Ha ha ha ha nami nilitaka niseme hivyo hivyo ๐๐Eti umenipendea nini?? ๐ณ
Hili jamaa jinga kweli.!!
Mi ningekuwa huyo demu ningemjibu, nimekupendea wowowo lako.!! ๐น๐น
Anatufanya sisi wajinga kajiandikia halafu ka switch account na ku screenshot. Muongo huyuSifa zako ni zipi mkuu hebu tupe hata tatu tuprove anachokisema bidada hapo.
Kafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma ๐น๐น๐นHa ha ha ha nami nilitaka niseme hivyo hivyo ๐๐
Duu haogopi kama simu inaweza potea akaaibika! Sijui nikukosa malezi mabovu au hawajitambui!Kafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma ๐น๐น๐น
Kuna mmoja kamtumia dubwasha lake halafu anamwambia eti โMke wangu watoto wako wananisumbuaโ ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hao tomba tu usioe vimeo hivyo, ni mazuri yakiwa ndani we liache hapo kama pambo tu.Ndoa ni utapeli hasa wanawake weusi
Huwa nashangaa MTU anaoa Mimi siwezi kuoa mbantu achilia mbali kuzaa nae .
๐๐Hiii kali Huyo m mang'ati wa wapi๐Kafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma ๐น๐น๐น
Kuna mmoja kamtumia dubwasha lake halafu anamwambia eti โMke wangu watoto wako wananisumbuaโ ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
HahahahaKafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma ๐น๐น๐น
Kuna mmoja kamtumia dubwasha lake halafu anamwambia eti โMke wangu watoto wako wananisumbuaโ ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
huyu hakuepo kikao cha mwezi huu, amefeli sanaWanaume Huwa hatuulizi.. Kwanini unanipenda, unanipendea nn?.
Daahh umetuangusha.
Anyway huyo ni Mke Kila MTU.
Ameona achangamshe ukumbiAnatufanya sisi wajinga kajiandikia halafu ka switch account na ku screenshot. Muongo huyu
๐๐๐Siwez bisha aisee kunamtu namuona Yan anaendesha mahusiano nje ya ndoa km yupo single ajabu akirud kushenyentwa anampost mumew I love u my husband๐๐๐
Mabwege ndivyo hupigwa. Amekuona wewe ni bwege na anataka kuendelea kukuchuna. Au hujui mchezo? Mbona hata sisi wanaume kama tunataka kumshawishi mwanamke tulale naye tunatumia maneno kama hayo?Merry Christmas everyone out there.
Kuna mwanamke tulikutana tu somewhere mwanzo alivyojiweka me sikujua kama ni mke wa mtu coz alinificha,so nikachapa mara moja then nikaja nikagundua ni mke wa mtu me nikampotezea,sasa ni hataki kuniacha ni kwamba kaniganda sana.
Hapa chini ni conversation yangu na yeye jioni hii,yani hizi ndoa mliooana kazi mnayo kubwa sana.