MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Shangaa na weweWenzetu wemegundua tren za chin ya maji...ss tunadiscuss upuuz
Upumbavu huu utaisha lini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa na weweWenzetu wemegundua tren za chin ya maji...ss tunadiscuss upuuz
Ivan alisema yeye atagharamia gharama zote za kupima DNA
Nikuongezee nyama kuna watu mjini hapa wanawapa high class maisha dada zetu kasha wana wabwaga sasa pale mdada bi shost anajikuta hana tena gari ya bei ghali wala maisha yale maisha ya mwanzo hapo ndio bi dada anakuwa kitu foz ndio diamond watakavyo mfanyaKiukweli Diamond kajichanganya sana kwa zali hatukatai alikuwa anatafuta kick zaidi kwa bosslady japo nae zari kaboostiwa sana na mond kujulikana ila very soon tutampoteza kijana huyu kwa wimbi la mawazo mana background ya zari ni kudate na mtu either famous sana au awe na pesa mno so diamond mziki wake watu wanauchoka atapotea na zari atabwaga na kutojiweka karibu nae hapo ndo kijana wetu ataona kwanini asingeoa mtoto maarafu wa hapa bongoland tu au kigoli ambae si famous? Kumbuka zari ana battle sana na wadada wa team wema ivo mond akifulia sidhani kama bongo land atapaweza kupakaaa
Wanaume wa dar kazi kwelikweli:-!
Zari ndiye anayemjua baba halisi wa mtoto. Awe wa Ivan au wa Diamond we have nothing to discuss. Haitusaidii hata kidogo. Role yetu kwenye familia ile ni kumsapoti tu Diamond katika kazi zake kwa ya uzalendo wetu. Tukitumia muda wetu kujadili yasiyotusaidia ni hasara maana tungetumia muda huo kujengana kiuchumi, kijamii, kiimani and the like. Ni mawazo yangu tu, I stand to be corrected.
Huwajua waganda wewe hawababaiki na papuch wala kuganda papuch, na hata wanawake wa kiganda kukupa papuch na kumzalisha ufahari kwake, hata usipomuoa na hata uwapange 10 muhim kazaa na wewe.Huyo Ivan nae shoga tu. Demu atombwe na wahuni wengine mpaka apate mimba ye akae kuandika mitandaoni eti atalipia DNA. Kama anafikiri ni mwanae si akamchukue, anaogopa nini? Mtu kama huyu anakuwa braza wangu lazima nimpe mikofi anaidhalilisha familia.
Kwa kutaniria wenzenu mabaya mko juu....nyie mmefanya nn la maana kufanya ata mtakapo kuwa hampo hai mkumbukwe achen dhana za ushekh yahya fanyeni kaziNikuongezee nyama kuna watu mjini hapa wanawapa high class maisha dada zetu kasha wana wabwaga sasa pale mdada bi shost anajikuta hana tena gari ya bei ghali wala maisha yale maisha ya mwanzo hapo ndio bi dada anakuwa kitu foz ndio diamond watakavyo mfanya
Umezaa nao wangap ww?Huwajua waganda wewe hawababaiki na papuch wala kuganda papuch, na hata wanawake wa kiganda kukupa papuch na kumzalisha ufahari kwake, hata usipomuoa na hata uwapange 10 muhim kazaa na wewe.
Huwajua waganda wewe hawababaiki na papuch wala kuganda papuch, na hata wanawake wa kiganda kukupa papuch na kumzalisha ufahari kwake, hata usipomuoa na hata uwapange 10 muhim kazaa na wewe.