Ethiopian Airlines, Gulfstream, Crystal, Qatar Airways na KLM zashusha Watalii zaidi ya 700 KIA ndani ya Masaa 24

Ethiopian Airlines, Gulfstream, Crystal, Qatar Airways na KLM zashusha Watalii zaidi ya 700 KIA ndani ya Masaa 24

Ujue ha CHADEMA hawapendi kabisa habari Kama hizi wanafikiri ni kampeni kwa magufuli.
Chadema na mangekimambi Baba mmoja mama mmoja, hawaongelei kabisa habari nzuri wao wanazipamba habari mbaya tu, chadema walikuja na ushauri wao kuhusu Corona eti pesa zinazojenga mradi wa umeme rufiji zipunguzwe zitumike kupambana na korona, mtihani kweli tumshukuru mungu hii nchi ingekuwa mikononi mwa chadema cjui tungekuwa tuna hali gani Sisi !! Hii Corona ndio nimejifunza kumbe bora ibaki hiyo CCM kasoro tulikua tunaona haifai.
 
Acha Ungese wewe, hivi unajua JNIA na ZANZIBAR wameshuka wangapi.

Mnaleta Unyang'au ngojeni tuwanyamazishe. Watalii wote watabadili routes. Mashirika Mengi yataanza kuja straightforward Tanzania badala ya kupitia kwenyu mmejaa Jangwa nani aje.
Wameshuka wangapi?
 
Sielewi mbwembwe zote hizi ni za nini. Kelele zote hizi kisa watalii 700 tu? [emoji1] Point ni kwamba watalii wametua kwa mara ya kwanza Tz? Au mnataka kutuaminisha kwamba watalii wakija Tz itawazuia watalii kuja Kenya, UG, Rw au nchi yeyote nyingine? 😕
 
Hivi Ban Ni kutua tu au mpaka Kuruka kwenye anga letu?
 
Yani hapa hatuzungumzii nchi nyingine yoyote Bali ni Kenya
Sielewi mbwembwe zote hizi ni za nini. Kelele zote hizi kisa watalii 700 tu? [emoji1] Point ni kwamba watalii wametua kwa mara ya kwanza Tz? Au mnataka kutuaminisha kwamba watalii wakija Tz itawazuia watalii kuja Kenya, UG, Rw au nchi yeyote nyingine? 😕
 
Back
Top Bottom