much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Broo angalia historia yako au ya mama mtoto kichwani kama zilikuwemo maana tunaweza kuwa tunawalaumu walimu bureNimewapa mtoto hajui kusoma Wala kuandika .. mmemfundisha mmeshindwa mm nahusika vpi na mtoto hakuwa amesoma popote na ni Miata saba naenda nane
Ni hakika walimu wanastahil kupewa mitihani(interview)
Shule za private Zina walimu wabovu kupindukia