Eti huyu ni mke wa mtu,tena kaolewa kwa ndoa ya kanisani kabisa na watu wakakusanyika ukumbini kuhudhuria sherehe ya harusi yake.

Et umenipendea nn? Ushamba mzigo mwanaume umuulize demu tena mke wa mtu umenipendea mm?? Ha πŸ˜‚
 
Kwa hiyo Tang'ana wewe ndio umetongozwa?
 
Wanaume Huwa hatuulizi.. Kwanini unanipenda, unanipendea nn?.

Daahh umetuangusha.

Anyway huyo ni Mke Kila
Hapa hakuna mwanaume mkuu wangu,
Observe from whatsapp conversation to his thread content and context!
 
Umenipendea nini, swali unauliza mwanaume kweli?? Hayo maswali huwa tunauliza wanawake tukiwa na lengo la kusifiwa ila kwa mwanaume linaleta ukakasi kidogo.
 
Umeuliza swali la Kiduanzi sana Kama mwanaume....eti umenipendea nini.... Kweli!

Kuna kitu ilikuwa ikiitwa SUKITA miaka flani hivi unaijua? πŸ˜€
 
Ni kweli kuwa wake zetu wanawekwa sana, wamekuwa cheap kuliko singles.

Wenye nguvu ya kuwaombea muendele kufanya hivyo, huenda wakarudi kwenye mstari. Na sisi wapenda mbususu tuendelee nazo..kifupi mzidi kuziombea ndoa za sasa, zipo ICU.
 
Ni kweli kuwa wake zetu wanawekwa sana, wamekuwa cheap kuliko singles.

Wenye nguvu ya kuwaombea muendele kufanya hivyo, huenda wakarudi kwenye mstari. Na sisi wapenda mbususu tuendelee nazo..kifupi mzidi kuziombea ndoa za sasa, zipo ICU.
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Maswali ambayo mwanamke alitakiwa aulize, ajabu mwanaume ndo anauliza.!!πŸ˜₯
Hao akiishi na mkewe kila jambo analo ambiwa na mkewe lazima akamwambie mama yake, kwahiyo anakuwa baba msimuliaji mama na dada
 
Hao akiishi na mkewe kila jambo analo ambiwa na mkewe lazima akamwambie mama yake, kwahiyo anakuwa baba msimuliaji mama na dada
Eti umenipendea nini?? 😳
Hili jamaa jinga kweli.!!

Mi ningekuwa huyo demu ningemjibu, nimekupendea wowowo lako.!! 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…