Labda ni baada ya wastaafu kuanza KUWASHWA WASHWAKwenye video hii hapa chini, Magufuli aliusifu sana mradi wa bandari ya Bagamoyo, akamsifu Kikwete kwa kuuanzisha na akasema nothing will change, cha ajabu akaja kubadilika baadae
View attachment 1751075
Watanzania wasikubali huu mradi uendelee na pia tujulishwe ni kiasi gani cha fedha za kifunga uchumba kilitolewa kabla ya 2015.Mbunge wa viti maalum kutokea Chadema mh Ester Matiko akichangia bungeni, amesema kama ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa wachina una mashariti magumu, basi tenda zitangazwe upya na makampuni yaombe ili sisi watanzania tuamue ni kampuni ipi itujengee kwa manufaa ya taifa letu.
My take.
Najua Ndugai na Chadema hawatapenda kusikia ushauri huu wao wamejigeuza wapiga debe wa wachina
Duuuu kumbe ndiyo chama cha NdugayeWabunge wa CHACHANDU kazini (chama cha ndugai)
Hivi kumbe JPM na serikali yake walikuwa wanademand mkataba wa mwaka mmoja? Kuspeculae hivi vitu ndio ujinga wenyewe wa baadhi ya waTZNchi hii Magu alitusaidia kujua mijitu mipumbaf yaani MTU aje aweke Hela yake ardhini wee unachangia ardhi na makende yako tu kisha unataka mkataba wa mwaka jinga kabisa
Inajengwa bila kujali fitina zenuKwani bandari ya Dar Ina shida gani?
Bandari ya Dar haijafikia full capacity, bado Kuna TANGA na Mtwara. Bagamoyo mnataka ipokee mzigo gani??
Inajengwa tuHizi propaganda zimechachamaa baada ya chuma kuondoka! Hizi nguvu lazima kuna watu wana deals zao hapo. Mama Samia tumia vizuri vyombo vya usalama utajua ukweli!
Ukisikiliza wanasiasa wengi wana ajenda zao! Ukiharibu jumba bovu ni lako peke yako kama sasa hivi inavyotokea kwa JPM!
Mkuu umetisha sanaSahihisho: Siyo mbunge wa viti maalumu kutoka Chadema hapana. Ni mbunge aliyeko bungeni kwa hisani ya Ndugai.
Ndege gani hizo za njano mkuuKuna mchezo wa 10% hapo unaelekea kwa kikundi fulani kama kwa zile ndege za njano njano.....
Sifa yake anaijua Ndugayehuyo ana mamlaka ya kushauri chochote kwa sababu hajulikani kaingiaje bungeni
Thread ifungwe hapa umemaliza. Ndugai kichwa maji soma hapaKwani bandari ya Dar Ina shida gani?
Bandari ya Dar haijafikia full capacity, bado Kuna TANGA na Mtwara. Bagamoyo mnataka ipokee mzigo gani??
Walishakata rufaa
Miaka mitano alisema kuwa miradi yote tunajenga kaw fedha za ndani huku deni la taifa likiongeza kila wiki.
ANAJUA KUWA ZANZIBAR WAMEANZA KUJENGA? SASA BAGAMOYO YA NINI PENGINE HUKO MBELE NDUGAI/MKWERE WAKIMFUATA MWENDAZAKE IJENGWE BANDARI MWAMBANI TANGA!Thread ifungwe hapa umemaliza. Ndugai kichwa maji soma hapa
South Africa ina Bandari 4 kubwa East London, port Elizabeth, Capetown na Darban huku ikiwa na utitiri wa Bandari ndogo nyingi zenye uwezo mkubwa wa kupokea meli hata kubwa, Kila Bandari itasalia na majukumu yake, Mfano Bandari ya Dsm itasalia na mizigo ya ndani ya Nchi tu huku Tanga ikitumika kama Bandari ya Afrika mashariki lakini Bandari ya Bagamoyo itakuwa ni Bandari kubwa ya mizigo ya kimataifa kukuza maendeleo Tanzania na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha meli kubwa AfrikaKwani bandari ya Dar Ina shida gani?
Bandari ya Dar haijafikia full capacity, bado Kuna TANGA na Mtwara. Bagamoyo mnataka ipokee mzigo gani??
Usisahau na wakipata hasara sisi ndo tutawafidia, unamfidia mtu ambaye hujui anauza nini na kwa sh ngapiWachina walitaka kuwekeza kwa masharti ya kinyonyaji. Kwa mujibu wa Magufuli, hao mabepari walitaka lease kwa 99 years, hakuna kudevelop bandari nyingine, hakuna wa kuwadai kodi kwa miaka 33 etc
Kwa kuwa hakuna aliyedispute maelezo ya JPM mpaka leo na kwa kuwa hakuna maelezo mengine tofauti, kuupigia chapuo huu mradi bila kuweka details ni ukichaa aliousema Magufuli
Bagamoyo ni Tanganyika na huko Zanzibar wana biashara zao acha kila mmoja ajiendeleze kivyakeANAJUA KUWA ZANZIBAR WAMEANZA KUJENGA? SASA BAGAMOYO YA NINI PENGINE HUKO MBELE NDUGAI/MKWERE WAKIMFUATA MWENDAZAKE IJENGWE BANDARI MWAMBANI TANGA!
Hizo zilikuwa propaganda za magufuli kwa lengo na kuwashawishi Wachina watoe Rushwa kabla ya ujenzi wa BandariUsisahau na wakipata hasara sisi ndo tutawafidia, unamfidia mtu ambaye hujui anauza nini na kwa sh ngapi
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Imagine this nonsenseUsisahau na wakipata hasara sisi ndo tutawafidia, unamfidia mtu ambaye hujui anauza nini na kwa sh ngapi
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app