- Thread starter
- #21
Inawezekana kufurahi bila kutaniana na kusemana Kwa mizaha.Hapana, lakini tukumbuke walikuwa ni binadamu pia kwahiyo waliishi kama binadamu wengine,
Sitaki kuamini maisha yao yote yalijengwa kwenye uSerious muda wote, hata kama hawatanii wao basi walitaniwa na kufurahi maisha yakaendelea.