Eti gauni alilovaa leo Melenia Trump akienda kupiga kura ni shilingi millioni 15

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka wanaJF!

Yani gauni tu gharama yake ni zaidi ya kiwanja, zaidi ya IST ada za shule za watoto kadhaa. Wote tu tutarudi mavumbini. It's fundamentally wrong and totally unacceptable to spend 5000 sterling pound on just a dress.
 
Mtaa wa Kongo kuna duka la Gucci??ficha upumbavu wako...mtaa wa kongo 200% ni fake,copy products kuanzia nguo,electronics,saa na ata handbags.

Ficha ukapuku wako!!!, how 100% are you sure the dress is Gucci product???, miafrika imezoea kudanganywa na wazungu toka enzi za utumwa na ukoloni.

Hao wazungu wanapenda ujiko na hasa wanapokuwa ni Public figures isitoshe Makampuni makubwa ya "mavazi" kama Gucci, Adidas, Puma nk, yanapenda kuchukua nafasi kama hiyo ya Melania kupiga kura kujitangaza kibiashara, ni mostly not true that dress to cost such amount of US dollars. Hicho ni kitambaa cha kawaida tu kutoka China au popote duniani.

Fumbukeni macho nyinyi watu weusi, mmezoea kudanganywa na ndio maana hadi leo mnaibiwa dhahabu, Almasi nk na watu weupe.
 
Oyaa Dogo Kamoooonn kuwa mpole na mstaarab kwenye uzi wangu.

Sauh'waaa?
 
Mtaa wa Kongo kuna duka la Gucci??ficha upumbavu wako...mtaa wa kongo 200% ni fake,copy products kuanzia nguo,electronics, saa na ata handbags.
Dah, umempa za uso. Heshima Mkuu.
 
kwanza inaonekana toka uzaliwe ujatoka nje ya Tanzania,Ukapuku wangu mimi umejaa uelewa wa mambo.Mama ako ata uwezo wa kununua Pad ya Gucci awezi🤣🤣🤣. ondoa Stress zako ,usilete ujuaji wakati wewe ni kilaza...check hizi picha alafu nambie nimnunulie kipi mama ako nae afanane kidogo na mama Trump
 

Attachments

  • Screenshot_20201104-063440.png
    42.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201104-063420.png
    49.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201104-063205.png
    34 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201104-063140.png
    31.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201104-063205.png
    34 KB · Views: 2
Kwa wazungu, Melanie Trump ni kama kam mcharuko ka Mbagala, Temeke, Tandale, Magomeni au Kinondoni... Ila tukubali, kaandikiwa kuwa atakuwa 1st Lady...Wanayo pesa za kuchezea, anayefaidi hapo ni yule so called fashion designer, kua uone mambo,,,
 
Hiyo pesa kwa Trump ni ndogo sana. Trump ana towers na international hotels si za kitoto huko Marekani. Pale Chicago pekee yapo yakutosha. Pesa hapo sio ishu kabisa.
 
Mambo ya tutarudi mavumbini hayo n mawazo ya kimaskini, tafuta pesa ili uishi upendavyo
 
Kama hauna lazima uone ni ukichaa.
Tuendelee tu kujifariji ndugu kuwa mwisho wa siku wote tutakufa maana hamna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…