- Thread starter
- #41
Sorry,Binafsi mimi naona hiyo picha inauhusiano na utani unaouzungumzia!
Sikuona picha hiyo,
Huo ndio mzaha/ utani ninaouongelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry,Binafsi mimi naona hiyo picha inauhusiano na utani unaouzungumzia!
Huo Si utani, ni UONGO.Wewe huoni Kaini alipoulizwa na Mungu ndugu yako Abel yuko wapi?
Kaini akamjibu Mungu kwani mi ndo Mlinzi wa ndugu yangu?
Sasa wewe huoni hapo ulikuwa ni utani😁
Unamjibuje Mungu hivyo😀
Quote utani uliomo, isha ulete hapa!kasome wimbo ulio bora
😂😂😂😂Mambo kwa ushahidi🤣🤣