Eti mtoto asipofikisha wastani haendelei. Private school dawa yao jiwe

Eti mtoto asipofikisha wastani haendelei. Private school dawa yao jiwe

Kwa sasa hivi kutokana na Mfumo wa PREM sio rahisi sana kwa mtoto anayesoma Sekondari kurudia kidato. Iwe Shule ya Serikali au ya Binafsi. Ili mtoto kurudia LAZIMA apate kibali cha NAIBU KATIBU TAWALA MKOA. Na bila hicho kibali anaweza ASIPATE Namba ya Mtihani wa Upimaji Kidato cha Pili na Kidato cha Nne inayotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa.
 
Nimewapa mtoto hajui kusoma Wala kuandika .. mmemfundisha mmeshindwa mm nahusika vpi na mtoto hakuwa amesoma popote na ni Miata saba naenda nane

Ni hakika walimu wanastahil kupewa mitihani(interview)

Shule za private Zina walimu wabovu kupindukia
Upo wapi ndugu ,shule mbona zipo nyingi sio Kila private ni Bora, ila zipo shule Bora kabisa
 
Nimewapa mtoto hajui kusoma Wala kuandika .. mmemfundisha mmeshindwa mm nahusika vpi na mtoto hakuwa amesoma popote na ni Miata saba naenda nane

Ni hakika walimu wanastahil kupewa mitihani(interview)

Shule za private Zina walimu wabovu kupindukia
Ulisoma Sheria za shule kabla hujampeleka au baba na mtoto wote VILAZA tupu,
Sheria ya shule za private zina Sheria zake kama vipi peleka mwanao uko kwa gvt,
Nakutaman nipate mzazi kama ww yaan ungenielewa tu kitu ambacho ningekufanya,

Hujui kuwa hiyo ni private sio shule ya umma,

Private wanataka ela ukiona wamekwambia ondoa mwanao ondoa kweli,
 
Mbona hamsemi kwamba Kaizirege nao wanafanya hivyo hivyo.
 
Tuwe wakweli wazazi,kids nowadays are getting dumber and dumber Yaani viazi tupu,there is no sharpness in their brain anymore,Zamani hata surving skills tulikuwa nazo ila Sasa hakuna.Najinsi ilivyo ngumu kuadmit wazazi Sisi ndio chanzo,na malezi yetu ya ku google.Hao walimu sio tatizo ila watoto wetu ni vilaza.
 
Kama kawaiiidaaaa!
JF wote tuna pesa chafu
Wote tuna majumba na magari
Wote tuna watoto wenye akili saana shuleni!
 
Hujui kichwa kinarithiwa pia? Sometimes unaweza ku-force mtoto awe Newton kumbe ni Pastor Mgogo.
 
Back
Top Bottom