Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Eswatini: Mfalwe Mswati atoa amri kwa wanaume kuoa wanawake watano au kwenda jela maisha

Nakwambiaje, tukitoa dini tuweke Sheria wanaume waoe wake wengi as possible ili wote tuolewe, mngekosa wake nawaambia
Hiyo ni kweli..! Ila ukubali kale kakifungu ka biblia wake 7 kumung'ang'ania mume mmoja huku wakisema watajihudumia.
 
Next time you wonder where society went wrong, get back to this comment of yours...

Wanawake siku hizi tunaoa ma housegirl.. yani nazaa kichanga changu akifika 3months namtelekeza Kwa housegirl me naenda kupiga debe huko juani, mume yuko JF anasema wanawake sio walemavu wanataka heshima ya ndoa
Hahahahah..! Acha ujinga mimi nimekaa nalea mwanangu mke karudi kazini akikua na endelea na mishe zangu.
 

Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.

Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.

Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?

Uzi tayari...
Hayo ndio maneno sasa,sio linasimama limtu la ccm na kitambi chake na kusema vijana wajiajiri,wkt lenyewe limeiba kura na kua mbunge
 

Katika hali isiyotarajiwa King Mswati wa Swaziland ametoa amri kwa Kila mwanaume nchini kwake kuoa wanawake watano. Kinyume na hapo atakaepinga atawajibika kutumikia kifungo cha maisha jela.

Hayo yamesemwa tarehe 10 February 2022 na Mfalme huyo mwenye wake wengi na watoto wasiokua na idadi. Aidha ameongeza kua serikali ipo tayari ku-cover gharama za ndoa zote pamoja na kumjengea nyumba Kila mwanamke atakayeolewa.

Vipi wadau mnaonaje hii sheria ikaanzishwa hapa kwetu [emoji12]?

Uzi tayari...
Hivi naweza kupata uraia wa nchi hii 😂😂😂
 
Hahahahah..! Acha ujinga mimi nimekaa nalea mwanangu mke karudi kazini akikua na endelea na mishe zangu.
Oh so you're a house Husband!!

Whatever works for you guys man!

Ndomaana Kuna wanawake hawazai wanasema hawataki watoto, they are just not instinctively maternal....na Kuna wanaume kama wewe hapo wanataka wabaki home wanyonyeshe.

Haya maisha bwana.... inasemekana eti kuna over 30 genders eti and not just two. Probably the source of all this confusion.

anyways is this how you ride your wife after she comes back from work?

images (73).jpeg


images (72).jpeg


Mods spare me 😂
 
Back
Top Bottom