Ethiopia 2 Vs Egypt 0; Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka

Tunasema kila siku hapa shida ni Simba na Yanga hatueleweki. Itachukua muda sana ila ngoja tuendelee
 
Tanzania siasa ndio inaua mpira, hata kama unataka uongozi kwenye mpira lazima uwe ni mwanachama wa chama fulani ndio baadaye uje ugombee ubunge.

Timu ikionekana imefanya vizuri kidogo eti inakimbilia kwenye bunge ndio ikasifiwe na wabunge wa chama fulani ili ionekane kwamba wao ni sehemu ya mafanikio hayo. Bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…