Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Za milioni kumi na tano hata first lady wetu mama Janet Jiwe anavaaga ,Trump na Mrs wake bahiri sana bora wasichaguliwe tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M 15 si unaitwa baba mwenye nyumba hapa mjiniMzuka wanaJF!
Yani gauni tu gharama yake ni zaidi ya kiwanja, zaidi ya IST ada za shule za watoto kadhaa. Wote tu tutarudi mavumbini. It's fundamentally wrong and totally unacceptable to spend 5000 sterling pound on just a dress. View attachment 1619091
View attachment 1619092View attachment 1619093
Mkuu unatia aibu,,,wenzetu wazungu wanavaa brands za vitu mfano GUCCI, NIKE ,nk..
Hawavai kusitiri makalio..
hivi 5000 US dollars ni pesa za kumshinda mke wa Tajiri?na akivaa hilo gauni mara moja harudii tena kuvaa..tena pamoja na kuvaa hilo gauni bado kuna sehem anaona aibu kwenda nalo.
Linaonekana ni pesa ndogo sana kwa mtu kama yeye kuvaa .
Usiwe mbishi kama vitu huvijuwi..
Wazungu vitu vyao dukani haviuzwi kwa siri,,
Vinawekwa bei kila mtu anaviona..
Ingia kwenye account za akina Beyonce,, uone kufuru zisizompendeza MUNGU.
Dogoo Kamoooonn nitakukamua marvey inaonekana hunijui
Tena mleta uzi kasema dola 5000..Okay, niwekee hiyo nguo ikiwa na bei yake hapa.
Could you please bring me a picture of the dress bearing a price tag with such amount of money??!---- according to you; there is no secret of prices for those stuffs.
Tena mleta uzi kasema dola 5000..
Lakini kiuhalisia ni dola 17,000 US dollars hadi 20,000 US dollars.
Hizo pesa ukizifikiria kwa pesa zetu ni pesa nyingi sana,,ila kwa mastaa ni kawaida tu. .
Uzuri vitu vya duniani vitu vyote vina bei zake ,,na watu wote wanazijuwa.View attachment 1620549View attachment 1620550View attachment 1620551View attachment 1620552View attachment 1620553View attachment 1620554
Mara $ 5,000 mara $ 20,000, which is which???!!, si ndio ninasema huo ni uongo.
Sasa kwa kurahisisha mambo, onyesha hilo gauni na bei yake, mimi sitaki hayo magauni mengine uliyoyaonyesha na bei zake, nataka lionyshe hilo la Melania Trump na bei yake.
Kama unabishana mm siwezi ubishani,,ila ukitaka kupata faida ya kuelewa mambo ya bei ya vitu vya mastaa ya majuu ingia Google..Mara $ 5,000 mara $ 20,000, which is which???!!, si ndio ninasema huo ni uongo.
Sasa kwa kurahisisha mambo, onyesha hilo gauni na bei yake, mimi sitaki hayo magauni mengine uliyoyaonyesha na bei zake, nataka lionyshe hilo la Melania Trump na bei yake.
Kama unabishana mm siwezi ubishani,,ila ukitaka kupata faida ya kuelewa mambo ya bei ya vitu vya mastaa ya majuu ingia Google..
Utajionea mwenyewe,,
Dola 5000 ni ndogo sana kwa nguo za mastaa..
Sasa wewe mwanaume mzima, vazi kavaa mtu Marekani linakusaidia nini?Mzuka wanaJF!
Yani gauni tu gharama yake ni zaidi ya kiwanja, zaidi ya IST ada za shule za watoto kadhaa. Wote tu tutarudi mavumbini. It's fundamentally wrong and totally unacceptable to spend 5000 sterling pound on just a dress. View attachment 1619091
View attachment 1619092View attachment 1619093
Mkuu nimekupa ushahidi wa magazeti ya marekani na jinsi gauni linavyouzwa,,Nauliza hivi: je hilo gauni la Melania lilikuwa ni moja tu (special for her only) au yapo mengine ya aina hiyo??---- kama yapo basi onyesha bei yake kama jinsi ulivyoonyesha bei za hayo magauni mengine.
Mimi sishangai hicho unachosema juu ya Americans celebs, kufanya matanuzi ya vitu vya bei kali, shida ipo kwenye ushahidi kwamba kitu fulani alichonunua Celeb, fulani bei yake ni kweli???.
Kumbuka, Celebs, wanayo sifa moja ya kupenda ujiko (prestige), wanaweza kufanya jambo dogo la kawaida na watatafuta umaarufu juu ya jambo hilo hata kwa njia za uongo na hila ilimradi to attract people's attentions, tabia hii wanayo hasa wazungu, isitoshe pia huwa kuna business adverts katika mambo kama hayo, mfano utaona kupitia hilo gauni pia kampuni ya Gucci imetangaza jina na proructs zake zingine.
Swali linabaki pale pale, je ni kweli hilo gauni bei yake ni hiyo $ 5,000 au $ 20,000 ??, ukweli ni upi??7--- hapo nafasi ya uongo ipo kubwa ili kukidhi hizo sababu nilizokujuza huko juu.
Mkuu nimekupa ushahidi wa magazeti ya marekani na jinsi gauni linavyouzwa,,
Wewe unataka ushahidi wa bei wa aina gani?
Na hata hayo magauni yapo special kwa anayetaka kununuwa kama hilo.
Kama ingekuwa ni ujiko? Wasingesema bei hao watu wa magazeti..
Mbona kuna siku Ronaldo alivaa earphone za euros 20 kila mtu alizijuwa na wakazungumza hilo?
Wenzetu bei za vitu wanavijuwa..si kama star ndy anatamka bei..
Jifunze kufanya window shopping.. Utajuwa bei za vitu hata hapa kwetu bongo..
Hapo sio Melanie anayesema gauni bei yake. ,,
Bali ni waandishi ndy wanasema bei ya gauni na vitu alivyovaa ,,sababu bei zake zinajulikana vinavyouzwa dukani..View attachment 1621884View attachment 1621885
Hyo wameandika vitu vyote kwa ujumla vinafika bei hyo,,,Haya sasa unaona!!!??---- mleta mada anaandika bei ya gauni ni $5,000, magazeti mawili tofauti yanaandika kila moja bei tofauti ni $17,000 na $20,000, mimi nikasema gauni kama hilo nilipata kuliona mtaa wa kongo likiuzwa kwa Tsh 35,000/=.
Haya sasa, ni nani mkweli hapo???
Hyo wameandika vitu vyote kwa ujumla vinafika bei hyo,,,
Ukichanganya na gauni..
[emoji3][emoji3][emoji3]wewe jamaa utakuwa ni muha siyo kwa ubishi huo,Hao waandishi walijuaje kuwa kavaa vitu vya thamani hiyo??
Vitu vyote dukani huulizi bei,,Bali vimeandikwa bei juu ya kitu husika.Hao waandishi walijuaje kuwa kavaa vitu vya thamani hiyo??
[emoji3][emoji3][emoji3]wewe jamaa utakuwa ni muha siyo kwa ubishi huo,
Bei za vitu si zinajulikana mkuu?