Eti gauni alilovaa leo Melenia Trump akienda kupiga kura ni shilingi millioni 15

Eti gauni alilovaa leo Melenia Trump akienda kupiga kura ni shilingi millioni 15

Unajua kuwa kabla hajaitwa first lady alikuwa mwanamitindo ...

Unadhani kipato chake kina hadhi yakuvaa gauni lenye thamani ya kkoo

Unapoambiwa nchi za dunia ya 1 unaelewa nini juu ya hili


Huyo hakuwa mwana mitindo, alikuwa ni comfort girl katika Casino za Trump, ndipo Trump katika pitapita zake kwenye Casino zake kabla hajawa raisi akavutiwa naye na akavuta ngoma.

Mimi sikatai mambo hayo ya Celebs kutoka dunia ya kwanza kwani hata celebs wa dunia ya mwisho nao pia wanamatanuzi makubwa kama ya dunia ya kwanza.

Hilo gauni kifupi ni kwamba bei yake haijulikani sawasawa, magazeti mawili kila.moja linasema kivyake, moja linasema gauni linagharimu $20,000 jingine $17,000, mleta.mada anasema $5,000. sasa which is which??.

Katika kutetea hiyo bei mleta mada akaja na catalogue yenye nguo na bei zake kutoka Gucci lakini akashindwa kuleta picha na bei ya hilo gauni la Melania. Mimi nikawauliza, je hilo gauni lilitengenezwa maalumu kwa ajili ya Melania kiasi kwamba lisiwepo katika Catalogue ili tulione na bei tuioe???. Hakuna majibu sana sana niliambulia matusi makubwa pia ninambiwa ninatongotongo machoni.

Kuna kitu ambacho sisi ngozi nyeusi hutukijui kut oka kwa wazungu, kulikuwa na sababu gani ya Melania kuvaa hiyo nguo inayoaminiwa na kutangazwa na vyombo vya habari kuwa na thamani kiasi hicho??? (thamani isiyoweza kuthibitishwa), ndiyo maana nikasema kwa wazungu jambo hilo lilikuwa ni moja ya "Trump political campaign milestone'" kupitia vyombo vya habari na magazeti.
 
Unadhani Burundi ni moja ya mikoa ya Tanganyika??!!.

Kutalii kupo kwa aina ngapi??

1--- kuna study tour.
2--- kuna natural resources and archaological tourism .
3--- kuna business tourism.(finding business opportunities).

Mimi nilikwenda kwa ajili ya hiyo no 3.


Bado nakudai ulete picha na bei ya lile gauni, bado sijasahau.

Nataka unitoe tongotongo.[emoji1787]
Mkuu hivi kweli unaweza ukawaaga majirani unakwenda nje?hapo BURUNDI?
Hapo kufata vitenge na batiki pia ni nje?
unapofika safari ukiwa una mavumbi mwili mzima pia ni nje?
Unaweza kutumia hata gazeti la Uhuru kuvukia border pia unapaita nje?
Nje ni out of Africa mkuu..
 
Mkuu hivi kweli unaweza ukawaaga majirani unakwenda nje?hapo BURUNDI?
Hapo kufata vitenge na batiki pia ni nje?
Hapo unapofika safari ukiwa una mavumbi mwili mzima pia ni nje?
Nje ni out of Africa mkuu..


Mtu anawaaga majirani anapoenda kazini tu sembuse nje ya nchi???

Burundi ni ndani au nje ya nchi??-- najua jibu unalo.
 
Mtu anawaaga majirani anapoenda kazini tu sembuse nje ya nchi???

Burundi ni ndani au nje ya nchi??-- najua jibu unalo.
Sema unakwenda Burundi utaeleweka,,
Unaposema umasafiri nje utawachanganya wajumbe..
Sawa mkuu,,,ukienda tena usisahau kupiga picha kwenye Taqwa bus service..
 
Sema unakwenda Burundi utaeleweka,,
Unaposema umasafiri nje utawachanganya wajumbe..
Sawa mkuu,,,ukienda tena usisahau kupiga picha kwenye Taqwa bus service..


Wewe usiye na tongotongo🤣 ndiye hutanielewa lakini watu wanaojua nje ya nchi ni nini wanaelewa.

Usisahau kuingia katika domain ya GUCCI ili uniletee picha ya na bei ya gauni la Melania Trump ili tujiridhishe kwamba hako kagauni ni $17,000 au $20,000 au hata $5,000.------, for your information that dress doesn't cost that much, It was only for political purposes it (the dress and Melania) was highly hyped by media to draw Voters attentions for Trump as the time was still fit for Campaign and he (Trump) saw already his downfall against Jose Biden through a tunnel ----

KAMON, Blackman pull up your thinking. 🤣✊🏻
 
watu maalufu wanavaa kuonyesha ufahari, unaweza kutokelezea kwenye tamasha umevaa umependeza wanakuuliza umevaa nguo ya designer gani ili waangalie bei wakusaminishe ukiwaambia kanishonea mama yangu tu wanakupotezea kabisa ukimtaja designer mkubwa wanaenda kuangalia bei alafu ndio sifa zinakuja baadae
 
Wabongo bwana wanashangaa gauni wakati ni normal sana huku beijing kutembea ukakuta baiskeli inauzwa dukani hadi dola 10,000 . Jaman kweli uchumi wa kati uko kwenye ndoto . Njaa mbaya sana , sasa gauni wakati watu wanakunywa shampeni moja ya dola laki moja na anazimwaga hata tano [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom