Yaani kwa hivi ulivyoandika tu hufai kuwa freemasonic ! unaropoka sana freemasonic wanataka watu wenye kaliba ya USIRI NA UJASIRI.Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
Hii ndio Nini?? Acha kunisingizia ujinga kama huo kama kaka zako ndio wanatongozana Basi ni wao ,kitu serious kama hiki usinizushie mpuuzi kama wewe Tena usinizoee kama ulivyozoea hao mashoga wenzako unikome Tena usinizoee takatakaPunguza kutongoza wanaume wenzako
Kuna memba ana id ya kike hapa jf, ujumbe ukufike hapo ulipo. Acha kunanga wanaume na kuwa portray kama watu katili sana hapa duniani, nyuma ya pazia wewe ni mtongozaji mzuri sana. Tulia usome huu ujumbe kwa makini na ujitahidi kubadilika, sina shida na UMALAYA unaofanya, shida yangu ni pale...www.jamiiforums.com
Kitu usichokijua ni kwamba Freemasons hairuhusu wanawake kujiunga, freemason ni maalumu kwa waname tu.Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
Aisee nikuambie kitu nikiamua kusema yamoyoni kunamatajiri wa haswa watajiuaYaani kwa hivi ulivyoandika tu hufai kuwa freemasonic ! unaropoka sana freemasonic wanataka watu wenye kaliba ya USIRI NA UJASIRI.
Kha aKitu usichokijua ni kwamba Freemasons hairuhusu wanawake kujiunga.
Freemasons watu wanaingia kifamilia na kujuana kwa karibu na watu waliokuwa humo freemasons, sio mtu tu huna connection yoyote,Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
pata hela za chapuchapu, nunua magari chapuchapu,jenga chapuchapu alafu ukufe chapuchapu.alafu uache ndugu zako wakigombania mali chapuchapu.Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
Vibabu mie Sina Babu mie ninamwamume waheshima zake na anajiheshimu basiUmechoka kudanga na vibabu?
We endelea na hiyo Job
ππHautaki kuchezea fursaUkipata connection nipe na mie mwaya π
na wewe wataka kujiungaππHautaki kuchezea fursa
Mm hapana ngoja kwanza nijaribu kutafuta Hela Kwa jashona wewe wataka kujiunga
Unstue na mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukipata connection nipe na mie mwaya [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman khaaahHuyu mzima na akili zake timamu. Akitaka ku trend anakuja na nyuzi za ajabu ajabu ili mumuongelee. Comment nyingine za kumuita punguani ni zake mwenyewe kwa kutumia ID mbadala.
Hamu yake ya attention ikiisha anakuja kivingine kama dume linalobishana kuhusu mpira na kubaniwa mbupu kwa ndani.
hutaki hela za damu π πMm hapana ngoja kwanza nijaribu kutafuta Hela Kwa jasho
ππKabisa kwanza ukoo wetu wavivu kuzaa tupo wachache ππhutaki hela za damu π π
Kanumba kuwa freemason izo ni stori za vijiweniKanumba alijitoa yeye mie nawa5oa watesi wangu
Umeacha kudanga?Eti Kwa umri nilionao si sahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi, mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari, nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kuna ubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie, nishaurini jamani.