Eti gauni alilovaa leo Melenia Trump akienda kupiga kura ni shilingi millioni 15

Eti gauni alilovaa leo Melenia Trump akienda kupiga kura ni shilingi millioni 15

Vitu vyote dukani huulizi bei,,Bali vimeandikwa bei juu ya kitu husika.
Wanajuwa kila kitu na bei yake.
Mambo ya kuingia shop na kuuliza hii bei gani,,au nipunguzie bei wao hawana hyo.
Kila kitu ni fixed price mkuu..


If that is the simple case ,then do whatever you can and bring in here the fix price of the Melania dress.
 
kwanza inaonekana toka uzaliwe ujatoka nje ya Tanzania,Ukapuku wangu mimi umejaa uelewa wa mambo.Mama ako ata uwezo wa kununua Pad ya Gucci awezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. ondoa Stress zako ,usilete ujuaji wakati wewe ni kilaza...check hizi picha alafu nambie nimnunulie kipi mama ako nae afanane kidogo na mama Trump
Wewe jamaa nae hujielewi kabisa, mama mzazi wa mchangiaji kaingiaje kwenye mijadala humu ndani?

Kuwa na heshimu, punguzeni upumbavu, mheshimu sana mama hata kama siyo mzazi wako, halafu kingine kama wewe umefanikiwa kufika nje ya nchi ama una uwezo wa kununua hizo nguo mshukuru MUNGU, wapo wengi ambao wanatamani sana wawe na maisha kama yako lakini ndo hivyo tena.

Kumbuka, aliyekupa wewe ndiye aliyemnyima yule, ya MUNGU ni mengi leo kwake kesho kwako.
 
Mtaa wa Kongo kuna duka la Gucci??ficha upumbavu wako...mtaa wa kongo 200% ni fake,copy products kuanzia nguo,electronics,saa na ata handbags.
Kariakoo pale gauni zile ni daraja la nne (mnununzi/mfanyabiashara anakiomba kiwanda kitoe kopi badala ya original ili apate faida
 
Unasumbuliwa na wivu, umasikini,chuki wish you a quick recovery


Hujui usemalo, May Almighty God save your ailing soul.

By the way; bring in here the dress price, if you can't you better keep mum, if speaking is gold then keeping mum is pearl.
 
Inatufundisha kwamba unaposema jambo tafuta kwanza ushahidi, no evidence no right to speak.
Umeshawahi kuuziwa chochote na mzungu?nje ya bara letu pendwa la shit hole.
Tuanzie hapo kwnz..ili nijuwe uelewa wako wa pesa za kigeni.
Nisjie ikawa nabishana na kipofu wa fikra...na mawazo..
 
Haya mimi na uha wangu nauliza;, kama bei za vitu zinajulikana basi nionyeshe bei ya gauni tu la huyo Melania Trump (hilo gauni alilovaa akienda kupiga kura), kumbuka bei za magauni mengine zimeonyeshwa.
Sasa uonyeshwe bei ya gauni wakati aliyelivaa yupo mtaani?
Umeshaambiwa ni dola kadhaa..
Tatizo unapiga hesabu kwa pesa za madafu..
Usijilinganishe kwa vitu vyote ulivyovaa na watu wengine,,,
Utakuwa kituko kwa watu mkuu next time.
Lazima utakuwa ni mtu wa aina hii.
- kiatu- 7000 Tz sh.
-simu- tecno 60000 Tz sh.
-mkanda ...aina ya chadra pandu Tz sh 4000
Suruali . aina ya savco 9000 Tz sh
Chupi..boxer 1000 Tz sh
Soksi ..1000 Tz sh.
Saa aina ya pyan pyu...2500.Tz sh.
Miwani ..aina ya ray boo 2500 Tz sh
Perfume Yolanda 3500 Tz sh.
Jumla ya vitu vyote ulivyovaa mwilini pamoja na simu yako ya mkononi ni 90500 / Tz sh..

Mkuu lazima uone ni kigeni sana mambo hayo.
Hata mm ningebisha sana kwa hilo la Melanie trump.
 
nje ya bara letu pendwa la shit hole.


Bara letu ni Shit hole???!!, wewe si ndio kipofu wa fikra na mbumbumbu.

Calling our continent a SHIT HOLE inaonyesha jinsi ulivyo, maneno hayo yalitamkwa dhidi yetu na mume wa huyo mnayemtetea (shemeji yenu) kwamba kavaa gauni lenye thamani ya $ 20,000.

Principally, wewe unadhani mke wa tajiri na first lady wa nchi tajiri duniani atasema kivywalo chake ni $ 250 ??!!!, ndiyo maana anaweza kudanganya na kusema mavazi yake ni ghali mno na watu kama nyie msiopima mambo mkaamini.

Hadi sasa bado hujaleta bei ya sokoni ya hilo gauni la shemeji yenu Melania Trump, wewe umeleta bei za magauni mengine na umeshindwa kuleta picha na bei yake kwasababu halipo hata sokoni hivyo ni uongo mtupu wa wazungu ili kumpamba Trump na mkewe as a campaigning milestone. Wakeup, Vuta akili zenu.

Ninaagiza tools na spares kadhaa kutoka nje, kazi yangu inahitaji tools kutoka nje. Hss cutting tools nk.
 
Sasa uonyeshwe bei ya gauni wakati aliyelivaa yupo mtaani?
Umeshaambiwa ni dola kadhaa..
Tatizo unapiga hesabu kwa pesa za madafu..
Usijilinganishe kwa vitu vyote ulivyovaa na watu wengine,,,
Utakuwa kituko kwa watu mkuu next time.
Lazima utakuwa ni mtu wa aina hii.
- kiatu- 7000 Tz sh.
-simu- tecno 60000 Tz sh.
-mkanda ...aina ya chadra pandu Tz sh 4000
Suruali . aina ya savco 9000 Tz sh
Chupi..boxer 1000 Tz sh
Soksi ..1000 Tz sh.
Saa aina ya pyan pyu...2500.Tz sh.
Miwani ..aina ya ray boo 2500 Tz sh
Perfume Yolanda 3500 Tz sh.
Jumla ya vitu vyote ulivyovaa mwilini pamoja na simu yako ya mkononi ni 90500 / Tz sh..

Mkuu lazima uone ni kigeni sana mambo hayo.
Hata mm ningebisha sana kwa hilo la Melanie trump.


Lete picha na bei za hilo gauni jinsi ulivyoleta picha na bei za magauni na nguo zingine kutoka GUCCI.

Mbona hayo magauni mengine umeweza kuleta picha na bei kwanini hilo gauni la Melania umeshindwa???, the answer is simply; the dress is not GUCCi brand thus does not exist in their catalogue.

Lete bei na picha ya gauni hapa tuone na sio maneno matupu, Short and clear.

Labda, Yawezekana Trump alimtuma Balozi wake Mtaa wa kongo kununua hiyo gauni na kuituma marekani kwa mkewe, halafu mnatudanganya hapa eti gauni ni $ 20,000 !!---- utajua vipi🤣🤣
 
Sawaaa...

Aende akayavae ya milioni 100 nje ya JUMBA JEUPE...
 
Bara letu ni Shit hole???!!, wewe si ndio kipofu wa fikra na mbumbumbu.

Calling our continent a SHIT HOLE inaonyesha jinsi ulivyo, maneno hayo yalitamkwa dhidi yetu na mume wa huyo mnayemtetea (shemeji yenu) kwamba kavaa gauni lenye thamani ya $ 20,000.

Principally, wewe unadhani mke wa tajiri na first lady wa nchi tajiri duniani atasema kivywalo chake ni $ 250 ??!!!, ndiyo maana anaweza kudanganya na kusema mavazi yake ni ghali mno na watu kama nyie msiopima mambo mkaamini.

Hadi sasa bado hujaleta bei ya sokoni ya hilo gauni la shemeji yenu Melania Trump, wewe umeleta bei za magauni mengine na umeshindwa kuleta picha na bei yake kwasababu halipo hata sokoni hivyo ni uongo mtupu wa wazungu ili kumpamba Trump na mkewe as a campaigning milestone. Wakeup, Vuta akili zenu.

Ninaagiza tools na spares kadhaa kutoka nje, kazi yangu inahitaji tools kutoka nje. Hss cutting tools nk.
Kwani Africa sio shit hole?
Fuatilia mambo mengi sn,,utaamini maneno ya trump.
Pili Mimi nimekwambiya bei za vitu zipo sokoni,,
Na huwezi kujuwa bei ya kitu kwa Google kama hujuwi serial namba zake..
Huyo ni mke wa Tajiri hawezi kuongezewa kiki kwa gauni..
kumbe unaagiza vipuri? Ndy maana bado una tongotongo machoni..
ukitoka nje ya inchi kufuata mwenyewe vipuri ,,siku ukirudi utatupa mrejesho..
 
Mleta mada ni lini umeanza hii tabia ya kufuatilia bei za magauni ya wanawake mpaka kuwaonea wivu kwa kua wanavaa mavazi ya gharama?

Mtu kutumia hela zake wewe inakuhusu nini? Umasikini wako usiuhamishie kwa wengine,yaani masikini siku zote akimuona tajiri ananunua vitu vya gharama anaona kama vile anachezea hela! wewe usiyechezea hela ziko wapi hizo hela zako?

Hiyo hela ni ndogo sana kwa mke wa tajiri kama Trump,kinachokufanya wewe ushangae hiyo bei ni msukumo tu uliosababishwa na umasikini wako.
 
Nimekuuliza wewe unayejitapa unakwenda ulaya kutalii,,
Ndy niambiye ushatalii inchi gani?
Nikuulize maswali magumu,,
Wacha fix mkuu,,huna cha kutalii wala kwenda wapi,,,
Wacha zako


Nimeenda Burundi kutalii.

Ila usisahau kuja na bei ya gauni la Melania Trump.
 
Nimeenda Burundi kutalii.

Ila usisahau kuja na bei ya gauni la Melania Trump.
Imeshaeleweka unasumbuliwa na upungufu wa fikra pamoja na tongo tongo za machoni...
Fanya mpango ukaoshe macho ,,,ili uwe na uwezo wa kuona vizuri ..
 
Hivi Burundi pia ni nje?
Mkuu kwa majibu hayo aibu nimeona mm.
Sasa Burundi ulikwenda kutalii nini? Au kuangalia vifaru vya Jeshi ?


Unadhani Burundi ni moja ya mikoa ya Tanganyika??!!.

Kutalii kupo kwa aina ngapi??

1--- kuna study tour.
2--- kuna natural resources and archaological tourism .
3--- kuna business tourism.(finding business opportunities).

Mimi nilikwenda kwa ajili ya hiyo no 3.


Bado nakudai ulete picha na bei ya lile gauni, bado sijasahau.

Nataka unitoe tongotongo.🤣
 
Back
Top Bottom