Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
- Thread starter
- #21
Kwel eheeeAcha usnitch Kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel eheeeAcha usnitch Kaka.
Hapa dsm au mkoani maana hapa dsm Kaz zakupata K .vant sio lazima zionekane kwa macho mfano wauza bangi au wapiga robaK vant
[emoji44]Hapa dsm au mkoani maana hapa dsm Kaz zakupata K .vant sio lazima zionekane kwa macho mfano wauza bangi au wapiga roba
Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
Ipo hivyo hivyo jitahidi uizoee!Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
K vant
ofisi ni mtu aliposimama/kaa hata muhuri wa ikulu unapata.Mjini mipango, si lazima wote tuingie ofisini!!
Wengine simu zetu ndo ofisi, miamala tu anasoma
Watakuwa FREEMASON hao..kaa nao mbali.Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii
Nikashauriwa na mwenye bar km nina kiu sana nilipie room atanipunguzia bei ili niletewe bia chumbani kwa kuwa sikuwa na namna nikapata room ya 10 nikaanza mdogomdogo mpk jioni ndo kahama kutafuta chimbo la maanaDuu nimekumbuka Dar juzi kati nimeenda mapumziko ya wiki,naamka saa mbili nitoe hangover nakosa eti hairuhusiwi kunywa pombe asubuhi,aisee sasa mimi mgeni niamke nikae kwa TV nasubiri jioni,hii si sawa kabisa,pesa yangu,tra wanataka kodi kutoka mabaani bado still watu hawafanyi biashara
Doh!!Inawezekana kabisa ukaw unaishi mtaani kwangu jamaa..Kuna wasela hapa mtaani kila siku yani wanakunywa pombe kila siku
Ipoje hii