Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Mr Kactus

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
510
Reaction score
2,965
1644558730477.png

Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.

Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.

Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?

Uzi tayari...
 
Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.

Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.

Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?

Uzi tayari...
Taarifa hii ilikanushwa na msemaji wa serikali ya Estwatini 2019.
 
Ukisikia amri isiyo na mateso basi ndy hii,Raha sn kupewa amri uoe wanawake watano[emoji39][emoji39]..km kuna mwanaume atafungwa kifungo cha maisha basi labda anaumwa kisukari,mashine inalala km cheni
Baby Karucee Tia neno basi hapa[emoji28]
Hahahahaaaa hapo ndugu Liverpool VPN lazma atabadili msimamo wake.. si alisemaga haoi yeye[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.

Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.

Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?

Uzi tayari...
Aisee!
Wanawake wataisha huko muda si mrefu.
Kuna fursa ya kupeleka Ke wa ziada tulio nao huko.
Je, kuna ubalozi wa hiyo nchi Tz?
 
Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.

Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.

Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?

Uzi tayari...
Source please
 
Huyo anataka tu kuleta migongano na mateso kwa wanawake humo ndani ya ndoa hasa pale mume atakapokuwa hana kipato cha kuweza kuwamudu wote.
 
Wanaume mnapenda kujidanganya kweli kuhusiana na hili swala... Ratio ya men to women wordwide is almost 1:1. There are not as many women as you'd wish for unfortunately.

Na hata kama dunia nzima ingeweka sheria wanaume waoe wanawake wengi as possible ili asibaki hata mwanamke mmoja asiyeolewa, I tell you wanawake tungeenda kujazana Kwa wanaume wachache sana, wengi mngekosa wake au kuambulia kamoja... Bisha
 
Back
Top Bottom