Kwanini mnawaza kutunzwa always, wanawake wengine wanajimudu kuolewa ni kama kujooiongezea heshima tu.Huyo anataka tu kuleta migongano na mateso kwa wanawake humo ndani ya ndoa hasa pale mume atakapokuwa hana kipato cha kuweza kuwamudu wote.
Kwa nyie walemavu ila wanawake wengine wanajiweza.Hajui ndoa nyingi zinashikiliwa na nguvu ya pesa badala ya upendo
Pamoja na ratio yako bado distribution haiko sawa kila nchi. Kingine sidhani km kuna mwanaume aliyekosa mke wa kuoa zaidi ya kuogopa ulemavu wenu kupenda kuishi kwa mtelezo.Wanaume mnapenda kujidanganya kweli kuhusiana na hili swala... Ratio ya men to women wordwide is almost 1:1. There are not as many women as you'd wish for unfortunately.
Na hata kama dunia nzima ingeweka sheria wanaume waoe wanawake wengi as possible ili asibaki hata mwanamke mmoja asiyeolewa, I tell you wanawake tungeenda kujazana Kwa wanaume wachache sana, wengi mngekosa wake au kuambulia kamoja... Bisha
Kwa nyie walemavu ila wanawake wengine wanajiweza.
Nakwambiaje, tukitoa dini tuweke Sheria wanaume waoe wake wengi as possible ili wote tuolewe, mngekosa wake nawaambiaPamoja na ratio yako bado distribution haiko sawa kila nchi. Kingine sidhani km kuna mwanaume aliyekosa mke wa kuoa zaidi ya kuogopa ulemavu wenu kupenda kuishi kwa mtelezo.
Hahahaha kibongo bongo wote mngelundikana Kwa Mo na Bahkresa 😅😅😅Wanaume mnapenda kujidanganya kweli kuhusiana na hili swala... Ratio ya men to women wordwide is almost 1:1. There are not as many women as you'd wish for unfortunately.
Na hata kama dunia nzima ingeweka sheria wanaume waoe wanawake wengi as possible ili asibaki hata mwanamke mmoja asiyeolewa, I tell you wanawake tungeenda kujazana Kwa wanaume wachache sana, wengi mngekosa wake au kuambulia kamoja... Bisha
Ukirudi utupe mrejesho mkuu
Next time you wonder where society went wrong, get back to this comment of yours...Kwanini mnawaza kutunzwa always, wanawake wengine wanajimudu kuolewa ni kama kujooiongezea heshima tu.
Hakika na hata yeye ana wake wengi na watoto idadi asiyoifahamu sababu ana uwezo wa kumudu wake wote hao.Hajui ndoa nyingi zinashikiliwa na nguvu ya pesa badala ya upendo
Wangekuwa wanajimudu asingesema atawajengea nyumba za nini sasa?Kwanini mnawaza kutunzwa always, wanawake wengine wanajimudu kuolewa ni kama kujooiongezea heshima tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa kule ulitekeleza agizo la mwiguluNipo safarini kutoka Burundi kwenda Eswatini...
Ujaenda cape verde wewe[emoji2]Mkuu, ktk Africa Rwanda inaongoza kua na pisi kali ikifuatwa na Ethiopia
Tunabisha nyie ndio mnahuitaji sanaWanaume mnapenda kujidanganya kweli kuhusiana na hili swala... Ratio ya men to women wordwide is almost 1:1. There are not as many women as you'd wish for unfortunately.
Na hata kama dunia nzima ingeweka sheria wanaume waoe wanawake wengi as possible ili asibaki hata mwanamke mmoja asiyeolewa, I tell you wanawake tungeenda kujazana Kwa wanaume wachache sana, wengi mngekosa wake au kuambulia kamoja... Bisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa kule ulitekeleza agizo la mwigulu
Tunabisha nyie ndio mnahuitaji sana
Vigezo gani vingetumika kuchagua hao wachache?Na hata kama dunia nzima ingeweka sheria wanaume waoe wanawake wengi as possible ili asibaki hata mwanamke mmoja asiyeolewa, I tell you wanawake tungeenda kujazana Kwa wanaume wachache sana,...