Mjukuu wa Magika
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 550
- 1,071
Safi sana, hii ije Tanzania wanaume tupo tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauritius pia Eritrea ni shidaaaaaUjaenda cape verde wewe[emoji2]
That Gentleman sijui amekupa nn Hadi umekuwa kipofu hausikii wa huambiwi kwake!! Yani hunitaki kbs siku hiziWewe mpaka niachike na That Gentleman ndo utafurahi.
Blah ! Blah ! Blah ! Yeah Deal with it..
Nampa vilivyo, usiniulize ni nini hicho... 😀That Gentleman sijui amekupa nn Hadi umekuwa kipofu hausikii wa huambiwi kwake!! Yani hunitaki kbs siku hizi
Anyway mtaachana Tu,ukinitafuta naku-mute😎
I know you would.😘
Mkuu hongera sn Kwa kumiliki mtoto mzuri Karucee ..Ila nakuomba Tu usije kukuumiza akaja kuishia kulialia na kuandika nyuzi za kuumizwa..nitakuibukia ndotoni kuja kukuroga😎
Ondoa hofu mkuu, mtoto mzuri yupo mikono salama.Mkuu hongera sn Kwa kumiliki mtoto mzuri Karucee ..Ila nakuomba Tu usije kukuumiza akaja kuishia kulialia na kuandika nyuzi za kuumizwa..nitakuibukia ndotoni kuja kukuroga😎
nani amekukera swahibaaaaBlah ! Blah ! Blah ! Yeah Deal with it..
Wivu tuu..aliona tutafaid sanaaSasa yule aliyesema tuhamie rwanda sijui burundi si angesema tu twende huko.
Kwa kwetu inawezekana maana rais wetu hana neno na hili la ndoaTaarifa hii ilikanushwa na msemaji wa serikali ya Estwatini 2019.
Hiyo ni kweli..! Ila ukubali kale kakifungu ka biblia wake 7 kumung'ang'ania mume mmoja huku wakisema watajihudumia.Nakwambiaje, tukitoa dini tuweke Sheria wanaume waoe wake wengi as possible ili wote tuolewe, mngekosa wake nawaambia
Hahahahah..! Acha ujinga mimi nimekaa nalea mwanangu mke karudi kazini akikua na endelea na mishe zangu.Next time you wonder where society went wrong, get back to this comment of yours...
Wanawake siku hizi tunaoa ma housegirl.. yani nazaa kichanga changu akifika 3months namtelekeza Kwa housegirl me naenda kupiga debe huko juani, mume yuko JF anasema wanawake sio walemavu wanataka heshima ya ndoa
Hayo ndio maneno sasa,sio linasimama limtu la ccm na kitambi chake na kusema vijana wajiajiri,wkt lenyewe limeiba kura na kua mbunge
Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.
Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.
Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?
Uzi tayari...
Hivi naweza kupata uraia wa nchi hii 😂😂😂
Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.
Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.
Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?
Uzi tayari...
Oh so you're a house Husband!!Hahahahah..! Acha ujinga mimi nimekaa nalea mwanangu mke karudi kazini akikua na endelea na mishe zangu.