Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiambiwa mchague watu wa kuzaa nao mnaona wengine hawana akili. Unamtoto tahira kwann aendelee kusoma kwamba hiyo shule watoto wote ni wajinga kama wakwako. Ushashindwa ada mpeleke kata basiNimewapa mtoto hajui kusoma Wala kuandika .. mmemfundisha mmeshindwa mm nahusika vpi na mtoto hakuwa amesoma popote na ni Miata saba naenda nane
Ni hakika walimu wanastahil kupewa mitihani(interview)
Shule za private Zina walimu wabovu kupindukia
Ada hajaizungumzia yeye tatizo lako mtoto kutoendilea na masomuUshashindwa ada mpeleke kata basi
Mtoto asie na akili anasomaje si atachafua sifa ya shuleAda hajaizungumzia yeye tatizo lako mtoto kutoendilea na masomu
Ataiaibisha shule au SIO ?Mtoto asie na akili anasomaje si atachafua sifa ya shule
NdioAtaiaibisha shule au SIO ?
Wanasema mtafutie shule nyingineEti mtoto asipofikisha wastani haendelei.
Anarudia darasa au anafukuzwa shule ?
Wanamfukuzia mbali anawaharibia sifa ya shule yao kwamba haina masifuri ?Wanasema mtafutie shule nyingine
Mwanao kilaza huyo hakuna namna akaririshwe darasa tu huenda alipata low score(APGAR SCORE) pia kipindi anazaliwaNimewapa mtoto hajui kusoma Wala kuandika .. mmemfundisha mmeshindwa mm nahusika vpi na mtoto hakuwa amesoma popote na ni Miata saba naenda nane
Ni hakika walimu wanastahil kupewa mitihani(interview)
Shule za private Zina walimu wabovu kupindukia
Kauli hii inauma hii kwa mzazi hii, kwamba amezaa sifuri ?Mwanao kilaza huyo hakuna namna akaririshwe darasa tu huenda alipata low score(APGAR SCORE) pia kipindi anazaliwa
😂😂😂😂😂😂Mkiambiwa mchague watu wa kuzaa nao mnaona wengine hawana akili. Unamtoto tahira kwann aendelee kusoma kwamba hiyo shule watoto wote ni wajinga kama wakwako. Ushashindwa ada mpeleke kata basi
Huenda amerithi vinasaba vya uzito wa kutoelewa kutoka kwa wazazi 😂😂😂Kauli hii inauma hii kwa mzazi hii, kwamba amezaa sifuri ?
Mkuu nipe kazi ya tuition kwa mwanao nipo dodomaNimewapa mtoto hajui kusoma Wala kuandika .. mmemfundisha mmeshindwa mm nahusika vpi na mtoto hakuwa amesoma popote na ni Miata saba naenda nane
Ni hakika walimu wanastahil kupewa mitihani(interview)
Shule za private Zina walimu wabovu kupindukia