t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Purukushani za wake watano unaziweza mkuu??Iswatini pananiita kabisa niende kama mwekezaji [emoji23]
Maana midude mitano hadi uikalishe watulie sio kipolepole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Purukushani za wake watano unaziweza mkuu??Iswatini pananiita kabisa niende kama mwekezaji [emoji23]
Twendeni jamani tuje tuzalishe mbegu mupyaaa bongoMwamba tende zetu, passport approved l
Hii huwa naipigilia nyundo. Ni kweli kabisa.Serikali itagaramia kila kitu kama kipindi cha Moumar Gadaf nchini Libya.
Western education and life styles ndio yaliyotufanya waafrika tuwe na maisha magumu kuliko mababu zetu walivyokuwa wakisastain maisha yao.
Mkuu watu wanaziweza kama michepuko lukuki hao 5 si kama tone la maji kwenye bahariPurukushani za wake watano unaziweza mkuu??
Maana midude mitano hadi uikalishe watulie sio kipolepole
Kama linawezekana kwa nini unalalamika? Na ni kwa nini wasichague kuishi kiporipori?Kwani mjini ndio inashindikana, we wakuja nini? Kuongea hayo haimaanishi kuwa jambo hili lifanyike bali tunajaribu kupima mizani kati ya maisha ya wazee wetu na sasa yaliyochanganyika na uzungu mwingi.
Hii habari ni fake ilishakanushwa tangu wiki iliyopita.Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Akili sijui unawaza Nini. Hivi kawaida ukiwa na ng'ombe kama mfugaji unadhani utapendelea kuwa na wa jinsia gani kwa wingi ama hata kwa kuku.Kuoa wake wengi haipunguzi tatizo la kuzaliwa wanawake wengi,tena ndo wataongezeka zaidi. Swala la kuzaliwa watoto wengi wa kike kuliko wanaume ni "nature"ndio maana nchi zote wanawake ni wengi kuliko wanaume. Lengo la Mungu ni kuwafanya wanaume wawe na machaguo mazuri.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mie nimewasili hapa Mwanza jana jioni kwa ajili ya kushiriki kwny hili tukio la 'Kuvunja kitanda'..Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mwanaume hadhoofiki kwa vitu vya kijinga km hivyoYani Hamna hamna mwisho watano ?
Si watadhoofisha afya za wananchi (wanaume)
Mchepuko ni tofauti kabisa na mkeMkuu watu wanaziweza kama michepuko lukuki hao 5 si kama tone la maji kwenye bahari
Kusema inawezekana hailalishi kuwa ndio ifanyike. Wapo wanaume wenye wanawake zaidi ya watano na wanawahudumia fresh tu. Tunachoongelea hapa ni uhalalishaji wa serikali kuwa jambo la kisheria.Kama linawezekana kwa nini unalalamika? Na ni kwa nini wasichague kuishi kiporipori?
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Kama una passport ambayo ni valid panda ndege visa utaipata uwanja wa ndege huko kwaoNa
Naulizia kama kuna ubalozi wa mswati hapa bongo? Naomba location , lengo kubwa ni kwamba nahitaji viza
serikali inakufunga ukioa wake wengi?Kusema inawezekana hailalishi kuwa ndio ifanyike. Wapo wanaume wenye wanawake zaidi ya watano na wanawahudumia fresh tu. Tunachoongelea hapa ni uhalalishaji wa serikali kuwa jambo la kisheria.
Maisha ya sasa sio yakulazimishana kipi kifanyike au kipi kisifanyike. Do whatever you want as long as you're abiding on and adhering to country's rules.
Huko balaaaa mke mmoja tu utafikili unao Kimi huko ndaniPurukushani za wake watano unaziweza mkuu??
Maana midude mitano hadi uikalishe watulie sio kipolepole
Nitolee gubu, kinyamkeea..!Hilo life lako la kukaa kunyonyesha home huku mke anapiga mzigo hamna anayelitaka bwana... Enjoy your life but no woman dreams of such a life sorry. Maybe Marioos
Me "ningelinga" kama ningepata mume kama huyu
Familia kubwa kuliko zote nchini Uingereza inayoishi nyumba moja (watoto 22)
The Radford Family Noel (50) na Sue (46) Radford walikuwa mayatima na walikutana wakiwa wadogo. Sue alipata mimba akiwa na umri wa miaka 14 huku Noel akiwa na 18. Walikaa bila kongeza mtoto hadi walipooana binti akiwa na miaka 17. Tangia wakati huo karibu kila mwaka Sue huwa na ujauzito...www.jamiiforums.com