Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Umemaliza kila kitu, uzi ufungwe.Amechoka kuoa kila mwaka hivi kwa akili zake alidhani angewamaliza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza kila kitu, uzi ufungwe.Amechoka kuoa kila mwaka hivi kwa akili zake alidhani angewamaliza?
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Kwani amekataza kuoa wake wengi? Dini inaruhusu wa 4, mama nae sijui wako wangapi ila hayuko peke yake.Na Mama angeamuwa ivyo tungejifaije?
Mama aruhusu na kwetu Tanzania
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila qmmk kuna nchi raha sana.
Kama nakuona unavyochekelea MkuuDah jamaa bonge la genius....haya ndio maendeleo tunayoyataka
Chai iliyokosa sukariMfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mzee wa msoga alikuwa rafiki wa huyo mfalme huenda anajua mengiMpaka Sasa najaribu kusoma comments nipate details za huko ila wadau hawatoi hoja za kulidhisha moyo Wangu,hebu tuanze nafikaje huko?
Gharama,
Hali Yao ya uchumi na kupatikana Kwa michongo?
Hawataki mazombi hukoHivi nauli ya kwenda huko ni sh ngap...
Kwani mjini ndio inashindikana, we wakuja nini? Kuongea hayo haimaanishi kuwa jambo hili lifanyike bali tunajaribu kupima mizani kati ya maisha ya wazee wetu na sasa yaliyochanganyika na uzungu mwingi.Nenda kaishi ngorongoro na wamasai au wahadzabe huko porini, hujanyimwa, utaoa hata wake 20
Unajichagulia wenye vyura tu na miguu
Ova
Chai kweli kweliChai iliyokosa sukari
news.band
Nabii Suleiman alikuwa na wake 700 lakini bado akawa na michepuko 300 {Masuria}Hahaha mkuu, that will be too much aisee. We binafsi utaweza wakati una wanawake watano wanaotambulika kihalali kama wake zako?
mi ni vampire sio zombieHawataki mazombi huko