Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app

Alikuwa na shost hapa nchini sijui walikuwa wanajadili mambo gani wakikututana kwenye ziara zao
 
Inaonekana uchumi wa hiyo nchi uko kwenye matendo ya ndoa tu
 
Mpaka Sasa najaribu kusoma comments nipate details za huko ila wadau hawatoi hoja za kulidhisha moyo Wangu,hebu tuanze nafikaje huko?
Gharama,
Hali Yao ya uchumi na kupatikana Kwa michongo?
 
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Chai iliyokosa sukari
 
Dini hz bhn mbn yey yakobo alioa wake wawili Tena ndugu ila hatulalamiki vip kuhusu sisi
Na pia Ana nguvu
Anatajwa kbsa mungu wa Ibrahim Isaac na yakobo
 
Mpaka Sasa najaribu kusoma comments nipate details za huko ila wadau hawatoi hoja za kulidhisha moyo Wangu,hebu tuanze nafikaje huko?
Gharama,
Hali Yao ya uchumi na kupatikana Kwa michongo?
Mzee wa msoga alikuwa rafiki wa huyo mfalme huenda anajua mengi
 
Nenda kaishi ngorongoro na wamasai au wahadzabe huko porini, hujanyimwa, utaoa hata wake 20
Kwani mjini ndio inashindikana, we wakuja nini? Kuongea hayo haimaanishi kuwa jambo hili lifanyike bali tunajaribu kupima mizani kati ya maisha ya wazee wetu na sasa yaliyochanganyika na uzungu mwingi.
 
Chai iliyokosa sukari
Chai kweli kweli

swaziland.jpg


Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha mkuu, that will be too much aisee. We binafsi utaweza wakati una wanawake watano wanaotambulika kihalali kama wake zako?
Nabii Suleiman alikuwa na wake 700 lakini bado akawa na michepuko 300 {Masuria}
 
Back
Top Bottom