Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utaweza kuwalea lakinii [emoji16][emoji16]Aje aongoze Tanzania kuna watu tutakuwa na wanawake watano na kuendelea
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na
Naulizia kama kuna ubalozi wa mswati hapa bongo? Naomba location , lengo kubwa ni kwamba nahitaji viza
5 mbn wadogo angefanya hata 50Dah jamaa bonge la genius....haya ndio maendeleo tunayoyataka
Sasa waafrika tulivyokuwa bogus utaanza sikia viongozi wengine wanampinga. Hapo ndio full raha kuenjoy kugegeda mbususu tano tofauti bila maswali alafu na nyumba juu5 mbn wadogo angefanya hata 50
Mzee hapo najipointiaa wanawake wenye vyura,kiuno,mguu tuu mwanzo mwenga
Mswati smart sana
Ova
Unapewa mbusumbusuSasa waafrika tulivyokuwa bogus utaanza sikia viongozi wengine wanampinga. Hapo ndio full raha kuenjoy kugegeda mbususu tano tofauti bila maswali alafu na nyumba juu
Kuwalisha siyo kazi wengine wana hela zao, sema kuwafanyaAtawasaidia kuwalisha au?..
Bwana wee kesho tukajaze form tupate passport tuingie zetu eswatini. Kama najiona vile nipo pale lugogo sun nimezungukwa na wake watanoUnapewa mbusumbusu
Ila huko kwa wenzetu safi sana
Dem anakuambia mwenyewe nna ham na kupig
Ila bongo ukitaka mbususu au dem akikuletea
Ujue hapo ni hela kitafuata,yaani hawako fair kabisa
Mwwnyez mungu kawaumba nazo bure ila wao wanatuzia
Ova
KabisaBwana wee kesho tukajaze form tupate passport tuingie zetu eswatini. Kama najiona vile nipo pale lugogo sun nimezungukwa na wake watano
Kuwafanya mbona kazi rahisi sana hapo. Huna stress za maisha kabisaKuwalisha siyo kazi wengine wana hela zao, sema kuwafanya
Uliona wapi hilo? Kwa taarifa yako tu, wanawake na wanaume wanazaliwa kwa ratio sawa, tena wanaume wanazidi kidogo..kaangalie takwimu za sensa duniani kote utaona hiloKuoa wake wengi haipunguzi tatizo la kuzaliwa wanawake wengi,tena ndo wataongezeka zaidi. Swala la kuzaliwa watoto wengi wa kike kuliko wanaume ni "nature"ndio maana nchi zote wanawake ni wengi kuliko wanaume. Lengo la Mungu ni kuwafanya wanaume wawe na machaguo mazuri.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Nenda kaishi ngorongoro na wamasai au wahadzabe huko porini, hujanyimwa, utaoa hata wake 20Serikali itagaramia kila kitu kama kipindi cha Moumar Gadaf nchini Libya.
Western education and life styles ndio yaliyotufanya waafrika tuwe na maisha magumu kuliko mababu zetu walivyokuwa wakisastain maisha yao.
Nenda kaishi porini mkuu, huko usukumani, umasaini na kwa wahadzabe huko watu wanaishi hayo maisha unayoyataka, ya karne ya 14, mtuache sisi na uzungu huku mjiniSio magharibi hata pale mashariki ya kati..wote hao walikuja kutupotezea direction waafrika...heko kwa muswat kuendelea kulinda mila na taratibu za kiafrika.
#MaendeleoHayanaChama
Aliisha rejea kitambo.Hivi Amerudi huyu jamaa?si alitoroka nchi?
Sawa mzungu mweusi.Nenda kaishi porini mkuu, huko usukumani, umasaini na kwa wahadzabe huko watu wanaishi hayo maisha unayoyataka, ya karne ya 14, mtuache sisi na uzungu huku mjini
Sijaelewa, kama hujaoa inakuwaje? Au wameweka umri kwamba ukifika umri fulani lazima uoe hao watano?Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Hii taarifa ilikanushwa 2019 na msemaji wa serikali yao.Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Hata hapa bongo ukiamua kuoa hata kumi kwani huwapati?Na
Naulizia kama kuna ubalozi wa mswati hapa bongo? Naomba location , lengo kubwa ni kwamba nahitaji viza