Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Vijana oeni achaneni na maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa,
Ndoa ni tamu.
Msiige watu ambao back ground zao hamuzijui, ndoa ni tamu Tena Ukiwa na pesa ya kubadilisha mboga.
Nyinyi hamkudondoka kama embe , mlizaliwa baada ya makubaliano ya waliooana, kama nyinyi ndiyo wale waliotambulishwa baba zao wakiwa na miaka ishirini, yaani hamkufaidi mapenzi ya baba mna haki ya kuongea mnayoongea,
Au mtu umelelewa na baba huku ukiambiwa mama yako alitaka kukutupa Ukiwa kichanga, au mmelelewa kwenye vituo vya watoto yatima
Ila sisi wengine tunakua tumeogeshwa na baba, tumefundishwa kazi na baba,
Tumeadhibiwa na wazazi wote wawili,
Tumepewa mapenzi ya pande zote mbili,
Kila tunalolifanya Lina baraka ya pande mbili,
Kwanini nisioe, nitazini Hadi lini?
Oeni acheni hizo,.
Ndoa ni tamu.
Msiige watu ambao back ground zao hamuzijui, ndoa ni tamu Tena Ukiwa na pesa ya kubadilisha mboga.
Nyinyi hamkudondoka kama embe , mlizaliwa baada ya makubaliano ya waliooana, kama nyinyi ndiyo wale waliotambulishwa baba zao wakiwa na miaka ishirini, yaani hamkufaidi mapenzi ya baba mna haki ya kuongea mnayoongea,
Au mtu umelelewa na baba huku ukiambiwa mama yako alitaka kukutupa Ukiwa kichanga, au mmelelewa kwenye vituo vya watoto yatima
Ila sisi wengine tunakua tumeogeshwa na baba, tumefundishwa kazi na baba,
Tumeadhibiwa na wazazi wote wawili,
Tumepewa mapenzi ya pande zote mbili,
Kila tunalolifanya Lina baraka ya pande mbili,
Kwanini nisioe, nitazini Hadi lini?
Oeni acheni hizo,.