Eti kabla hujaomba zabuni kupitia mfumo wa GPSA ni lazima ujisajili kama mzabuni kwa taasisi unayoomba zabuni?

Eti kabla hujaomba zabuni kupitia mfumo wa GPSA ni lazima ujisajili kama mzabuni kwa taasisi unayoomba zabuni?

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Masahihisho: Nimeandika GPSA kwenye kichwa cha habari kimakosa, neno sahihi ni TANEPS.

Nimesikia kwamba unaweza omba zabuni kwa taasisi yeyote ya serikali kwa kutumia mfumo wa TANEPS, lakini kwanza hakikisha wewe ni kati ya wazabuni waliosajiliwa na taasisi husika.

Hivi hii kitu imekaaje? Kuna umuhimu gani wa kujisajili TANEPS kama ni lazima nijisajili kwa taasisi inayotoa zabuni, kabla sijaomba zabuni kupitia TANEPS?
 
Nimesikia kwamba unaweza omba zabuni kwa taasisi yeyote ya serikali kwa kutumia mfumo wa GPSA, lakini kwanza hakikisha wewe ni kati ya wazabuni waliosajiliwa na taasisi husika.

Hivi hii kitu imekaaje? Kuna umuhimu gani wa kuwa mwanachama wa GPSA kama ni lazima nijisajili kwa taasisi inayotoa zabuni, kabla sijaomba zabuni GPSA?

Haujisajiri GPSA mkuu unajisajir taneps
huko wao ndio wanakuunganisha moja kwa moja GPSA na mkataba unaupata GPSA hapo utakua na haki ya kuomba zabuni kwenye tasisi yoyote ya serikali
 
Pole kiongozi, ili uombe Gpsa ni lazima usajili we kwenye mfumo wa manunuzi (taneps) kwanza, kwa Maana manunuzi ya umma kwa Sasa yanafanyika kwenye mtandao huo wa Taneps. Then ukifanikiwa kuomba Gpsa na kupata mkataba, hapo tenda za bidhaa mtambuka (common use items) katika mkoa wako zitakufikia direct kila zinapotangazwa kwenye mfumo huo. Kwa hiyo usajili wa kwanza ni taneps alafu Gpsa ili ufanye kazi na taasisi za serikali kwa bidhaa mtambuka.
 
Haujisajiri GPSA mkuu unajisajir taneps
huko wao ndio wanakuunganisha moja kwa moja GPSA na mkataba unaupata GPSA hapo utakua na haki ya kuomba zabuni kwenye tasisi yoyote ya serikali
I meant Kujisajili TANEPS. Asante
 
Pole kiongozi, ili uombe Gpsa ni lazima usajili we kwenye mfumo wa manunuzi (taneps) kwanza, kwa Maana manunuzi ya umma kwa Sasa yanafanyika kwenye mtandao huo wa Taneps. Then ukifanikiwa kuomba Gpsa na kupata mkataba, hapo tenda za bidhaa mtambuka (common use items) katika mkoa wako zitakufikia direct kila zinapotangazwa kwenye mfumo huo. Kwa hiyo usajili wa kwanza ni taneps alafu Gpsa ili ufanye kazi na taasisi za serikali kwa bidhaa mtambuka.
Asante. Nilimaanisha kujisajili Taneps. Nimerekebisha. Sasa tuseme unataka uombe tender BoT, je, unapaswa ume mzabuni wa BoT kabla hujatumia TANEPS kuomba zabuni iliyotangazwa nao BoT ndani ya Taneps?
 
Hapana, Jisajili taneps na gpsa ili uone hizo zabuni za Bot na taasisi nyengine za serikali. Matangazo ya zabuni yako.ya Aina nyingi... Zipo njia za manunuzi ambazo hata ukiwa Na usajili hutaweza kushiriki mfano kama wana shortlist ya wazabuni kadhaa kwa ajili ya tender fulani na firm yako haiko kwenye hiyo shortlist hautaweza kushiriki zabuni hiyo.....japokuwa sio Mara nyingi kutumika. Pia usajili unaweza kuwepo kwa Maana ya kumbukumbu ya wazabuni wanaofanya nao kazi Mara kwa Mara na wanafahamu performance zao bali hii haizuii mzabuni Mpya kuomba zabuni zao Taneps.
 

Hapana, Jisajili taneps na gpsa ili uone hizo zabuni za Bot na taasisi nyengine za serikali. Matangazo ya zabuni yako.ya Aina nyingi... Zipo njia za manunuzi ambazo hata ukiwa Na usajili hutaweza kushiriki mfano kama wana shortlist ya wazabuni kadhaa kwa ajili ya tender fulani na firm yako haiko kwenye hiyo shortlist hautaweza kushiriki zabuni hiyo.....japokuwa sio Mara nyingi kutumika. Pia usajili unaweza kuwepo kwa Maana ya kumbukumbu ya wazabuni wanaofanya nao kazi Mara kwa Mara na wanafahamu performance zao bali hii haizuii mzabuni Mpya kuomba zabuni zao Taneps.
Asante
 
Haujisajiri GPSA mkuu unajisajir taneps
huko wao ndio wanakuunganisha moja kwa moja GPSA na mkataba unaupata GPSA hapo utakua na haki ya kuomba zabuni kwenye tasisi yoyote ya serikali
Samahani mkuu, nimekwamba kwenye kujisajili taneps, sehem ya username kila nikijaza inasema invalid username. Naombeni msaada
 
Mkuu sasahivi tenda zinatolewa kupitia mfumo TANEPS hasa za serikali...
hio unayosema wewe ilikuwepo lkn zamani kwa sasa ni mfumo tu..

sijui kama naeleweka. kwa Taneps inamilikiwa na nani?? unaweza kujiunga na Taneps bila kuwa na leseni ya Gpsa?
 
Jisajili TANEPS then utajisajili GPSA jitahidi maana dirisha la usajili GPSA huwa linafungwa March.
 
Back
Top Bottom