Tetesi: Eti, Diamond ana-date na Poshy Queen, ingawa mahusiano yao hayapo official huku mtandaoni

Tetesi: Eti, Diamond ana-date na Poshy Queen, ingawa mahusiano yao hayapo official huku mtandaoni

Kuhusu hilo usijari dear,nitafanya hivyo[emoji3059]

California love
[emoji7][emoji7][emoji7] Hapo sasa mie hoi kwako hunnie, hujui kujibana, waleleeeeeeeeeeeeeh, acha nideke mie, uwiiiiiiiiiiiih
 
[emoji7][emoji7][emoji7] Hapo sasa mie hoi kwako hunnie, hujui kujibana, waleleeeeeeeeeeeeeh, acha nideke mie, uwiiiiiiiiiiiih
Lazima nigharamikie coz real you are beautiful

California love
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan na me nkahis hvyo labda mil 1, maana mil 10 sio mchezo weeeeh, uwiiiiiiiiiiiih

Milioni kumi hata wewe upewe kwa kazi ya kupanua mapaja tu,, shetani angekuweka majaribuni.. ungeweka tu sharti kinga itumike
 
Milioni kumi hata wewe upewe kwa kazi ya kupanua mapaja tu,, shetani angekuweka majaribuni.. ungeweka tu sharti kinga itumike
Hapana kwa kweli, weeee mil 10 sasa c angeacha kudanga mda tyuuuh, khaaaaaah.
 
Ok,I miss you my honey [emoji7][emoji182]

California love
Mic u ma babeeeeh [emoji39][emoji39][emoji39], njoo unipe kenye kitu roho inapenda , uwiiiiiiiiih [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Mic u ma babeeeeh [emoji39][emoji39][emoji39], njoo unipe kenye kitu roho inapenda , uwiiiiiiiiih [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hahaa nakuja,afu nimemiss your voice [emoji3526]

California love
 
Inategemea, hela sio kila kitu kwenye mahusiano, hivi kuna mwanamke anaependa kudhalilika kisa pesa? Diamond yeye ametembea na kila mwanamke na amezaa hovyoo kila mahali halafu bado tuna mimi nijiingize kwenye mahusiano nae kisa pesa? Pride yangu kama mwanamke ipo wapi, hata kusimama mbele za watu kumtambulisha kama mpenzi ni aibu unaku aunajidhalilisha n watu wanakua wanakuchora tu

Ndio maana nikasema, kila mwanake anajua anachokitafuta kwenye mahusiano, wengine wanatafuta futere, wengine pesa, wengine upendo, wengine umaaarufu ila mimi mwanaume type ya diamond hata awe bilionea hanipati, abaki hukohuko na pesa zake atawapata wale wanaotafuta pesa na umaarufu kwenye mahusiano
Hakuna mwanamke ana kataa hela mkuu
 
Inategemea, hela sio kila kitu kwenye mahusiano, hivi kuna mwanamke anaependa kudhalilika kisa pesa? Diamond yeye ametembea na kila mwanamke na amezaa hovyoo kila mahali halafu bado tuna mimi nijiingize kwenye mahusiano nae kisa pesa? Pride yangu kama mwanamke ipo wapi, hata kusimama mbele za watu kumtambulisha kama mpenzi ni aibu unaku aunajidhalilisha n watu wanakua wanakuchora tu

Ndio maana nikasema, kila mwanake anajua anachokitafuta kwenye mahusiano, wengine wanatafuta futere, wengine pesa, wengine upendo, wengine umaaarufu ila mimi mwanaume type ya diamond hata awe bilionea hanipati, abaki hukohuko na pesa zake atawapata wale wanaotafuta pesa na umaarufu kwenye mahusiano
Mimi Sina hela Ila ku date na diamond siwezi kabisa naona najizalilisha Mana ni mtu mswahili flani hata akili yangu tumetofautiana Sana. Saa nyingine utu ni Bora kuliko hela
 
Mimi Sina hela Ila ku date na diamond siwezi kabisa naona najizalilisha Mana ni mtu mswahili flani hata akili yangu tumetofautiana Sana. Saa nyingine utu ni Bora kuliko hela

Akiwa serious huwez kuchomoa yule ni week 1 unaeza kubadilisha maisha yako ukimtumia vizur
Biashara zako zitajulikana unaeza kutoboa mapema ukiwa na akili kwahiyo nakushaur akija usiangalie uswahil wake angalia ww utanufaika vip na mahusianao,,unaeza ukawa na huyo ambaye sio mswahil lkn hamna unachopata wala huna unachoingiza zaid ya saund tu na mgegedo na maendeleo hamna au hampigi hatua mbele kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom