Mpuuzi wewe; sasa kama ndivyo kwanini mnasubiri tangazo la kupanda mishahara kutoka serikalini?Mjinga wewe unayefikiria Kila mtanzania anangoja kupata mshahara wa serikali.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi wewe; sasa kama ndivyo kwanini mnasubiri tangazo la kupanda mishahara kutoka serikalini?Mjinga wewe unayefikiria Kila mtanzania anangoja kupata mshahara wa serikali.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mhhhhhhh kwani upo Malekani umemsikia mama amenijibu?Kuongea uongo pia ni uchawi! Mwenzetu umerithi kwa babu au bibi yako?
wanapewaga buku ten na t shirt, hahahaaaaa yaani man power ya kibongo inatia huruma sanaWatumishi hata msiumize kichwa mwendo ni ule ule chaka la kujifichia lipo tayari ni vita vya Ukraine.
Hivi wale watumishi wanaobebaga mabango siku ya meimosi huwa wanalipwa bei gani?
#MaendeleoHayanaChama
Hawahitaji kura zenu kubaki madarakani.
Will be very positive move!Yaan ningekuwa na uwezo wa kuwashawish watumishi wote ambao watakuwa kwenye sherehe siku ya meimosi
Yaan baada tu ya rais kutamka kuwa hamna nyongeza bas wote tuamke na kuondoka bila kufanya lolote tumwachie sherehe yake[emoji34][emoji34]
Wanainchi wa kawaida mtaani washachoshwa na mama kutokana na kupanda kwa gharama za maisha ila kundi ambalo linacheka na mama ni lile kundi ambalo kipindi cha mwenda zake halikumpenda kundi ambalo likikuchukia basi utendaji kazi wako unakuwa na wasi wasi sana Kuni la wafanya biashara na watumishi wa umma hili kundi mama bado hajaligusa linamchekea linaona mkombozi wao ndio uyu,Hawahitaji kura zenu kubaki madarakani.
Halafu wanalia njaa mwaka mzima tena kwa matumaini feki..utumishi wa umma hasa loko government wengi ni mazuzu.wanapewaga buku ten na t shirt, hahahaaaaa yaani man power ya kibongo inatia huruma sana
tumuweke kwenye maombi ...Mungu hachelewi kutujibu watzView attachment 2199174halafu kuna mbuzi zinasema mama anaupiga mwingi uku kukiwa na mawaziri na wabunge kama hawa kwenye comic house pale Dodoma
Sasa Mwalimu atakula wapi.Si alishasema kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake? Au haukuelewa!!
Hili ni kipindi cha JPmView attachment 2199174halafu kuna mbuzi zinasema mama anaupiga mwingi uku kukiwa na mawaziri na wabunge kama hawa kwenye comic house pale Dodoma
Kila mtu na msiba wake...wengine ndo huu sasaHuwa nashangaa sana na huu mtazamo wa watu kutaka kupandishiwa mishahara! Wakati wewe unalilia uongezewe mshahara yupo ambaye ana sifa za kuwa mfanyakazi wa serikali kama wewe na anataman hata huo mshahara ulionao wewe! Au ndio ile kusema mwenye nacho huongezewa?