Esther Matiko: Tenda za ujenzi wa bandari ya Bagamoyo zitangazwe upya

Tatizo sio chama, magufuli alikuwa na roho ya kishetani, uyu mama muungwana sio kama msukuma mwenzenu,saizi uko alipo kasimamishwa MVUANI kama alivyozaliwa anachezea bakora
Teeh teeh.

Eti kasimamishwa mvuani anachezea bakora.
 
Ester Matiko na wenzake ni wabunge wa CCM kupitia mgongo wa Ndungai
 
Unapingana nayo vipi wakati hata huo mkataba hata wabunge hawakuwahi kuuon yani uko ikulu tu huko.
Sasa unapingaje kitu abacho hukuwahi kukiona ndiyo maan zitto kaombwa uwekwe wazi.
 
Kinachonichanganya ni hapo ulipoandika viti maalumu kutokea chadema, kwa mujibu wa uongoz wa chadema wanasema washawafuta uanachama. Sasa hii biashara ya kuwaita wabunge wa chadema ni kwa utaratib upi
 
Good idea
 
Unasemaje KUHUSU kutoendelezwa kwa Bandari zingine hususani ya Tanga na Mtwara? Hili nalo ni sharti mojawapo
 
"Chadema na ... hawatapenda kusikia ushauri huu..."
Mbunge wa chama gani amesema haya?
 
Nchi hii Magu alitusaidia kujua mijitu mipumbaf yaani MTU aje aweke Hela yake ardhini wee unachangia ardhi na makende yako tu kisha unataka mkataba wa mwaka jinga kabisa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hizo ulizotaja hazina kina cha kuingiza meli kubwa za urefu wa mita mpaka 300..... Bagamoyo ndio itakua ya kwanza kwa ukanda huu
Kwani tutakua tunasafirisha mazao au bidhaa gani kwa wingi kiasi kwamba haiwezi kua handled na bandari ya TANGA au Dar au Mt?
 
Mie nilidhani ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni uwekezaji wa wachina na wala sio swala la tender kutangazwa. Naomba kuelimishwa.
Huyo Matiko kachamganyikiwa baada ya aliyemkopesha m 70 kuyimuliwa ikulu
 
Hatari sana,yaani magufuli kaondoka hii bandari inapigiwa upatu kupita kawaida kuna jambo nyuma ya hii issue!....

Hatari sana
Wapiga chapyo wa mradi wa bagamoyo wajibu kwanza hoja ya Masharti Magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…