwa hapo lumumba
Kina ngemela wao wamempa nn Magu? Kisamvu cha kopo?Esta soon mbowe atamfikia ,hii rushwa ya ngono inaitafuna chadema baada ya Joyce mukya na mbowe ,Rose kamili na slaa sasa ni kutafunana
State agent
Chakura ya Muzee Mbowe razima iwe karibu! Na Wegesa Charles anarijua hiro! Ahahahahahah!Estar amepewa sababu ya nundu yake ila hana lolote
State agent
Time always tells the truth.Nifafanulie unavyomjua
fanya ivyo sasa kuniajiri hata sahivi ndugu.Njoo nikuajiri,sihitaji uteuzi ili nikuajiri.
Mkuu usihangaike kulielimisha hilo pumbavu!Kanda unategemea iwe na wajumbe mania/maelfu? Muundo wa katiba ndiyo umetoa wajumbe hao
Team Mbowe au Team Chadema, Mbowe is synonymous with Chadema, as Chadema is synonymous with Mbowe, the Lissu's etc....Team Mbowe wote wanashinda. Hongera sana Mrs Mwalimu naibu katibu mkuu Chadema kwa kushinda.
Heche anaenda chato kuunga juhudi?Team Mbowe au Team Chadema, Mbowe is synonymous with Chadema, as Chadema is synonymous with Mbowe, the Lissu's etc....
Ujinga wa kuwapa watu Uongozi halaf kesho tuyaone Chato yakiunga juhudi NO, tumeshajifunza!
Hivi Kuna mbunge wa Chadem mwanamke aliyeunga juhudi?Chadema mbali na kukimbiwa na watu ila ina vyuma aisee..Hapo BAVICHA sasa. Kiufupi CCM waliyasajili yale makapi ila waliobaki ni moto wa kuotea mbali. Kila idara ni vyuma tupu..Acha Mashinji na Safari wakapumzike maana hawana nafasi kwa hili chama kwa sasa.
Complete idiot hata huelewi kilichoandikwa, Go to hell!Heche anaenda chato kuunga juhudi?
Gekul wa Mbulu/babatiHivi Kuna mbunge wa Chadem mwanamke aliyeunga juhudi?
Safi sana...haya ndio majibu kwa walikuwa programmed!Complete idiot hata huelewi kilichoandikwa, Go to hell!
Akili yako imekaa ki ngono ngono sanaEsta soon mbowe atamfikia ,hii rushwa ya ngono inaitafuna chadema baada ya Joyce mukya na mbowe ,Rose kamili na slaa sasa ni kutafunana
State agent