Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

5 mbn wadogo angefanya hata 50

Mzee hapo najipointiaa wanawake wenye vyura,kiuno,mguu tuu mwanzo mwenga

Mswati smart sana

Ova
Sasa waafrika tulivyokuwa bogus utaanza sikia viongozi wengine wanampinga. Hapo ndio full raha kuenjoy kugegeda mbususu tano tofauti bila maswali alafu na nyumba juu
 
Sasa waafrika tulivyokuwa bogus utaanza sikia viongozi wengine wanampinga. Hapo ndio full raha kuenjoy kugegeda mbususu tano tofauti bila maswali alafu na nyumba juu
Unapewa mbusumbusu
Ila huko kwa wenzetu safi sana
Dem anakuambia mwenyewe nna ham na kupig
Ila bongo ukitaka mbususu au dem akikuletea
Ujue hapo ni hela kitafuata,yaani hawako fair kabisa
Mwwnyez mungu kawaumba nazo bure ila wao wanatuzia

Ova
 
Unapewa mbusumbusu
Ila huko kwa wenzetu safi sana
Dem anakuambia mwenyewe nna ham na kupig
Ila bongo ukitaka mbususu au dem akikuletea
Ujue hapo ni hela kitafuata,yaani hawako fair kabisa
Mwwnyez mungu kawaumba nazo bure ila wao wanatuzia

Ova
Bwana wee kesho tukajaze form tupate passport tuingie zetu eswatini. Kama najiona vile nipo pale lugogo sun nimezungukwa na wake watano
 
Kuoa wake wengi haipunguzi tatizo la kuzaliwa wanawake wengi,tena ndo wataongezeka zaidi. Swala la kuzaliwa watoto wengi wa kike kuliko wanaume ni "nature"ndio maana nchi zote wanawake ni wengi kuliko wanaume. Lengo la Mungu ni kuwafanya wanaume wawe na machaguo mazuri.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Uliona wapi hilo? Kwa taarifa yako tu, wanawake na wanaume wanazaliwa kwa ratio sawa, tena wanaume wanazidi kidogo..kaangalie takwimu za sensa duniani kote utaona hilo

Wanaume wakioa wanawake 5 kuna wengi watabaki bila wake
 
Serikali itagaramia kila kitu kama kipindi cha Moumar Gadaf nchini Libya.
Western education and life styles ndio yaliyotufanya waafrika tuwe na maisha magumu kuliko mababu zetu walivyokuwa wakisastain maisha yao.
Nenda kaishi ngorongoro na wamasai au wahadzabe huko porini, hujanyimwa, utaoa hata wake 20
 
Sio magharibi hata pale mashariki ya kati..wote hao walikuja kutupotezea direction waafrika...heko kwa muswat kuendelea kulinda mila na taratibu za kiafrika.

#MaendeleoHayanaChama
Nenda kaishi porini mkuu, huko usukumani, umasaini na kwa wahadzabe huko watu wanaishi hayo maisha unayoyataka, ya karne ya 14, mtuache sisi na uzungu huku mjini
 
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Sijaelewa, kama hujaoa inakuwaje? Au wameweka umri kwamba ukifika umri fulani lazima uoe hao watano?
 
Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.

Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.

Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Hii taarifa ilikanushwa 2019 na msemaji wa serikali yao.
 
Back
Top Bottom